Habari zenu wakuu?
Naomba. Kuuliza, utajuaje kuwa umefaulu oral ya utumishi au uko database?
Nimefanya oral ya kwanza tarehe 28 Aprill cooperative officer ii,nikafanya oral nyingine tarehe 26 May Quality assurance officer ii mwajiri ni WRRB.but mpaka leo sijasikia chochote,nikiingia kwenye...
Wakuu,kwema?
Ebana nashukuru leo tena nilibahatika kupiga paper ya utumishi,kada ya Quality assurance officer ii mwajiri ni Warehouse Receipts & Regulatory board .nashukuru Mungu Majibu yametoka jioni hii nimetoboa,so najiandaa kwa oral tarehe 26 mwezi huu.
Kama kuna mwenye kujua chochote kwenye...
Habari zenu
Nimefika Dodoma nikaopoa kipoozeo flani hivi hapa mitaa ya nkuhungu.
Oya,hiki kitoto cha kihehe kina mbunye ya moto na tamu balaa,kinakata mauno kama feni.
Kwa kweli wanawake wa Dar inabidi mjitafakari sana kwa huu upinzani ulioibuka huku Dodoma.
Leo nimepiga oral ya cooperative officer ii, maswali yalikua matano.wale panelist walikua wanataka umention majibu tu hawataki story nyingi,swali moja nadhani nililijibu tofauti kabisa na majibu yanayotakiwa.ntatoboa kweli,na hawa jamaa huwa wanaangalia vigezo gani kutoa marks zao?
Wakuu
Hii ngoma nimetoboa written interview..naombeni mnipe possible za oral.
Halafu hivi kuna hela kweli huku au bora kuendelea kupigika kwa mchina tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.