Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

Nitarudisha kadi ya CHADEMA haraka sana...

mkuu mm nimepiga mzigo ndani ya cdm lengo chama kisimame ili watu wakubali kukipa ridhaa kushika dola, nimekata tamaa sana hasa baada ya kuona kuwa chama ni mradi wa akina mbowe huku wengine tunaishia kuchungulia nje ya pazia!

Hebu angalia mbowe akampa kimada wake ulaji ( ubunge viti maalumu), ma-lissu yako mawili bungeni, bado wavimba macho wanafikiri kuwa cdm ni ya watu!

Charles, kwahiyo wewe shida yako ni uongozi nilikuwa sijakupata vizuri
 
Mbowe ni Simba anaogopwa sana na wanachama wa Chadema Ana zile kamati zake za kumtetea yaani cc Pia kamati ya kumlinda na fitna kwa wale wanachama wanaozinduka hii ni kamati inayopenya sana kila kona wapo hii inaongozwa na Rwakatare akisaidiwa na akina Kileo , Mrema na Deus Malya Hawa wamebuni mbinu za ajabu za kuhakikisha Mbowe haguswi hata afanye madhambi gani ukithubutu kuhoji tu unavuliwa Uanachama Chezea Mbowe wewe.... R.I.P chacha wangwe

Sooo. . . . . ????
 
Toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na CHADEMA.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, CHADEMA imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge hata mgombea urais wa CHADEMA dr. Slaa alimshnda Kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda CHADEMA kuliko Mbowe,Slaa,Lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa CHADEMA sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila Mbowe, Slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya CHADEMA. Inauma kuona CHADEMA imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543

Sasa umeweka namba ya simu ili wakutongoze??
 
Ondoka haraka.Chadema haitishwi na wannafiki wachumia tumbo na vibaraka wa CCM.

Shetaini alimsikia kijana mmoja mhuni,mbakaji na asiyena imani na mungu , akimlaani shetani na kumtukana, Shitani alishundwa kuvumulia, akasema " Hata wewe uliye na sifa mbaya zidi yangu, unaweza kunilani na kunitusi, ama kweli huu ulimwengu umefuka mwishi wake".

The point here hata wewe molemo..............
 
Wewe hukuwa mwanachama wala mshabiki wa CDM Ustutangazie njaa yako hapa kaa hukohuko kijijini ulime.
 
MTOA MADA UNA BUSARA SANA!
CHADEMA NI TAWI LA Pride-Tanzania ndio maana wana kopesha japo hurejeshi kwa riba.
 
Ulipochukua Kadi ulileta post hapa mpaka uje utapike..
 
toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na chadema.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, chadema imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge hata mgombea urais wa chadema dr. Slaa alimshnda kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda chadema kuliko mbowe,slaa,lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa chadema sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila mbowe, slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya chadema. Inauma kuona chadema imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543

rudisha upesi, unasubiri nini?
 
Pimbi wewe...unangoja nini mamluki umeona mission yako imefail.Hatutaki mamluki chadema.Chadema iko juu na itaendelea kuwa juu
 
Toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na CHADEMA.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, CHADEMA imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge hata mgombea urais wa CHADEMA dr. Slaa alimshnda Kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda CHADEMA kuliko Mbowe,Slaa,Lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa CHADEMA sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila Mbowe, Slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya CHADEMA. Inauma kuona CHADEMA imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543[/QUOT

Mbona hizi tuhuma ni za kufikirika? Tuambie umekuza chadema eneo gani,tutajie walijikopesha shilingi ngapi na je kukopa ni makosa?. La sivyo ni umbea tu mnafanya na wanawake wenzio. Na hizi namba ulizoweka ni ili utongozwe coz ukahaba ndo kazi yako. Hata hivyo,hulazimishwi kuwa Chadema
 
Toka nizaliwe sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa tofauti na CHADEMA.

Nilijiunga chadema mwaka 2000 na nimefanya makubwa ktk chama kwenye eneo langu: Kwa mchango wangu na wengine, CHADEMA imekuwa ikishinda toka ngazi ya kitongoji hadi rais: Tulinyakua vitongoji vitatu kati ya vinne, m/kiti wa serikali ya kijiji,diwani na mbunge hata mgombea urais wa CHADEMA dr. Slaa alimshnda Kikwete ktk ngazi ya kijiji changu, kata yangu, tarafa na wilaya niliko. Japo mchango huu kwa wahafidhina ni upuzi mtupu!

Ninaipenda CHADEMA kuliko Mbowe,Slaa,Lema, lissu na wengineo kwani mimi katk kazi na mchango wangu kwa CHADEMA sijawahi kulipwa wala kukopeshwa na saccos ya cdm. Ni bure! Ila Mbowe, Slaa n.k wanalipwa mishahara, wanajilipa posho, wanajikopesha bila riba pesa ya chama, na pia wanachukua hongo kwa mafisadi n.k!!

Siku katiba ikiridhia mgombea binafsi nitarudisha kadi ya CHADEMA. Inauma kuona CHADEMA imesimama kwa jasho la wanyonge, halafu wakubwa wamekigeuza kuwa mradi wao na vimada wao!
Ni hatari sana!
0766353543


:msela::shetani::shetani:RUDISHA HARAKA NYIE NDO MNAOTUSUMBUA
 
Back
Top Bottom