Recent content by Interlacustrine R

  1. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Kijana tangu unazaliwa hadi unafika miaka 45 hujawai pata gonjwa la zinaa au hata U.T.I mshukuru mungu

    Ahsante sana Mungu kunifanya nitembee kifua mbele kiafya. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  2. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Bado hujakutana na Ke pasua kichwa mkuu, utakuja kulaani siku uliyozaliwa duniani kwa kupigwa matukio endelevu kwa kunguru asiyefugika. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  3. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Ke chuma ulete aina hii ndiyo wengi 999% kwa 1% kwa zama hizi. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  4. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Kunguru hafugiki kamwe! Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  5. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Mwanamke Asset na Mwanamke Liability

    Dunia ina maajabu sana, Ke waelewa aina yako huwa mnaangukia kwa matapeli. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  6. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo mwanaume akifanya Mwanza/ Usukumani, jamii yote itamshangaa

    Me wameasi uanaume na kujimilikisha uanawake wakibatiza mama zao majina "mishangazi" ilimradi tu wapate mserereko. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  7. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Unene, kuwa kibonge ni ishara ya kula hovyo na uvivu

    Wahenga tulio above 40 hadi 80 ambao hatuna vitambi au ubonge tugonge cheers... Ubinadamu ni kazi the humanity is work.
  8. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Uliwezaje au una-deal vipi na mchumba au mwanamke anayeamini katika dawa za kienyeji kama ulinzi (kinga dhidi ya wachawi)?

    Fyekelea mbali, hakuna ushirika kati ya mafuta na maji. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  9. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Jihadhari, utakufa mapema bure kwa sababu ya uchungu ulio nao!

    "Usijifanyie sanamu ya kuchonga wala kuiabudu" Zingatia amri hii hakika hutateseka tena mkuu. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  10. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Jihadhari, utakufa mapema bure kwa sababu ya uchungu ulio nao!

    Endelea kuumia sababu ya Ke maana ndiyo uvulana huo kuelekea uanaume. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  11. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Niliacha kabla ya kuwa na mke nikaja kuoa miaka 6 mbele. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  12. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Punyeto itanimaliza wakuu, Kwa mwenye uzoefu na alifanikiwa kuacha naomba ushauri wake natamani sana kuacha wakuu

    Omba, sali na kufunga sana kwa imani utaacha jumla. 2012 Nakushuhudia nilifunga wiki 1 niliacha hadi sasa. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  13. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania FT: Gaborone United 1-1 Young Africans SC | CAFCL-1st Leg | Botswana National Stadium | 05-09-2026

    Acha kupita pita na kanga moja kwenye vikao vya kiumeni we kolo. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  14. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Hata ardhi nayo ni kiumbe hai, kuna mahali iliamrishwa na Nabii kufunguka na kujifunga ikawaua watu, lilikuwa ni tamko la adhabu ambayo iliombewa kibali toka kwa Mungu baada ya watu kumdhihaki Nabii wa Mungu. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
  15. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Uliongea vitu gani na bahari ilikufungukia? hebu jazia nyama tujifunze zaidi mkuu. Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Back
Top Bottom