Recent content by Ishengomab

  1. Ishengomab

    Watangazaji wa 360 Clouds tv kama hamtojali nitaomba mnijibu maswali yangu haya yafuatayo...

    Kwani Hassan Ngoma ni muingereza?! Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  2. Ishengomab

    English learning thread

    'How are you?' and 'Where are you?' Are correct statement. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  3. Ishengomab

    English learning thread

    I'm in. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  4. Ishengomab

    Jifunze English tenses kwa Kiswahili

    Haiwezekani usijue matumizi sahihi ya tense then ukajiita mtaalamu wa grammar mkuu. Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
  5. Ishengomab

    Lissu: Serikali hii (ya Magufuli) ni ya hovyo, huyu dikteta uchwara anahitaji kupingwa na kila mwananchi

    Nasikia na mwaka huu hamna 'annual increament' kwa watumishi wa umma. Post sent using JamiiForums mobile app
  6. Ishengomab

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    Wa Musoma karibuni sana..
  7. Ishengomab

    Majina ajira za Ualimu 2014 haya hapa

    Atleast matumaini yanaonekana kuzaa matunda.. Ahsante.
  8. Ishengomab

    Hivi ndio vyuo vya kata vya Tanzania

    CHA AJABU HATA HICHO CHA KATA HUJAPATA NAFASI YA KWENDA.....Amka na ubadilike kifikra kushakucha wenzio wako bench wanasubiria kupata kibarua....
  9. Ishengomab

    Kampeni ya kuhamasisha matumizi mazuri ya Mitandao ya kijamii na Mawasiliano

    washaona yatawatokea ya Misri jinsi fb na twiter zilivyosaidia kumtoa Mubarak.. Wameona vijana wanapashana habari juu ya maovu ya vigogo wa kijani. Washajua muda si mrefu kitanuka.
  10. Ishengomab

    FBI kuhusika katika kuchuja viongozi watakaompokea Obama

    umbulura umezidi hasa kwa viongozi wa Tanzania. Hivi Kikwete hajalitafakari hlo na kuona amedharirika kufanyiwa maamuzi na wageni kwenye nchi yake..?
  11. Ishengomab

    FBI kuhusika katika kuchuja viongozi watakaompokea Obama

    na kwa nini shughuli zngne zisitishwe. Si angekuja kimya kimya mpaka ikulu akakutana na huyo papeti wake kuliko kusumbua na kudharirisha wengne kazini kwao?! Think big bro.
  12. Ishengomab

    FBI kuhusika katika kuchuja viongozi watakaompokea Obama

    Kutawaliwa tunazaliwa nao akilini, ndo maana yote haya yanatokea. Tulishaona hatuwezitoa sauti kwa lile tulitakalo na tusilolitaka ikasikika. Tumebakia kupangiwa kila kitu na wageni. Obama akija akasema Tanzania ni koloni la marekani hakuna wa kubishi, kwa sababu jeshi lake tayari linaendesha...
  13. Ishengomab

    Post za walimu zatangazwa.

    Lets wait for those names..
  14. Ishengomab

    Clouds FM: Hakuna nyumba za viongozi zilizochomwa moto!

    Hilo liko wazi siku zote. Mara ngapi wanapotosha habari za ukweli! Kumbuka mgomo wa wanavyuo dhidi ya HESLB, Clouds FM kupitia kipindi cha jahazi walitoa habari za kupotosha na kuwahukumu moja kwa moja wanafunzi kuwa na makosa. Kikubwa ni kupokea habari na kuichuja kuona ukweli uko wapi. Siku...
  15. Ishengomab

    Methali za makabila mbali mbali

    Kihaya
Back
Top Bottom