Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Wananchi kuwakataa Zitto Kabwe na Edward Lowassa

Status
Not open for further replies.
Mleta mada ni walele akina Hoza wa Morogoro. Wanakiogopa kimbunga/mafuriko ya EL.
 
siasa mchezo mchafu...EL SAWA ila zitto jembe

Tufanye siasa zetu kwa staili zote muhimu ni kukiri kuwa ZZK bado angefaa kuwa mbunge. Ni vema kama atagombea wapiga kura wasimpige chini ili kuendelea kutumia uwezo na uzoefu wake kuchangia kuiua utendaji kazi wa bunge letu.
 
Yule sio mbunge wa upinzani kwamba aipekekeshe serekali wapo Kina Lissu,Mnyika na Mungu ajalie tuwaongezee Nguvu ya wengine bunge lijalo

Kwa hiyo wako bungeni kuchua posho na mishahara tu, kazi watafanya wapinzani? basi wapinzani wapewe nchi haraka
 
miaka 8 unakula posho tu hata mchango mmoja bungeni hakuna, unakurupuka unataka upresdaaa, huyu ni mbunge mzigo kabisa, hata tofauti na assumpta japo yeye huchangia kidogo
 
Sasa zitto kafanyaje au ndo unataka kuvutia wasomaji.....----- uu
 
Hata mawaziri wengine waliostaafu utawaona wanakaa Nyuma kabisa kimya. Yeye anaijua serekali yote na kuuljza swali ni kama kutaka kuwaumbua hivyo kwa Busara tu utawaona wengi wako kimya




Tatizo nimegundua kuwa kuna watoto waliovalishwa pumpers humu JF hawafuatilii mamba kwa undani na kujifinza yale wasiyoyajua.

Watu hawajiulizi ni kwa nini Lowasa anapigwa vita zaidi na watawala wa chama na serikali?Hata kufikia mahali tunakuwa na mashaka kuwa hata afya yake ina hujuma ndani yake japo ukifika mambo yatajulikana tu!!
Hivi walitegemea Lowasa asimame aanze kuichambua na kuikosoa bajeti au mswada ulioletwa na CCM chake eti ili tu aonekane! Lowasa akisema jambo lolote bungeni au hata mtaani linabadili hali ya hewa nchi nzima na kuleta mtafaruku mkubwa ndani ya chama na serikali.
Lowasa akisimama na kukosoa bajeti yoyote italeta mgogoro mkubwa na huenda ikashindwa kupita jambo litakalomletea misukosuko ndani ya chama na serikali.
Lowasa akisimama bungeni ni lama rais anayelihutubia bunge anachosema kitakua ndio hitimisho mana wananchi wengi watamsikiliza na wabunge pia hasa wa chama tawala jambo litakaloonekana kuwa ni kupiga kampeni kwa njia ya kuiangusha bajeti ya serikali. Kama amezoea kusingiziwa na kutishwa nadhani atashughulikiwa mara moja kama Kolimba.
Tunaona jinsi matamko yake anayoyatoa akiwa hata kwenye jimbo lake yanavyotikisa nchi nzima na kusababisha jopo la mawaziri na manaibu waziri wakimbilie kwa Nape kulia na kudai azuiwe na asiruhusiwe tena hata kufanya mazoezi kwa mujibu wa maelekezo ya dkt wake.

Nyerere alijikuta anakua adui wa Mkapa kwa sababu alikua anaikosoa serikali aliyoiongoza mwenyewe kwa miaka 24. Kama kiongozi aliyekaa madarakani kwa wadhifa mkubwa kama waziri mkuu au rais ukiona kuna jambo lililokaa vibaya unapaswa kuwashauri mawaziri ofisini.
Hivi unadhani Lowasa atakua na usalama gani endapo atasimama bungeni na kumbana Jasusi kama Waziri wa Mambo ya Nje au Waziri wa uchukuzi au Waziri Mkuu au Naibu waziri wa Mawasiliano au Waziri wa Afrika Mashariki au Waziri asiyekua na wizara maalum au waziri wa kilimo n.k.
Hawa wote wanakutana kwenye baraza la mawaziri ambapo yeye hayupo na wote wanaweza kuungana kwa ajili ya kupambana na huyu mtu anayeweza kukwamisha bajeti zao .Tutegemee nini hapo?

