Mimi katika maisha yangu sijawahi kuona MTU kaenda kucheki afya halafu akafa labda wangetuambia aligongwa na gari wakati anavuka pale st Thomas kwenda pub iliyo upande wa pili.
kumbe ubunge Sikh hizi ni sawa na urais?haya zitto with huo ukamalize matatizo ya ubungo kama ulivyofutilia mbali ya kigoma kaskazini na kuifanya kama Dubai.
hakuna chama kichowahi kuanzishwa na kufanya mkutano mkuu kulipa wajumbe was nchi nzima posho,kuwavalisha kofia T-shirt na kununua magari mapya ndani ya mwezi kama chenyewe hakijanunuliwa.
kwa hiyo wewe usisahau kunichukia kwenu MTU akiwa mlevi halafu akaacha hataruhusuwa tens kusema ukweli hata kama kauona?
hiyo dini yenu ni mpya na MNA kazi kuitangaza.
ccm wezi,act wanafadhiliwa na mafisadi kuroka ccm,chadema hawajajipanga na kila kiongozi ndani ya chadema ananuka kashfa ya ngono na wake za watu,cut hawajitambui,top na nccr wapi usingizini.
ni nafikiri hii nchi tumtafute chizi tumpe kwa miaka mitano tu.
sikubaliani na mtoa mada kwani mimi nipo makundi yote inategemeana na aina ya meananke niliyenae.
mfano kuna aina ya mwanamke naweza kumpiga vya harakaharaka saba mpaka asubuhi na pia kuna aina nyingine viwili kwa Sikh na mwingine sikojoi ni kusugua tu mpaka nivute hisia za mwingine
ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.