Lecturers' Corner - Ushauri, Changamoto & Mengineyo

Kuna lecturer wangu mmoja alikuwa anapenda kutuponda eti "we don't deserve to be here", kiukweli alikuwa hajui kitu zaidi ya kutumezesha hata vtu yeye pia hajui.Cha ajabu katika harakati za uhakiki naona gazetini eti anatafuta cheti cha form four amepoteza katoa na jina na index no,sasa wacha vijana wafukunyue kwenye mtandao na kuweka matokeo yake!!kumbe kwanza cha ku- reseat halafu sasa ana four 26 na credit 3...Sasa ndipo nikapata jibu kuwa ndiyo mana huyu lecturer anapwaya sana,yani anataka majbu ya kumeza hadi nukta..Hapo nkajiuliza hivi wanaoajiri kumbe hawajali background ya nyuma kitaaluma?!!au waliangalia GPA ya mwsho za kumeza power point!!?
 
Duuuuuu kama wewe ni lecture mi nachoma magamba yangu yote
Hamna lecture mwenye mwandiko km wewe, labda lecture wa saut songea
Ukisema mwandiko unakuwa too general, nadhani una maanisha uandishi. Hata hivyo yapo mambo ya kuzingatia;
1. Hujasema 'hao wahadhiri wako' wana mwandiko gani na huu ni mwandiko wa namna gani! By the way, what is mwandiko?? Je ushakutana na miandiko mibaya from talented and competent persons?
2. This is not academic presentation, it is a social presentation. So no need of field jargons and technicality maneuvres.
3. Am not here to brag or offend, am here to share experience za maisha ya upande mwingine. If you find me in my area of specialization am pround to tell you that i have sufficient confidence to make stand in any audience!
4. Mwisho; acha kukariri badala yake jitahidi uelewe.
 
Baadhi ya Wahadhiri hua wanafanya vitu kwa makusudi ili wapate favor za kimapenzi kutoka kwa wadada, anaweza akaingia darasani anakua mkali kwa msichana hadi unashangaa huyu bwana huu ukali wote wa kazi gani?

Kuna mmoja somo lake nilikua naliona siyo gumu lakini alama alizokua ananipa nikawa sizielewi, nikaja kujua kumbe ukaribu wangu na binti fulani umechangia, na kuna mwenzangu siku anafanya presentation ilikua kama ana vita pale mbele na yule bwana.
 
Baadhi ya Wahadhiri hua wanafanya vitu kwa makusudi ili wapate favor za kimapenzi kutoka kwa wadada, anaweza akaingia darasani anakua mkali kwa msichana hadi unashangaa huyu bwana huu ukali wote wa kazi gani?

Kuna mmoja somo lake nilikua naliona siyo gumu lakini alama alizokua ananipa nikawa sizielewi, nikaja kujua kumbe ukaribu wangu na binti fulani umechangia, na kuna mwenzangu siku anafanya presentation ilikua kama ana vita pale mbele na yule bwana.
Unachosema ni kweli japo sio mara zote. Muda mwingine ni stress zinasumbua so mtu anakuwa mkali muda wote.
 
Unachosema ni kweli japo sio mara zote. Muda mwingine ni stress zinasumbua so mtu anakuwa mkali muda wote.
Chifu ukali wa stress upo lakini wa huyu ndugu ulikua ni kuona watu wako karibu na binti. Alikua selective sana wa nani amkasirikie na nani asimfanyie hivyo.
 
Back
Top Bottom