Recent content by Interlacustrine R

  1. Interlacustrine R

    Mke wangu, Umetafuta adhabu umekosa hadi umeamua kuniadhibu hivi?

    Mapenzi ni kaburi la mwendokasi ktk karne hii ya 21 mbali na ajali, UKIMWI na kansa.
  2. Interlacustrine R

    Kuna mafuta au mchanganyiko gani unaoweza kukuza nywele zaidi kwa haraka na kuwa nyingi?

    Nishakwambia unifate inbox nikupe no za wataalamu wa misitu hata kama ya Amazon bado unaleta hadithi za Juma na Uledi, uko makini na utakacho?
  3. Interlacustrine R

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Chelsea FC fans tunazidi kuwaombea Arsepimbi wana London wenzetu japo kishingo upande mbebe hata kombe la EPL tu, komaeni.
  4. Interlacustrine R

    Kuna mafuta au mchanganyiko gani unaoweza kukuza nywele zaidi kwa haraka na kuwa nyingi?

    Bado unaishi safari ya "akili ni nywele" mkuu? Nifate inbox nikutumie no za specialist mwenye dawa hizo hata kwa aliye na kipara huoteshwa nywele.
  5. Interlacustrine R

    Tabora: Msanii akamatwa kwa kumwingizia mtoto uume mdomoni

    Neno "sehemu za siri" limekosa mantiki sana kwa kizazi hiki cha kina juniors.
  6. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wamarekani ni matapeli hutaona wakimleta kocha mkubwa kaliba ya akina Mourinho au Conte maana hawataki kuheshimu professional na maamuzi ya makocha chini ya uongozi wao. Kiufupi Chelsea tumepigwa sana kukubali wadhamini wawe Wamarekani.
  7. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Shida ni wadhamini, hata wakimfukuza kocha wa mchongo muingereza bado tu wataajiri kocha mwingine wa mchongo.
  8. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    PSG ilikuwa bora sana kushinda 8-2 dhidi ya Chelsea FC kwa hali hii au tusubiri next UEFA CL quarter finals?
  9. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bado tu kocha wa mchongo muingereza hajafukuzwa darajani?
  10. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bado tu kocha wa mchongo muingereza hajafukuzwa darajani?
  11. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bado halijafukuzwa tu kocha la mchongo "liingereza" toka darajani?
  12. Interlacustrine R

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bado tu kocha wa mchongo muingereza hajafukuzwa pale darajani?
  13. Interlacustrine R

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kabla ya mechi 2 za mwisho Arse8 kucheza nilibishana sana na Pimbi moja la Arsenal FC likidai mwaka wao huu watabeba vikombe vinne kwa mkupuo..."UEFA champions league, EPL, FA na Carabao" 😁 Alidai hakuna timu yoyote Ulaya iliyo bora zaidi ya Arse8, nilimueleza muda ndiyo Mwalimu sahihi...
  14. Interlacustrine R

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huwajui vizuri Aser8 fans wewe, akili zao zinawatosha wenyewe... Hawana tofauti na Ke wanaojifungua watoto kwa uchungu na kujiapiza hawatazaa tena, baada ya muda tena wana vibendi 😂
  15. Interlacustrine R

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Aser8 = Timu ya watoto, ni heri mashabiki mshabikie hata karate & comfuu za kina Jack Chain kuliko upuuzi huu 😅
Back
Top Bottom