Recent content by IQup

  1. I

    JamiiForums Tanzania Lissu inabidi aukatie rufaa uamuzi mdogo ili mashahidi muhimu anaowataka waje mahakamani

    Hata Mimi nilikuwa nawaza hivyo, kama uwezekano upo Bora akatie rufaa huo uamizi mdogo. Yaani asikubali kirahisi tu
  2. I

    JamiiForums Tanzania Tuna askari dhaifu sana. Kama huyu Agonza licha ya kuwa afya mgogoro ila kamtandika askari basi tunalindwa na watu dhaifu sana.

    Wakiweka magari pembeni, bunduki pembeni, uniform pembeni...hakuna mtakalozidiana sio kwa mazoezi Wala jambo lingine. Mazoezi yao ni yakwaida sana siku hizi, hata ule ukakamavu wa zamani unazidi kupoteza. Askari wanajipodoa, wanapaka lotion, wanaenda massage kufanya scrub, ndio maana wengi wao...
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mbowe amtembelea na kumfariji Rais Samia kufuatia kufiwa na mume wake

    Mzee wa fursa🤣🤣
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mtandao wa jamiiforums ni salama kiasi gani kwa wakosoaji wa serikali na wanaharakati wa mabadiliko ya uongozi nchini Tanzania?

    Inatakiwa kukosoa kwa ustaarabu na mipaka, nimewahi kutoa ushuhuda humu. Nimewahi kutoa taarifa inayonihusu mm mwenyewe kuhusu kufanyiwa mambo yasiyofaa na hospitali moja hapa nchini, kipindi Cha magufuri..nikashangaa natafutwa nikajulishwa na watu nyeti ....nashukuru uongozi wa mkoa na ndg...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Paulo Chacha ana akili timamu?

    Nina wasiwasi na jinsia yake huyo jamaa
  6. I

    JamiiForums Tanzania Mkimbize Mzee Warioba London achekiwe, thoroughly checkup ya afya yake. Achana na hospital za hapa watamfuata huko wahuni

    Kweli kabisa, jinsi alivyojipambanua inatakiwa akipata shida ya kiafya aende tibiwa nje au hata Kenya tu hapo karibu...asiwaamini humu ndani, wameweka tamaa ya pesa mbele uhai wa binadamu nyuma
  7. I

    JamiiForums Tanzania Godlisten Malisa: Polisi ni waongo, hawajanidhamini, sijajidhamini wala sijatuhumiwa kwa chochote

    Asije akawa alikalishwa kwenye sumu awe anakufa taratibu...wenye roho mbaya wamepata kivuli Cha kujifichia...wakijitambulisha kuwa wao ni polisi basi wanakufanya chochote...ukalishwe kwenye sumu na wasikufanye chochote ama wakutese Hadi wakuue na kukutupa ukosekane ushahidi
  8. I

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ukweli wa asili ya Deo Ndejembi - Mama yake alikuwa na asili ya Kiarabu

    Milio tayari🤣, ila haiondoi uhalisia wenu
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mheshiwa Lissu kajitetea vibaya kwenye kipengele cha heshima kubwa aliyonayo kimataifa

    Uchaguzi ulitarajiwa kufanyika October 29, nyingi mlimkamata April..gap ya April to October ni kubwa sana, huo uhaini angeufanyaje peke yake huko gerezani??. Mm sioni hoja msingi hapo
  10. I

    JamiiForums Tanzania PICHA: Ukweli wa asili ya Deo Ndejembi - Mama yake alikuwa na asili ya Kiarabu

    Sura zenye asili ya kiarabu hazifai kabisa, hazina utu, hazina ubinadamu...ingekuwa ni nyimbo ningesema machoni kama watu kumbe mbwa mwitu
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kwa hiki kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya Tundu Lisu, sasa naelewa kwa nini watu hawapendi kupanda kizimbani

    Ila wengine wanatia aibu, watasingizia kwakuwa ni wanawake😀
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kwa hiki kinachoendelea mahakamani kwenye kesi ya Tundu Lisu, sasa naelewa kwa nini watu hawapendi kupanda kizimbani

    Kama ndio hivyo mm narusha ngumu🙁, wanakukejeli makusudi, wanakufanya huna akili alafu wanakuuliza swali uwajibu😀😀, mm Sina ujasiri 😂😂😂
  13. I

    JamiiForums Tanzania CV ya Makamu wa Rais. Vijana/Wasomi acheni kuchunguza chunguza mambo mpeni tu Ushirikiano.

    Ukitaka ufuatilie elimu za Wana ccm utachanganyikiwa, wanaweza kusifu tu viongozi wao ila hawana lolote, hata awe amesoma elimu sahihi ila utaona kichwani hakuna kitu kabisa....tuendelee kusoma jumbe za kwenye makundi sogozi tu
Back
Top Bottom