Cha musingi frusa mm naona general iko vinzuri kwa kujiari haina haja kupangiwa kuingia kazn haina sheria ya kazi. Ni we we mwenyewe tuu unavyobehave ansaante
Uarimu ni kipaji cha kuderiver material xioo chetiii ukitaka kuchunguza angaria xhure NYINGI za binafusi wanafunzi ndoo waajiri xo utakuta Mwarimu ambaye professional wanafunzi wanamukata kwamba haereweki. Co yure ambaye hana professional utakuta wa na mwita jembe and owners of private...
Nimeamini mutegemea cha ndugu hufaa maskini ambao hatuna uwezo tuende tuu kitaani !!!! Kweriii siku 90 sikutufukuza kinamuna kweri. Yaaani MTU huna pesa ya ada harafu upo chuoni unambiwa ukate rufaaa wakati chuo wanataka ada yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.