Recent content by ipwiri

  1. I

    Serikali itoe mwongozo wa masomo hasa kwa siku ya Ijumaa

    Habari, Nimesma post ilioletwa hapo juu nikafurahi hata jinsi ilivyowasilishwa kistaarabu,hekima na upendo bila hata kuweka maneno yasioridhisha au chuki kwa uande wa imani nyingine. Kimsingi na kwa uwelewa wangu,hili suala lipo wazi sana,achilia mbali sala ya ijumaa hata zile sala tano za...
  2. I

    Picha za ziara ya mwanamfalme wa Saudi Arabia, bandari ya Dar es salaam!

    Hello, tabia ya kutesa watumishi wa ndani sio tabia ya kila msaudi,usichukulie kosa la mtu mmoja basi ukachukua kwa ujumla wake utakuwa hujawatendea haki hao wasaudia. Ni mara ngapi au kesi ngapi tunakutana nazo huku kwetu wadada au jamii inavyowatesa dada zetu wanaofanya kazi za ndani.
  3. I

    China yajitoa rasmi ujenzi wa reli nchini, yadai Mkopo ilioutoa ulikuwa ni wa upembuzi yakinifu

    w ewe ulitaka hivyi vifaa wakavitoe wapi na hiyo tenda/kazi aifanye nani? Ulikua unahitaji reli au kutoa kazi kwa watu tofauti tofauti? Acha influence mkumbo jamani. Ni bora hata walivyosimamia wenyewe kwakuwa wamefanikisha huo mradi badala ya kuwa achia wa afrika ambao wange re-allocate hizo...
  4. I

    Maazimio ya Members wa JF juu ya Makonda na vita ya mihadarati

    UNAFIKI WA WAZI USIO HATA NA MSHIPA WA AIBU Kwanza nianze kutoa angalizo fupi juu ya sakata la vita iliokolea hivi majuzi ya madawa ya kulevya"TUACHE KUWA NA NDIMI MBILI NA KUSAHAU MANENO YETU BINAFSI YA JANA YETU". Watanzania wa nyadhifa mbalimbali na kwa vipindi mbaalimbali wamekuwa...
  5. I

    Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Hongera kijana mwenzangu Paul Makonda,acha wanaobeza kuwa unataja dagaa wakati wao hata tembele wameshindwa kutaja. Ulichokifanya ni ujasiri wa hali ya juu zaidi ya kubeba kaa la moto kichwani huku ukijua una kipara. Wala usiangalie utafikia wapi we angalia umeokoa au utaokoa wangapi. Hata...
  6. I

    No orchid for Ms. Wema Sepetu

    Nafikiri tunapoteza dira na mantiki ya upinzani. Na hali inakoelekea upinzani unakuwa nikama ukinzani. Kutekeleza jambo jema siku zote kwa muungwana hakuangalii eti jana ulifanya nini. Hivi si ndio hawa wapinzani wanaopendekeza kiongozi akifanya baya apelekwe kwenye vyombo vya sheria? Sasa leo...
  7. I

    Wazazi wake wanataka amalize shule ndio aolewe, nami umri umekwenda!

    Hivi anaeuliza hili swali ama ushauri ni wakiume kweli? hauko serious kabisa. Unauliza ufanye nini?? ana kipi cha ziada huyo binti.....jiongeze zoba wewe!!!
  8. I

    Vodacom Tanzania; Hii jeuri ya kibiashara mnaitoa wapi?

    wajua hakuna kampuni za kihuni kama hizi za mawasiliano...zinakera sana tena wezi
  9. I

    Zitto: Nitafanya maamuzi kuhusu hatima yangu CHADEMA mwezi Machi, 2015

    Habari wadau wa maendeleo wa nchi bora Tanzania. Kuna haja ya kutafakari sana maneno na mazungumzo yetu hususani katika kipindi hiki tulichopo ambacho tunaelekea kupata timu nyingine yakuendesha nchi yetu. Dunia haitokaa bila kuwa na watu walio na upeo na fikra kinzani lakini chakufikiria ni...
  10. I

    Ufisadi huu kwa Mwigulu Nchemba unahitajika majibu zaidi ya uwajibikaji kisiasa

    Ni bahati mbaya sana uongozi ngani ya nchi yetu hutegemea muingiliano baina ya watawala na wateuliwa. Haya yote hayatokei kwa bahati mbaya ndugu zangu ni mambo yanayofahamika na hata hatua zinazoweza kuchukuliwa zinajulikana. watu tunaendesha maisha kwa mazoea na ubinafsi mkubwa na waafrika...
  11. I

    Ufisadi huu kwa Mwigulu Nchemba unahitajika majibu zaidi ya uwajibikaji kisiasa

    Ni bahati mbaya sana uongozi ngani ya nchi yetu hutegemea muingiliano baina ya watawala na wateuliwa. Haya yote hayatokei kwa bahati mbaya ndugu zangu ni mambo yanayofahamika na hata hatua zinazoweza kuchukuliwa zinajulikana. watu tunaendesha maisha kwa mazoea na ubinafsi mkubwa na waafrika...
  12. I

    Mwigulu: Tutalipa Deni la Tshs 8.4 Trilioni

    Wadau natambua umuhimu wa huduma ya Afya kwa kila binaadamu hususani wale wenye maradhi au changamoto za kiafya. MSD wamepewa dhamana ya kuwa mdau mkubwa wa huduma za usambazaji wa dawa na vifaa tiba kwa mfumo wa kibiashara usio na faida kubwa,kwa maana hiyo wanapaswa kuendesha taasisi yao kwa...
  13. I

    UKAWA wanyaka nyaraka juu ya Mpango wa kifisadi wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa

    Hadi kufikia 2015 october kila mtu anahitaji passport,maana nahisi kizunguzungu kama sio kihindihindi
  14. I

    Lengo ni kuingo'a CCM au kuleta maendeleo?

    Nafikiri huwa tunakosea 1 point,kinachotakiwa kuleta mabadiliko sio MTU,bali ni MFUMO,nashida kubwa kwetu ni mifumo na utekelezaji wa hiyo mifumo,tunaweza kumchagua mtu tunaemuona yuko vizuri sana nakumuweka sehemu husika,ila kama mifumo mibovu ndiyo itayomuongoza still tutabakia palepale au...
  15. I

    Jaji Warioba anaishi kwa mlo wa CCM kwanini anaishambulia Serikali

    Tatizo vijana tujiaminisha kwa mambo ambayo yako kwenye nafsi za watu,kila mmoja anajitahidi kuonyesha yuko sahihi,Naamini dhambi kubwa inanukia kwakila miongoni mwao. Heshima ya binaadam hailazimishi,huja kwa watu kutambua unayoyafa. Ukishakuwa mwanasiasa wa kiafrika,ni mfanyabiashara wa fikra...
Back
Top Bottom