Walimu wa ajira mpya: Tupeni taarifa kuhusu malipo ya pesa za kujikimu ktk halmashauri zenu

MTABO

Member
Mar 6, 2014
95
57
Walimu wenzangu wa ajira mpya, naomba mtupe taarifa kuhusu malipo ya pesa za kujikimu na nauli ktk halmashauri zenu.
Mimi niko halmashauri ya wilaya ya Missenyi. Mpaka sasa hatujapewa chochote na njaa inauma sana. Walimu wapya wa huku tunatamani kurudi ktk tempo zetu.​
Jibu lao ni kwamba 'pesa hazijafika', wakati tunasikia kua kuna halamshauri zingine walishalipwa. Hivi hizo halmashauri walizolipwa, walitoa pesa Kenya, au Somalia?
Kila mmoja atupe taarifa kuhusu hali ya malipo ktk halamahsauri aliyopangiwa, ili na wengine tupate nguvu za kwenda kudai.​
 
Mi sio muhusika lakn yupo jamaa yangu mpaka sasa kimya, wameambiwa ijumaa wayapewa hzo hela!
 
walimu mnapenda lawama sana wenzenu tulireport kazini muda hadi Leo atujapewa pesa ya kujikimu mambo mengine muwe wavumilivu musuburi mishahara yenu
 
walimu mnapenda lawama sana wenzenu tulireport kazini muda hadi Leo atujapewa pesa ya kujikimu mambo mengine muwe wavumilivu musuburi mishahara yenu
kwahiyo wewe ukikosa haki yako, hua unafurahi na wengune wakikosa haki zao? acha ubinafsi. ipo siku utaanza kumchukia Bakhresa na utake nayeye afirisike awe lofa kama wewe.
 
Mi nipo Uvinza tumepanga foleni apa tunachukua chetu
hongera sana. hizo ndio halamahsauri za maana, sio kama huku kwetu (jina kapuni). huku kwetu ni wa hovyo sana kama hao wa misenyi wanaowataabisha walimu wao. kila siku wanasema eti wako wanaomba, sijui wanaomba kama ombaomba!
 
Jamani mm naogoa hata kutaja halmashauri nilipo. Nahisi watakuja kunitafuta hata kwa tochi, maana nilishamcoment vibaaya Bashite na mzee wake, Ndalichako, Kairuki mrembo, Jafo na Simbachawene. sasa nahofia kutekwa.
 
Umerogwa ww. Umekaa kwenye stoo yako ya kuuzia mkaa, alafu anamwambia mtu avumilie wakati ww sio mhusika. unajua zitatoka lini hizo pesa mpaka unamwambia avumilie? unajua hali aliyonayo huko?
nenda zako bhana kwani kada nyingine uwaga tunaishi vp
 
nenda zako bhana kwani kada nyingine uwaga tunaishi vp
kama ww ni funza usilaumu kuumbwa funza. acha nyuki waruke kwakua wana mbawa.
pia kama ww ni nyumbu uliekubali kudhulumiwa, usimlaumu aliyepiga asizulumiwe kama ulivyozulmiwa wewe nyumbu.
 
Walimu wenzangu wa ajira mpya, naomba mtupe taarifa kuhusu malipo ya pesa za kujikimu na nauli ktk halmashauri zenu.
Mimi niko halmashauri ya wilaya ya Missenyi. Mpaka sasa hatujapewa chochote na njaa inauma sana. Walimu wapya wa huku tunatamani kurudi ktk tempo zetu.​
Jibu lao ni kwamba 'pesa hazijafika', wakati tunasikia kua kuna halamshauri zingine walishalipwa. Hivi hizo halmashauri walizolipwa, walitoa pesa Kenya, au Somalia?
Kila mmoja atupe taarifa kuhusu hali ya malipo ktk halamahsauri aliyopangiwa, ili na wengine tupate nguvu za kwenda kudai.​
Huko msubiri hadi serikali imalize kujenga miundo mbinu iliyoathiriwa na tetemeko
 
Back
Top Bottom