Kumbuka kuna uhakiki wa vyeti na watumishi wengi ambao ni wachapakazi wamewajibika kwa kosa la vyeti feki, kwa hiyo wasionewe wanyonge tu, kila mtu awajibike kwa uovu wake na sio kumkingia kifua kwa kuwa ni kada na ameteuliwa na presidaa.
Mtu akiamua kukuwekea vikwazo atakutafuta sehemu yoyote ile utakayoenda, pia kumbukua TCU ndio wanaodahili wanafunzi na sio kwamba yeye amejichagulia chuo anachotaka ila amepelekwa pale kutokana na udahili na pia naamini akuomba chuo kimoja tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.