Masai wa Town
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 6,726
- 24,530
Hapana. Wananiambia nasubiri Message na Message haijiUmeweka dole gumba?
Hapana. Wananiambia nasubiri Message na Message haijiUmeweka dole gumba?
Duh,hapo noma sasaHapana. Wananiambia nasubiri Message na Message haiji
Nataka nikafie ofisi za NSSF na staff angalau 4. Milioni 15 zangu kweli ziende bure?Duh,hapo noma sasa
Mimi nina degree nimeweka fingerprint jana,nachukua pesa yangu yote 23m pale kibaha.nasikia mtaani wanasema et kama mtu alisoma degree ni ngumu kupata yote ataanza na 33.3% kwa miezi 6.
mimi nilienda kufungua madai nikaambiwa nisubiri siku 90 alafu ndiyo niende kufungua madai, je nikienda fungua madai nitapewa pesa yangu yote au itakuwa ndiyo hiyo 33.3% na mimi nana uhitaji niipate pesa yote
background yangu nina bachelor, nnaomba maombi yenu wadau.
Hongereni, Sisi tulioacha kazi fedha zetu kuja kuzipata ni ndoto.Mimi nina degree nimeweka fingerprint jana,nachukua pesa yangu yote 23m pale kibaha.
Pole mkuu.Hongereni, Sisi tulioacha kazi fedha zetu kuja kuzipata ni ndoto.
na ukipata kazi serikalini inabidi tusubiri hadi miaka 55-60.Pole mkuu.
Kama uliacha kazi mwenyewe huwezi kupata hilo fao.
Kama unaweza, pambana utafutw kazi yoyote ile hata kama mshahara utakua mdogo sana, cha muhimu tu wawe wanachangia NSSF. Halafu baada ya muda kidogo mfano miezi 6, unapiga tukio labda huendi kazini siku tani mfululizo, ili tu wakufukuze kazi wenyewe. Wakikufukuza tu, hiyo barua yao sasa ndo itakufanya upate mafao yako.
Mr.Junior
Unaomba zote na unapewa zotehivi special lumpsum huwa inakuaaje,maana nina kama 27m zangu ziko tu huko zimetulia?
Anaweza kuchangia yeye ninafsi miezi kadhaa halafu anaziomba wanampaPole mkuu.
Kama uliacha kazi mwenyewe huwezi kupata hilo fao.
Kama unaweza, pambana utafutw kazi yoyote ile hata kama mshahara utakua mdogo sana, cha muhimu tu wawe wanachangia NSSF. Halafu baada ya muda kidogo mfano miezi 6, unapiga tukio labda huendi kazini siku tani mfululizo, ili tu wakufukuze kazi wenyewe. Wakikufukuza tu, hiyo barua yao sasa ndo itakufanya upate mafao yako.
Mr.Junior