Recent content by IQup

  1. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nawahakikishieni Watanzania Wenzangu Rais Samia Hatawaangusha Wala kuwakatisha Tamaa

    Hili ni la kulifunga kamba na kulipeleka hospitali mirembe, ni hatari sana kuendelea kuwanalo mitaani, lisije leta taharuki mitaani. RIP vijana wote waliouawa ktk nchi yao😭
  2. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    Amewaza baada ya kushinda atafanyaje? Au anataka ashinde kwanza ndipo aanze kufikiri atasongaje mbele
  3. I

    JamiiForums Tanzania Rostam: Umasikini siyo jambo la kujionea fahari

    Mm nimeshachagua upande wa kusikiliza, ukimpa mwizi nafasi ya kumsikiliza anaongea mengi unaweza kudhani ni mkweli....sikubali 💪
  4. I

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Heee...wanataka awape tena taarifa za wateja wake?? ....Hawa watu buana ...wasimsumbue kijana wa watu ...amejiajiri na ameajiri wengine
  5. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tulia: Reforms zilishaafanyika Bungeni kuwezesha uchaguzi kuwa Huru na Haki

    Angevaa kisuruali na tisheti alafu acheze muziki akiwa anazungusha mikono iliyokunjwa ngumi...ndizo anazoweza sio mambo muhimu
  6. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM iliyopo madarakani inaikosoa CCM iliyopo madarakani

    Ni ccm mbili tofauti hizo, kuna ccm inayonadi sera zake inataka kushika Dola na ccm Ile inayomaliza muda wake. Hao ni watu wawili tofauti ndio maana wanatindinganya mambo, wanabagazana na kubanangana😀
  7. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Samia amekumbwa na nini? Mbona anajivuruga kiasi hiki kwenye hotuba zake

    Vimemo vya kuvisoma ni vingi kuliko hotuba yenyewe, lazima uchanganyikiwe. Alaumiwe muandaa hotuba...alitakiwa amuwekee Kila kitu humo.....yaani unakuwa mgombea unaandaliwa material za kutembea nazo, unapita unakuwa rais unapewa material hutakiwi kutoka nje...lazima uchanganyikiwe kwa wakati wako
  8. I

    JamiiForums Tanzania Sasa naanza kuwaelewa walioajiriwa

    Zote ni tamaa tu, wapi unashawishika zaidi? Kuajiriwa au kujiajiri?. Na ipi Ina kurahisishia wewe kuwa mwizi kwa urahisi, kuwa mdhurumaji, kuwa mwongo, kuwa mnafiki, kudharau wengine, kuwa na hila etc Vipi kwa kufanya hivyo unapata amani na furaha ya kudumu??.. utajiri umejificha humo, amua...
  9. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mapingamizi ya INEC kesi ya Mpina yatupwa, kesi ya msingi kusikilizwa Septemba 8

    Yaani Mpina qkizunguka tu nchi nzima atapata kura za Wana ccm wengi sana watampigia kura, mm siendi kupiga. Ila Wana ccm haohao wengi watampigia...na hii ikitokea muendelezo wa kushambulia kwa mange kimambi, polepole, gwajima, yule dada huko mitandaoni...halafu nchi kavu Mpina atembeze...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Yule Mgombea anayependwa zaidi Duniani kwa sasa Dkt. Samia Suluuhu Hassan Kutikisa Songwe

    Ni kweli mkuu, Mimi sifuatiliagi vitu vya kijinga kwa sasa
  11. I

    JamiiForums Tanzania Yesu alizikwa mara tu baada ya kufariki, kwanini Wakristo wanachelewesha mazishi na kuzichoma sindano maiti ili kuzuia kuoza na kunuka?

    Kama anafufuka mapema hivyo kwanini mzike haraka haraka kujichosha, wangemuacha pale juu na siku ya Tatu angerudishiwa pumzi na wakute tayari anatembea tena 😃😃
  12. I

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rais Mwinyi: Tuna akaunti maalum ya kulipa madeni, nitaondoka madarakani sitaacha deni hata la Senti 5

    Nakubaliana naye...wanachukua pesa za Tanganyika wanamalizia deni lao la taifa. "Huyu na yule lao moja! Kwa sauti ya polepole"
  13. I

    JamiiForums Tanzania Yule Mgombea anayependwa zaidi Duniani kwa sasa Dkt. Samia Suluuhu Hassan Kutikisa Songwe

    Ukiona mtu ambaye hagombei na yule gerezani anapendwa sana kuzidi yule anayegombea na yupo majukwaani..OGOPA!. Ukiona watu wanapenda sana maiti kuliko mtu aliye hai OGOPA!. Ni hatari, saizi mtaani kwetu wananchi wa kawaida ni wachache sana kuliko polisi yaani watu wa ulinzi na usalama ni wengi...
Back
Top Bottom