Recent content by Isenye

  1. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ya kweli haya?
  2. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yangu moja ina zaidi ya week 3 iko green na sijaitwa kazini.
  3. Isenye

    JamiiForums Tanzania Oral Interview Ajira Portal

    Hii ni ya kweli ?
  4. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Habari zenu wakuu? Naomba. Kuuliza, utajuaje kuwa umefaulu oral ya utumishi au uko database? Nimefanya oral ya kwanza tarehe 28 Aprill cooperative officer ii,nikafanya oral nyingine tarehe 26 May Quality assurance officer ii mwajiri ni WRRB.but mpaka leo sijasikia chochote,nikiingia kwenye...
  5. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu,kwema? Ebana nashukuru leo tena nilibahatika kupiga paper ya utumishi,kada ya Quality assurance officer ii mwajiri ni Warehouse Receipts & Regulatory board .nashukuru Mungu Majibu yametoka jioni hii nimetoboa,so najiandaa kwa oral tarehe 26 mwezi huu. Kama kuna mwenye kujua chochote kwenye...
  6. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ingawa Dodoma pamejaa wanawake wanaojiuza, ila ni watamu kuliko Dar

    Habari zenu Nimefika Dodoma nikaopoa kipoozeo flani hivi hapa mitaa ya nkuhungu. Oya,hiki kitoto cha kihehe kina mbunye ya moto na tamu balaa,kinakata mauno kama feni. Kwa kweli wanawake wa Dar inabidi mjitafakari sana kwa huu upinzani ulioibuka huku Dodoma.
  7. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hii ina uhalisia kweli?
  8. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Yani mtu akosee majibu halafu afaulu interview?
  9. Isenye

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Leo nimepiga oral ya cooperative officer ii, maswali yalikua matano.wale panelist walikua wanataka umention majibu tu hawataki story nyingi,swali moja nadhani nililijibu tofauti kabisa na majibu yanayotakiwa.ntatoboa kweli,na hawa jamaa huwa wanaangalia vigezo gani kutoa marks zao?
  10. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    Njaa kila sehemu ipo
  11. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    Duh,pole mkuu
  12. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    Wakuu Hii ngoma nimetoboa written interview..naombeni mnipe possible za oral. Halafu hivi kuna hela kweli huku au bora kuendelea kupigika kwa mchina tu?
  13. Isenye

    JamiiForums Tanzania Hivi cooperative officer II wana maisha kweli?

    Mhm
  14. Isenye

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ulinzi Israel asema wamemuuwa Mkuu wa Ulinzi wa Iran, Ali Larijani

    Iran wakubali yaishe tu..nchi yao inaharibiwa
  15. Isenye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaka yangu ameoa ila mimi sijaoa na nina miaka 46

    Olewa
Back
Top Bottom