Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
- Thread starter
- #41
Kuna watu wengi sana hapa wana imani kuwa Wapinzani wa Tanzania wataweza chukua madaraka.
Sijaelewa sijui ni kitu gani kinawapa hiyo imani? Ukiangalia kila upande wamezidiwa wanagongwa.
Dalili nzuri ya kushinda ni serikali za mitaa. Wewe unasema unataka kuing`oa CCM wakati mwenyewe hujielewi.
Wapinzani bado sana hapa kwetu labda kije chama kingine makini. Labda anzisheni TANU na ASP ndio mtaweza kuitia CCM lakini kwa hizi mbwembwe mtagongwa kila sehemu.
Sijaelewa sijui ni kitu gani kinawapa hiyo imani? Ukiangalia kila upande wamezidiwa wanagongwa.
Dalili nzuri ya kushinda ni serikali za mitaa. Wewe unasema unataka kuing`oa CCM wakati mwenyewe hujielewi.
Wapinzani bado sana hapa kwetu labda kije chama kingine makini. Labda anzisheni TANU na ASP ndio mtaweza kuitia CCM lakini kwa hizi mbwembwe mtagongwa kila sehemu.