Tayari walishapita kambi za jkt wamechukua vyeti vya watu waliofanya usaili. Professional hawajatuchukua tuliwauliza wakasema watarudi kufanya usaili kwa professional. Mnavyoumia vichwa mtaani hata huku jkt tunaumia hivyohivyo, sema tu huku kazi uhakika maana hakuna kurudi nyumban hata mkataba...
polisi wamepigwa stop kuchukua watu ambao hawajapitia jkt. Ametuambia mkuu wa jkt juz tar 10 akitokea mtabila 824 kj. Nawashauri wanaotaka kuingia sector ya ulinzi waje jkt then wataliunga. Pia achen uoga jeshi la sasa halina mambo ya kizamani labda ukitinyanga ndo utazawadiwa dril na kazi za...
kipindi cha NIVAN na vipindi kama hicho katika channel zingine hapa Tanzania zinawapa promo kupitia shoo zao za kutembea,,, asilimia kubwa ya wale wanaojiita modo wa kiume ni mash.ga. Astakhafir
uhamiaji waliacha kuchukua professionals kwasababu walikuwa wanakimbia mazoezi. Sasa wanachukua jkt but really,, kwa ushauri omba kwa chet cha form four au six kama unacho. Ukishamaliza kozi ccp ndio unaweza kurelease chet chako cha bachelor degree. Wengi wamefanikiwa mwaka jana kwa njia hiyo...
inategemea na mwandaaji wa interview, mara nyingi wanaanza ya kuongea ili kupunguza wasiojua kiingereza na wasio na confidence. Kwa kuwa inspection technician inafanywa na mtu mwenye professional yoyote, kuwa na idea tu ya nini maana ya inspection na majukumu ya tbs na ya inspection technician...
sijawahi kumsikia mtangazaji ndani na nje ya nchi mwenye mbwembwe na umahiri wa hali ya juu kama Samadu Hassan. Ningekuwa na tuzo ningempa aisee. Halafu anajua kiswahili kuliko BAKITA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.