MMM,
Wenzetu wazungu wana utamaduni mzuri sana. Mtu mmoja akifanya jambo lenye heshima ya kitaifa atawekwa kwenye kumbukumbu iwe ya kwenye nyaraka za kitaifa (kama shujaa), nishani, medali, sanamu yake au hata monument inapobidi, etc. Kwetu sisi, hata kama niliifanyia nchi yangu makubwa...