Recent content by Isenye

  1. Isenye

    Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Iran wakubali yaishe tu..nchi yao inaharibiwa
  2. Isenye

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    Utumishi ndio waliopewa dhamana ya recruitment
  3. Isenye

    Hivi cooperative officer ii wana maisha kweli?

    Kuna usaili wa huko utumishi wa cooperative officer ii, jina lilivyokaa tu inaonekana ni njaa kali sana. Sasa nawaza nikapige huo usaili au nikomae zangu na mchina tu huku private. Je wakuu,hao cooperative officer ii wana maisha kweli au njaa kama zote?
  4. Isenye

    Maswali ya oral interview Tanzania Commercial Bank,nafasi ni Relationship officer ii.

    Habari za leo wapambanaji wenzangu. Nimebahatika kuitwa oral interview nafasi ya relationship officer ii mwajiri ni Tanzania commercial bank. Ningeomba mwenye kujua hawa jamaa huwa wanauliza maswali ya aina gani anisaidie.. Asante
  5. Isenye

    Hivi first date na mke wa mtu inatakiwa kuwa vipi?

    Piga hiyo kyuma mpaka itoe vumbi
  6. Isenye

    Yu wapi Naibu Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Biteko?

    Jamaa alikua anajimwambafai..eti akajiwekea lami hadi mlangoni kwake.
  7. Isenye

    PostGE2025 Kamati ya ulinzi na usalama wa Taifa iwajibike kwa yaliyotokea tarehe 29 Oktoba. Walimshauri Rais Samia vibaya

    Iko hivi, wakati maandamano yanapamba moto kwenye miji mbalimbali hapa Tanzania kama Mwanza, Dar, Mara, Mbeya na Arusha, inadaiwa Rais Samia aliitisha kikao cha dharura cha baraza la usalama la taifa, lengo la kikao lilikua kufanya tasmini ya kilichotokea maana hawakukitarajia kabisa baada ya...
  8. Isenye

    Sasa hivi huku mitaani tunaheshimiana sana

    Baada ya issue za maandamano kuisha na hali kuanza kurejea kawaida naona huku mitaani kwa sasa watanzania tunaheshimiana sana. Kuna watu walikua hawatoi hata salamu kwa majirani zao ila sasa hivi wanasalimia. Ngoja tuone tena 9 December hali itakuaje.
  9. Isenye

    Huyu jamaa uoga wake wa mabomu umesababisha nimemchapia mkewe

    We jamaa muongo.hiyo mbezi mwisho ulienda kununua mahitaji wapi na wakati huduma zote zilikua zimefungwa?
  10. Isenye

    Naona aibu kuwaambia ndugu zangu kuwa nimepata mchumba kutoka kabila la warangi

    Habari zenu? Nina mchumba tuko nae kwenye mahusiano huu ni mwaka wa nne. Sasa imefikia wakti wa kwenda kumtambulisha kwa wazee home ila naona aibu kumtambulisha kwa ndugu na jamaa zangu sababu ya historia ya hilo kabila kuwa mbaya kwenye mahusiano. Je wakuu nitumie mbinu gani kumtambulisha ili...
Back
Top Bottom