Recent content by ipocku

  1. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemtelekeza supermarket na bili ya laki nne

    Hahahahaa
  2. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke wa dizaini hii anafaa kuolewa?

    Hivi kwa dunia ya sasa kuna mwanamke ambae haombi pesa?
  3. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maneno ya kejeli ya mume wangu

    Huu wito wa ndoa umekuwa mgumu sana, walio single sasa wataogopa kuingia kwenye ndoa kwa style hii. Pole sana dada, jaribu pia kumshirikisha Mungu, yeye aliyekuumba anajua solution ya matatizo yako
  4. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Badoo inanivunjia uchumba wangu

    Pole sana kaka, hakuna jingine zaidi ya kuachana nae kwa amani tu, adhabu nyingine Mungu atampatia taratibu kadri siku zinavyoenda maishani mwake.
  5. ipocku

    JamiiForums Tanzania Ajali mkoa wa Dodoma ikihusisha basi la Osaka na lori

    shetani kazini..! Tuombe mwenyezi mungu aiponye nchi
  6. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushaur wenu tafadhar

    Jitahidi kumwomba mungu akupe upeo mkubwa zaidi katika kufikiri, akupe uelewa na kuifungua akili yako upate kutambua lipi jema na lipi baya, akuongoze kupita na kuyashinda zaidi majaribu unayokutana nayo katika umri huu ulionao, zaidi akupe nuru iwezayo kumurika njia ambayo utapita katika safari...
  7. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nahisi nina matatizo ya kupenda sana

    hongera, ila omba mungu shilingi isigeuke make tiba yake sijui tu.
  8. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

    Inasikitisha sana.
  9. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimezaa nae naogopa kumuacha

    Anza kuongea na mkeo muulize kwa upole kwamba atajisikiaje mtoto wake kulelewa na mama wa kambo? au muulize malengo yake hapo mbele ni yapi inawezekana umepanga kwenda kumlipia mahari ila mwenzio hana mpango. Jaribu pia kumweleza hasara nyingine zitakazotokea baada ya kuachana kutokana na yeye...
  10. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengine hawajui kusamehe

    Mwenyezi mungu ampumzishe kwa amani, ukishaingia kwny ndoa uvumilivu, kusamehe ni vitu vya muhimu ukizingatia tayari unawatoto, kina mama tunatakiwa tuwe wavumilivu japo inategemea na kosa lenyewe. Kuna mengine si ya kuvumilia.
  11. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simuelewi huyu kaka- ushauri wako ni muhimu tafadhali

    Jamani wanaume mnaumiza sana katika swala la mapenzi, kwa nini lakini? badilikeni basi.
  12. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi wanatembea na machangudoa bila kufahamu

    Inauma sana, ila ni fundisho pia,sidhani kama mara ya pili atarudia kosa.! pole kwake
  13. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makosa niliyoyafanya katika kupenda

    pole, ni kweli upo katika wakati mgumu.. usijutie nafsi yako na kujilaum bali mshukuru mungu kwa kila jambo, uambie moyo wako kuwa tayari imeshatokea. Angalia wapi ulikosea tangu siku ya kwanza umekutana nae mpaka leo hii mmeachana, Makosa hayo sasa yasifanyike tena katika uhusiano ujao. Si wewe...
  14. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wasichana waliolelewa na mama tu au familia ambayo mama anatawala huwa na kasoro hizi?

    sio kweli, ni jinsi binti yeye alivyo tu na anachoamini yeye.. hawakuchagua kulelewa na mzazi mmoja ilitokea tu kwa sababu mbali mbali.. usimwache mwanamke anaekupenda kwa dhati na kukuheshim sababu tu kalelewa na mzazi mmoja.. inasikitisha sana.
  15. ipocku

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi Jay Z ana nuksi, laana au badlucky?

    hahahaa! inasikitisha sana, inawezekana hii imem affect mpaka ukubwani yani akimfata binti akakataa basi anarefer utotoni. Kuna kitu zaidi inawezekana anakuficha, jaribu kuongea nae kwa undani zaidi aweke wazi matatizo yake yote na kama kulikuwa na vitu anavifanya ambavyo si sahihi mf. ushoga...
Back
Top Bottom