Recent content by ipad

  1. ipad

    Mchange, Shonza kuhamia CCM punde

    kama wanategemea kutumia siasa chafu kama mtaji wao kisiasa,watu wakichoka kusikiliza uongo wao sijui itabidi warudi kulima mihogo
  2. ipad

    Ben Saanane anastahili Tuzo CHADEMA

    Yetu macho na masikio.
  3. ipad

    Is this the end of CHADEMA?

    Hakuna anaeshinikiza gesi ibaki mtwara, watu wanashinikiza wana mtwara wafaidike na hyo gesi bla kujali imeuzwa ndani au nje ya nchi, songea wana haki ya kufaidika na mapato ya uraniam kwani hata madhara ya mionzi ya sumu wataibeba wao pekee
  4. ipad

    Mahojiano yangu na Mtanzania: Nitagombea uenyekiti wa BAVICHA

    Aombe radhi,awe mwanachama wa kawaida.
  5. ipad

    Is this the end of CHADEMA?

    Sio tu useless,functionless na wanaogopa vivuli vyao wenyewe...wanahofia 2015 watakuja na mbinu gani ya kuchakachua..CDM,
  6. ipad

    Hatima ya jimbo la Sumbawanga mjni Jumanne ijayo

    Tutakuwepo kamanda...Mungu atatupigania haki itetendeke..
  7. ipad

    Dr. Slaa, Hapa sijakuelewa ulichotaka kukimaanisha...

    Alipwe wapi mkubwa Molemo ana volunteer huyo...
  8. ipad

    Kwa Baregu si sawa ila kwa Migiro ni sawa?

    wamezoea kukandamiza demokrasia,sasa kama wafanyakazi wa serikali hawatakiwi kujihusisha na siasa..je kauli ya kinana kuwataka wafanyakazi wa serikali wawajibike kwa CCM ina maana gani?
  9. ipad

    Pendekezo: Hii ndiyo Timu ya CHADEMA itakayokivusha chama Salama!

    Nikiwa mmoja wa wafuasi wa uhuru wa fikra,naheshimu mtazamo wako kaka Molemo wala hamna haja ya kukashfiana,mwenye mtazamo tofauti allete jamvini tujadili.
  10. ipad

    Namleta Kwenu Kamanda Lilian Wasira, Karibuni kwa Maswali & Majibu

    karibu kwenye mapambano ya kumwokoa mtanzania
  11. ipad

    Kulikoni bunge haliko live?

    Hawa jamaa wa ajabu hawataki sisi mabosi wao tuliowaweka bungeni tuwaone?..sasa 2015 tunawatoa magamba wote tuwapeleke watakaopenda tuwaone live
  12. ipad

    Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

    Pia amesema,suala hili la Rushwa linamsononesha sana.
  13. ipad

    Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

    Siasa bwana!
  14. ipad

    Lowassa: Rushwa ni kansa inayoitafuna nchi

    Aliyepata kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania,Edward Lowassa amesema rushwa nchini ni kansa inayoitafuna nchi,amesema hayo mchana huu akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya DW, Pamoja na hayo amesisitiza kuwa hana kundi ndani ya CCM. Mahojiano; Haya ni dondoo za mahojiana ya Lowassa na mtangazaji wa DW...
Back
Top Bottom