Kwa hali ilivyo sasa Tanzania akigombea yoyote upinzani anapita tu, maana watu walisha ichoka serikali ya ccm hasa wanafunzi wa vyuo vikuu na wafanyakazi waajiliwa( waalimu,wauguzi,na madaktari), tatzo ni kuwa hata akishinda hawezi kupewa nchi.
Democracy ya kweli ipo mbingun tu.
Sent using...
Ccm yenyewe imefanya nn mkuu?
Kupanda kwa bei ya vitu ndo maendeleo au?
Tunanunua unga wa sembe 38000 badala ya 20000 huoni au?
Viwanda na zile million 50 za kila kijiji ziko wapi?
Kwanza hukuwapa ukawa kura yako ww, ni mamluki tu,
Kila mtu anaichukia serikari iliyopo ww unalaumu ukawa ambayo...
Makonda anamuuta mbowe police kama nani?
Kuna ulazma gani wa kumuita kwa dharau vile na wakati hana uhakika?
Unajaribuje kumfananisha mbowe na gwajima?
Kiongozi wa kitaifa unamfsnanisha na mwananchi wa kawaida? Hii mijitu mingine ni kama ina akili za kuazima.
Binafsi naona kabisa nchi hii imemshinda na akisema anajiuzulu watu wengi watafurahi sana .
Hajatoa ajira mpya na ilihali sekta kibao zinamapungufu.
Amebana sana pesa mtaani kiasi kwamba hakuna biashara inayoenda vizur.
Vitu vimepanda bei karibia Mara mbili mfano sembe 25kg inauzwa 38000 kutoka...
Mazuri yapi Mzee?
Hajatoa mkopo kwa mwanafunzi ata mmoja aliyewahi kupita private schools.
Amebana pesa na hakuna biashara inayoenda vizuri mtaani.
Tangia mwaka Jana mpaka sasa bei za vitu zimepanda karibia Mara mbili.
Sembe 25kg inauzwa 39000 kutoka 19000 na amenyamaza kama haoni.
Amezima...
Kiujumla naweza kusema kiongizi wetu hajui vizur falsafa za uchumi na maendeleo.
Ukusanyaji wa kodi sana afu kukosa njia ya kuzipeleka hela kwa wananchi kumeathiri sana mzunguko wa uchumi.
Mm binafsi ninaathirika na vitu vifuatavyo.
Kupanda kwa bei ya vyakula hasa unga wa mahindi na sukari hii...
Its impossible to say the economy of Tanzania is strong why the majority of citizens are still suffering with extreme poverty also high rate of unemployment to the majority. If the economy is strong we need to have different industries as well as employment, good social services etc
Hayo maji na maendeleo utayapata kwa mikakati ipi ndugu?
Nchi haina dira wala mipango hii, ukiwauliza ni mambo gan ya kimaendeleo mnategemea kuwa mmeyakamilisha kufikia mwakan hawana uhakika hata moja.
Kazi kukusanya ushuru tu, serikari ibategemea ushuru tu kuendesha shughuli za maendeleo? Aibu...
Huyu jamaa mnazi kweli, anajuta kwa lip? Anaacha kuijutia serikari aliyoichagua anamjutia kubeneha?
Mwaka Jana miezi kama hii kilo 25 ya sembe ilikuwa 16000 Leo kipindi cha mavuno 24000, sukari 1800 Leo 3000, mafuta ya taa hakuna kila kona,
Ni kubeneha kasababisha hayo?
Sera za serikari yako...
Unapaswa kuwa muelewa ndugu, kitendo cha wabunge wa ccm kuwa wengi bungen hakimaanishi kuwa kila wanachokifanya na kuamua ni sahihi,
Kitendo cha naibu kujaribu kunyamazisha upinzani pindi unapoikosoa serikari au kuleta miongozo inayogusa maisha ya wananchi siyo sahihi na kinapaswa kupingwa na...
Mbona viongoz wa ccm ndo madcteta lakin hamuwasemi? Tunaogopa kuongea kwa7bu siku hizi ata ukibainika unaiponda serikari unaenda kunyea debe,
Najua mbowe ndo mtu pekee kwasasa anayewanyima raha zaid mafisiem.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.