Recent content by Irhhey

  1. Irhhey

    Graduation ya CHASO Ifakara tarehe 03/07/2015

    TANGAZO: CHADEMA STUDENT ORGANIZATION (CHASO-Ifakara). Tunayofuraha kubwa kuwakaribisha wote wenye mapenzi mema,bila kujali itikadi zetu katika mahafali ya kuwaaga ndugu zetu wa CHASO-Ifakara ,yatajayofanyika katika ukumbi wa beginis IJUMAA tr.3/7/2015 saa 7:00 mchana, Mgeni wetu rasmi...
  2. Irhhey

    Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Lipumba akamatwa na wafuasi wake, kisha waachiwa kwa dhamana!

    Hizo ni dalili ya chama cha mapinduzi kushindwa kuzuia hisia zao ya kukataliwa Na wananchi Na kuanza kutumia nguvu kuwalazimisha watu kufuata Yale wanayoyataka
  3. Irhhey

    Afisa wa Kanda ya Kaskazini CHADEMA na Katibu wa Mkoa wa manyara wa wasili Haydom Manyara

    Hongereni wana Haydom kwa mapambano ya kuing'oa ccm madaraka ushindi Uko mikononi mwetu
  4. Irhhey

    Maoni ya wajumbe 'walio wachache' katika Kamati namba Nne iliyowasilishwa na Mhe. Tundu Lissu!

    Lisu anatuwakilisha vizuri hatuna shaka naye
  5. Irhhey

    Yaliyojiri Kalenga: Uchaguzi wa Ubunge - Machi 16, 2014

    Chadema hatutafanya fujo ila tutajihami na wafanya fujo (maccm na mapoliccm.)
  6. Irhhey

    Kalenga: Umakini muhimu leo

    Tunafuatilia kwa karbu sana
  7. Irhhey

    Dr. Slaa - marufuku kusafirisha malighafi nje ila products CHADEMA ikiingia Ikulu

    Dr. Sisi tunakupeleka ikulu 2015 hoja zako ni za msingi sana kwa taifa kuliko za kiongozi yeyote
  8. Irhhey

    Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

    Acha upimbi ondoka usitupotezee muda
  9. Irhhey

    PICHA: M4C- Operesheni Pamoja Daima ilivyotikisa leo - Afande Sele ang'arisha Morogoro!

    Nawashukuru watanzania kwa kuelewa na kutambua jitihada zinazofanywa na chadema kwa taifa hili. pamoja daima
  10. Irhhey

    Kwani CHADEMA inahitaji back up ya waislam ili kwenda ikulu?watuachie uislam wetu wafanye siasa zao

    Mleta mada amejikita zaidi kwenye udini kuliko utaifa na unasema kuwa tuwaache waislam na uislam wao kwani waislamu hawahitaji uongozi bora unaoheshimu imani zote ktk taifa hili? Unapo leta mada uwe unafikiri kabla ya kuileta.
  11. Irhhey

    CHADEMA wakwamisha ujenzi wa Chuo Kikuu Mbeya.

    Acha kuandika utumbo humu kati ya CHADEMA na CCM nani wakwamishaji wa maendeleo?:frusty:
  12. Irhhey

    Mbowe alitunishia misuli jeshi la Polisi...!!

    Kamanda mbowe komaa hao polisiccm wanajaribu kutingisha kiberiti waone kama inajaa au la.
  13. Irhhey

    Toa maoni kuhusu kilichoandikwa kwenye hii picha

    Hamjamwona balozi wa Tanzania nchini China Philip Marmo naye amekula pozi?
  14. Irhhey

    Joshua Nassari amjibu Mwigulu Nchemba

    Safi sana nasari
  15. Irhhey

    Lwakatare, Ludovick wafikishwa mahakamani Kisutu

    Tunakuombea baba tutashinda chadema ni chaguo la wengi
Back
Top Bottom