Mheshimiwa Lowasa ni mtu mwenye busara zilizopindikia.
Lowasa ni kama mfalme Suleimani aliyejaliwa hekima na busara ,kisha utajiri wote wa dunia ukamfuata.

Wananchi tunaona na mwaka huu tutaamua wenyewe .Rais kikwete ni Mjanja na msikivu hivyo atafanya uchaguzi uwe huru na haki kuliko wakati wowote katika historia ya Taifa hili.
Atakayeshinda atashinda kwa haki.
Wenye macho ya kuona wataona.
 
hii mada ina connection gani na zitto au ndo style ya kutafuta wachangiaji wengi.
 
Kwa mipango ya chini chini, kununua magazeti, kununua watu JF forum na hata mamodereta wetu kufuta nyuzi zenye mashiko au kuchanganya nyuzi kwa lengo la kuwapoteza wananchi, hakika EL atakataliwa na wananchi iwapo atagombea ama kupitia CCM, ACT au TLP.

EL atakataliwa kama ambavyo Mrema, ZZK wanakataliwa na wananchi, watu hawa wanaharufu kali ya usaliti kwa umma.

Ukituhumiwa mambo ya UFISADI huwezi tena uje kuwa amri jeshi mkuu wa nchi, fisadi??? (kwa maneno yako ulijihuzuru kulinda CCM na serikali sio wananchi ndo maana hujaweza kusema ukweli wa mambo hado leo unalalamika tu, kama ulionewa sio sema ukweli once and for all) wananchi wa tz sio wajinga pesa wala, pilai kama Nape ala lakni kura kuchagua rais, hatuwezi mpa mtu kama EL.

Umekaa bungeni kimya miaka 8, huna hata haya. Ina maana hujaona suali ambalo serikali au mbunge mwenzako kalikosea?? bubu awe rais? au mbinafsi awe rais???

Nawasilisha
Kuna kila dalili kwamba hela za uma zinatumika na ACT inatumiwa kuleta vurugu kwenye siasa kwa kumtumia Zitto Zuberi Kabwe. Hivi hakuna kifungu cha sheria ambacho kinamruhusu Raia kumfungulia mashitaka ya wizi /rushwa ?
 
Zitto na Lowasa hawana tofauti na mrema .
 
hii mada ina connection gani na zitto au ndo style ya kutafuta wachangiaji wengi.

Heri umeuliza, japo umekomenti ujinga pia, hatutafuti wachangiaji bali utakuja kuelewa baada ya mambo kutokea, ACT na EL, hivyo ZZK wanamahusiano gani. Wanaanza wanakataa kisha wanakili kwenye vyombo vya habari. Kama huna jicho la tatu uliza tu inatosha lakn komenti huku huelewi ni kujaribu kuogelea mto mara, uliza mamba watakufanyaje
 
.... Watanzania Wanaomtaka EL Awe Rais Hawana Akili Na Ni Wapumbavu
 
Lowasaa hana wanyima usingizi sanaa na bila lowassa ccm ndio mwisho wake
 
JK tuondeshee hili fisadi, si ulijiridhisha kuwa liliiba baba, Ukamwamuru ajihuzuru, huyu ambaye BUnge lako liliona ni mtu wa kifisadi na rais kama taasis ukajiridhisha ameamka akaungana na kina mjenga, kigwangala sasa wanataka URAIS, hata AIBU JK HAWA WATU HAWANA
 
ccm wezi,act wanafadhiliwa na mafisadi kuroka ccm,chadema hawajajipanga na kila kiongozi ndani ya chadema ananuka kashfa ya ngono na wake za watu,cut hawajitambui,top na nccr wapi usingizini.
ni nafikiri hii nchi tumtafute chizi tumpe kwa miaka mitano tu.
 
Bavicha mwaka huu mtamalizwa na pressure..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom