kama unaweza book hoteli yoyote afu ndani kwenye chumba fanya decoration muandalie vitu unavyopenda and be romantic wanaume huwa tunapenda sana as u know ss wanaume sio materialistic
Kaka umenena kwakweli ni aibu tupu hii nchi sio na uongozi wa CCM maana nasikia hadi viongozi wamerekani ndio wanachagua ni yupi wa kusalimiana na Obama kiukweli tumevuliwa chupi :angry::angry:
Msiwa wajinga jamani timu kama timu ya mpira tumeiona ikicheza ile sio rushwa wala ufisadi so acheni ku-compare Taifa stars na CCM vijana tumewaona wakihangaika sio wakina lowasa wenye account za siri nje ya nchi so achana mambo ya kuponda stars thats football not politics .Angalieni Libya ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.