Nature huhitaji Ke kupigwa mipwipwi tu, kuzaa na kulea watoto akimshauri Me, shida kuna marioo wasiojielewa nakati hata maumbile ya mwili hudhihirisha Ke ni mpokeaji tu si mtoaji.
Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
Kiuhalisia Ke 70% duniani wakianza tu kuinuka kiuchumi hufikiria kujitenga na Me ili wawe huru kula bata na watoto na ukijichanganya utatangulizwa kabisa usipopenda kwenda.
Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
Kuanzia sasa Me hatukubaliani na usemi "kumuwezesha Ke umewezesha jamii" bali "Usimuwezeshe Ke ili uokoe jamii".
Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
Kumbe Ke wote ni chuma ulete tu kwa Me wakijificha kwenye kichaka cha haki sawa ila si katika kusaidiana uwajibikaji kifamilia?
Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
Yupo ambaye hata sasa kwa rika lake anapenda aishi kijijini kuendelea kula vyakula vya asili, kuzungukwa na mazingira asilia kama miti, milima, mito, mabonde, ardhi za rutuba na hali ya hewa asilia.
Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
Mleta mada toa hapo come back ya Barca Vs PSG maana rushwa dhahiri zilikuwepo hadi refa aliyechezesha mechi hiyo alishushwa daraja kwenda kuchezesha Europe leagues.
Unadhani Me akiwa na Ke hata 1000 ndiyo hatakutana na mbabe wake hadi kupoteza control ya love kwa kumpenda sana mmojawapo kati ya wote hao? Kalaghabao...!!!!
Kaleta mada kamekuja kutia tia huruma hapa ilihali tayari kana majibu yake kichwani, ukweli mchungu Nice men hula vitasa kila kukicha kwa Ke lakini bado tu huendelea kukaza mafuvu.
Hatari sana mkuu, vitu vingine vinashangaza sana kama tulivyovuvikuta baada ya kuzaliwa duniani.
Mkuu hebu post uzi kupitia hili swali huenda Atheists kama wewe wakatupatia majibu mazuri.
Nini chanzo cha watu kuishi na wanyama wa kufuga nyumbani bila kudhuriwa na wanyama pori kuishi pekeyao porini? Yani kipi kilichoumba na kuweka mipaka ya mazingira ya viumbe hivi kuelewana na kutoelewana kwa pamoja?
Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.