Huu mziki ni kama unakufa hivi. Ukitaka kuenjoy classic jazz ni lazima urudi 20th century. Kwa sasa ni kina nani wanafanya jazz bora nijaribu kuwasikiliza
Hii redio ilishakata tamaa na biashara kitambo. Hata sijui wanaingizaje pesa! Maana hata matangazo ya kibiashara hawana zaidi ya kupromote vipindi vyao. Utasikia tunarudi after short commercial break halafu unasikia tangazo la kipenga extra. I believe hao wote wameondoka sababu ya maslahi duni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.