Wamarekani ni matapeli hutaona wakimleta kocha mkubwa kaliba ya akina Mourinho au Conte maana hawataki kuheshimu professional na maamuzi ya makocha chini ya uongozi wao.
Kiufupi Chelsea tumepigwa sana kukubali wadhamini wawe Wamarekani.
Kabla ya mechi 2 za mwisho Arse8 kucheza nilibishana sana na Pimbi moja la Arsenal FC likidai mwaka wao huu watabeba vikombe vinne kwa mkupuo..."UEFA champions league, EPL, FA na Carabao" 😁
Alidai hakuna timu yoyote Ulaya iliyo bora zaidi ya Arse8, nilimueleza muda ndiyo Mwalimu sahihi...
Huwajui vizuri Aser8 fans wewe, akili zao zinawatosha wenyewe...
Hawana tofauti na Ke wanaojifungua watoto kwa uchungu na kujiapiza hawatazaa tena, baada ya muda tena wana vibendi 😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.