Wakuu
Hii ngoma nimetoboa written interview..naombeni mnipe possible za oral.
Halafu hivi kuna hela kweli huku au bora kuendelea kupigika kwa mchina tu?
Kuna usaili wa huko utumishi wa cooperative officer ii, jina lilivyokaa tu inaonekana ni njaa kali sana.
Sasa nawaza nikapige huo usaili au nikomae zangu na mchina tu huku private.
Je wakuu,hao cooperative officer ii wana maisha kweli au njaa kama zote?
Habari za leo wapambanaji wenzangu.
Nimebahatika kuitwa oral interview nafasi ya relationship officer ii mwajiri ni Tanzania commercial bank.
Ningeomba mwenye kujua hawa jamaa huwa wanauliza maswali ya aina gani anisaidie..
Asante
Iko hivi, wakati maandamano yanapamba moto kwenye miji mbalimbali hapa Tanzania kama Mwanza, Dar, Mara, Mbeya na Arusha, inadaiwa Rais Samia aliitisha kikao cha dharura cha baraza la usalama la taifa, lengo la kikao lilikua kufanya tasmini ya kilichotokea maana hawakukitarajia kabisa baada ya...
Baada ya issue za maandamano kuisha na hali kuanza kurejea kawaida naona huku mitaani kwa sasa watanzania tunaheshimiana sana.
Kuna watu walikua hawatoi hata salamu kwa majirani zao ila sasa hivi wanasalimia.
Ngoja tuone tena 9 December hali itakuaje.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.