Wakiweka magari pembeni, bunduki pembeni, uniform pembeni...hakuna mtakalozidiana sio kwa mazoezi Wala jambo lingine. Mazoezi yao ni yakwaida sana siku hizi, hata ule ukakamavu wa zamani unazidi kupoteza. Askari wanajipodoa, wanapaka lotion, wanaenda massage kufanya scrub, ndio maana wengi wao...
Inatakiwa kukosoa kwa ustaarabu na mipaka, nimewahi kutoa ushuhuda humu. Nimewahi kutoa taarifa inayonihusu mm mwenyewe kuhusu kufanyiwa mambo yasiyofaa na hospitali moja hapa nchini, kipindi Cha magufuri..nikashangaa natafutwa nikajulishwa na watu nyeti ....nashukuru uongozi wa mkoa na ndg...
Kweli kabisa, jinsi alivyojipambanua inatakiwa akipata shida ya kiafya aende tibiwa nje au hata Kenya tu hapo karibu...asiwaamini humu ndani, wameweka tamaa ya pesa mbele uhai wa binadamu nyuma
Asije akawa alikalishwa kwenye sumu awe anakufa taratibu...wenye roho mbaya wamepata kivuli Cha kujifichia...wakijitambulisha kuwa wao ni polisi basi wanakufanya chochote...ukalishwe kwenye sumu na wasikufanye chochote ama wakutese Hadi wakuue na kukutupa ukosekane ushahidi
Uchaguzi ulitarajiwa kufanyika October 29, nyingi mlimkamata April..gap ya April to October ni kubwa sana, huo uhaini angeufanyaje peke yake huko gerezani??. Mm sioni hoja msingi hapo
Ukitaka ufuatilie elimu za Wana ccm utachanganyikiwa, wanaweza kusifu tu viongozi wao ila hawana lolote, hata awe amesoma elimu sahihi ila utaona kichwani hakuna kitu kabisa....tuendelee kusoma jumbe za kwenye makundi sogozi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.