Recent content by IQup

  1. I

    JamiiForums Tanzania Kidini unaruhusiwa kumuoa mtoto wa nje ya ndoa - Sheikh Kulunge

    Dini zingine shida tupu, ndio maana Wana hawataki mwanamke asimame mbele ya mwanaume atoe hotuba, wanajua watakuja kiaibishwa sana....haiwezekani wanaume wazima Kila kukicha wanawaza ngono, hata hutba zao zimejaa mambo hayohayo...🤐. Hovyo sana
  2. I

    JamiiForums Tanzania Nashauri Wilbard Chambulo ateuliwe kuwa Waziri wa Utalii

    Marais wetu wanaishiaga kufurahishwa na michango yao tu, hawawezi kuwatumia ili wawasaidie na hayo mawazo yao mazuri. Wanaishia kuchekewa na kupigiwa makofi na anaachwa hapohapo nao wanarudi na yaleyale mawazo yao waliyowaletea wananchi baasi
  3. I

    JamiiForums Tanzania Mnyika: CHADEMA Haijafanya Mazungumzo na Serikali, Yapinga Kauli ya Rais Samia Lissu kutafakari

    Kila mtu abebe mzigo wake tu, mambo ya kinafki yanakataliwa hadharani
  4. I

    JamiiForums Tanzania Vikwazo ni hatari sana, ni Janga kubwa, naomba tufahamishane

    Kwakweli naweza kuwaza kijinga kwamba kuna mtu anataka aiangushe Tanganyika ili afurahi na arudi kwao, ila tutambue hata mafuta ya petrol, diesel nayo hayatapatikana Ina maana hatutaweza kuyanunua hivyo magari yote ya serikali na ya watu binafsi, magari ya kibiashara yote hayataweza kutembea...
  5. I

    JamiiForums Tanzania Tumia Email Hii Kuwajulisha CAF kuhusu tishio la Ugaidi Tanzania

    Kwasasa wanakamata magaidi wadogo wadogo ambao wanajionyesha mitandaoni na mitaani, kuna wale magaidi ambao hawataki kujionyesha popote hao ndio hatari...na kama wapo basi hatari , faya🔥
  6. I

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema: Arusha inaharibiwa na uselamavi

    Sio mabinti tu, hata wanaume asilimia kubwa ni changamoto....uizi wameupa kipaumbele sana si maofisini Wala mitaani, hata madereva wa magari ni hivyo hivyo uizi, uongo uongo, kujifanya wao wanajua matusi na mambo mengine mabaya kuzidi watu wengine, uhuni ni kwa wote wakiume kwa wakike...sijui...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Jana nilikufa wakuu, cha ajabu leo asubuhi nimeamka, haikuwa ndoto

    Angalia vizuri hao unaowasimulia, inawezekana wote wamekufa..mpo akhelaa🤔
  8. I

    JamiiForums Tanzania Remedy DPP anayoweza kuifanya ni kuiondoa Kesi dhidi ya Lissu Kisha kumkamata tena na ku fix ushahidi wake ambao umetupwa na mahakama zote mbili

    Kuwaza mambo ya kijinga hivi, ni upumbavu😎. Ukizidiwa akili kubali kuwa nimezidiwa...kushindana na mtu aliyekuzidi akili unazidi kuuweka peupe ujinga wako...Kila mmoja atakudharau Hadi watoto
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kuna makampuni ukienda kufanya interview wanakukarimu mpaka raha yani

    Unilever ya mufindi, mwaka 2014 nawakumbuka sana ukarimu wao, kwanza walisema hapo mafinga tafuta lodge lala alafu asubuhi wakatuma gari kunifuata na kwenda mufindi..kufika huko breakfast ya kufa mtu, na lunch pamoja na kurudishiwa nauli, na kurudishwa mafinga tena😄😄..ila ajira nikakosa niliumia...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Inaumiza sana Gaidi na Mhaini Nchimbi yupo Uraiani na Hai hadi mda huu.

    Kwani hiyo katiba itakuwa mali binafsi ya nchimbi, au haitawanufaisha watoto wa Wana ccm na vizazi vyao. 😄😄😄, ccm hawaelewi wanahitaji kitu gani
  11. I

    JamiiForums Tanzania Sioni Lissu akiachiwa na Samia..na issue ni Samia kashatiwa uoga

    Kwanini akubali kuongoza wakati ana elimu ndogo ndogo. Kutokuwa na akili kusikufanye ujifungie ndani usionane na wenye akili ukapa challenge😀
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kariakoo kuna vita kali kati ya wauzaji wa jumla na rejareja

    Wachina wenyewe waliopo huku mtaani wanauza hivyo hivyo, jumla elfu 10, rejareja 11.... Na ukiongea nae vizuri anakuuzia pisi 1 hiyohiyo kwa bei ya jumla😄😄. Soko hili ni hatari kwa ustawi wa wazawa
  13. I

    JamiiForums Tanzania Kwenye hii vita ya biashara, wananchi tumesimama upande wa wachina, wafanyabiashara wazawa wanatuumiza sana kwa tamaa ya mafanikio ya haraka

    Nimeshangaa kuwaona mahali Fulani wamechukua fremu za kawaida tu nao wanafanya biashara mitaa ya kawaida uswahilini, Hawa jamaa kiboko sana
  14. I

    JamiiForums Tanzania Jaribu kujiweka katika nafasi ya Samuya, ungefanyaje kutuliza upepo?

    Tangu lini mwanamke anakuwa na maono ya nyumba??...wanachoweza wenzetu ni kuoga, kupaka rangi na poda, kutafuta vikoba vipya, na umbea tu. Wanaume wazima kukaa kusubiria mwanamke afanye mambo ya kuwafurahisha wanaume sahau😎. Ningekuwa ni Mimi, ningetulia tuli kama anavyofanya yeye...
Back
Top Bottom