Zote ni tamaa tu, wapi unashawishika zaidi? Kuajiriwa au kujiajiri?. Na ipi Ina kurahisishia wewe kuwa mwizi kwa urahisi, kuwa mdhurumaji, kuwa mwongo, kuwa mnafiki, kudharau wengine, kuwa na hila etc
Vipi kwa kufanya hivyo unapata amani na furaha ya kudumu??.. utajiri umejificha humo, amua...