Dini zingine shida tupu, ndio maana Wana hawataki mwanamke asimame mbele ya mwanaume atoe hotuba, wanajua watakuja kiaibishwa sana....haiwezekani wanaume wazima Kila kukicha wanawaza ngono, hata hutba zao zimejaa mambo hayohayo...🤐. Hovyo sana
Marais wetu wanaishiaga kufurahishwa na michango yao tu, hawawezi kuwatumia ili wawasaidie na hayo mawazo yao mazuri. Wanaishia kuchekewa na kupigiwa makofi na anaachwa hapohapo nao wanarudi na yaleyale mawazo yao waliyowaletea wananchi baasi
Kwakweli naweza kuwaza kijinga kwamba kuna mtu anataka aiangushe Tanganyika ili afurahi na arudi kwao, ila tutambue hata mafuta ya petrol, diesel nayo hayatapatikana Ina maana hatutaweza kuyanunua hivyo magari yote ya serikali na ya watu binafsi, magari ya kibiashara yote hayataweza kutembea...
Kwasasa wanakamata magaidi wadogo wadogo ambao wanajionyesha mitandaoni na mitaani, kuna wale magaidi ambao hawataki kujionyesha popote hao ndio hatari...na kama wapo basi hatari , faya🔥
Sio mabinti tu, hata wanaume asilimia kubwa ni changamoto....uizi wameupa kipaumbele sana si maofisini Wala mitaani, hata madereva wa magari ni hivyo hivyo uizi, uongo uongo, kujifanya wao wanajua matusi na mambo mengine mabaya kuzidi watu wengine, uhuni ni kwa wote wakiume kwa wakike...sijui...
Kuwaza mambo ya kijinga hivi, ni upumbavu😎. Ukizidiwa akili kubali kuwa nimezidiwa...kushindana na mtu aliyekuzidi akili unazidi kuuweka peupe ujinga wako...Kila mmoja atakudharau Hadi watoto
Unilever ya mufindi, mwaka 2014 nawakumbuka sana ukarimu wao, kwanza walisema hapo mafinga tafuta lodge lala alafu asubuhi wakatuma gari kunifuata na kwenda mufindi..kufika huko breakfast ya kufa mtu, na lunch pamoja na kurudishiwa nauli, na kurudishwa mafinga tena😄😄..ila ajira nikakosa niliumia...
Wachina wenyewe waliopo huku mtaani wanauza hivyo hivyo, jumla elfu 10, rejareja 11.... Na ukiongea nae vizuri anakuuzia pisi 1 hiyohiyo kwa bei ya jumla😄😄. Soko hili ni hatari kwa ustawi wa wazawa
Tangu lini mwanamke anakuwa na maono ya nyumba??...wanachoweza wenzetu ni kuoga, kupaka rangi na poda, kutafuta vikoba vipya, na umbea tu. Wanaume wazima kukaa kusubiria mwanamke afanye mambo ya kuwafurahisha wanaume sahau😎. Ningekuwa ni Mimi, ningetulia tuli kama anavyofanya yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.