Bado hujakutana na Ke pasua kichwa mkuu, utakuja kulaani siku uliyozaliwa duniani kwa kupigwa matukio endelevu kwa kunguru asiyefugika.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Me wameasi uanaume na kujimilikisha uanawake wakibatiza mama zao majina "mishangazi" ilimradi tu wapate mserereko.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
Hata ardhi nayo ni kiumbe hai, kuna mahali iliamrishwa na Nabii kufunguka na kujifunga ikawaua watu, lilikuwa ni tamko la adhabu ambayo iliombewa kibali toka kwa Mungu baada ya watu kumdhihaki Nabii wa Mungu.
Ubinadamu ni kazi/the humanity is work.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.