Recent content by Interlacustrine R

  1. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Penzi kitovu cha uzembe - Ngoswe 😁 Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  2. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Nature huhitaji Ke kupigwa mipwipwi tu, kuzaa na kulea watoto akimshauri Me, shida kuna marioo wasiojielewa nakati hata maumbile ya mwili hudhihirisha Ke ni mpokeaji tu si mtoaji. Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  3. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Kiuhalisia Ke 70% duniani wakianza tu kuinuka kiuchumi hufikiria kujitenga na Me ili wawe huru kula bata na watoto na ukijichanganya utatangulizwa kabisa usipopenda kwenda. Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  4. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Kuanzia sasa Me hatukubaliani na usemi "kumuwezesha Ke umewezesha jamii" bali "Usimuwezeshe Ke ili uokoe jamii". Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  5. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Uchumi wa mwanamke unapoimarika waweza hatarisha ndoa?

    Kumbe Ke wote ni chuma ulete tu kwa Me wakijificha kwenye kichaka cha haki sawa ila si katika kusaidiana uwajibikaji kifamilia? Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  6. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Zari; kuchepuka kwa mwanaume asiyekuhudumia sio usaliti ni kujihami

    Waliodai hakuna Ke anayejimudu kiuchumi na akataka pesa za matunzo kwa bwana/mume/boy friend wako wapi? Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  7. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Ukifika miaka 70, ni heri uishi mjini au urudi kijijini?

    Yupo ambaye hata sasa kwa rika lake anapenda aishi kijijini kuendelea kula vyakula vya asili, kuzungukwa na mazingira asilia kama miti, milima, mito, mabonde, ardhi za rutuba na hali ya hewa asilia. Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  8. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Comebacks 5 za kibabe zaidi kwenye soka la kisasa kuwahi kutokea

    Mleta mada toa hapo come back ya Barca Vs PSG maana rushwa dhahiri zilikuwepo hadi refa aliyechezesha mechi hiyo alishushwa daraja kwenda kuchezesha Europe leagues.
  9. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Unadhani Me akiwa na Ke hata 1000 ndiyo hatakutana na mbabe wake hadi kupoteza control ya love kwa kumpenda sana mmojawapo kati ya wote hao? Kalaghabao...!!!!
  10. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Kaleta mada kamekuja kutia tia huruma hapa ilihali tayari kana majibu yake kichwani, ukweli mchungu Nice men hula vitasa kila kukicha kwa Ke lakini bado tu huendelea kukaza mafuvu.
  11. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Shushia bilauri moja ya maji ya kunywa ya bariiidi kuepukana na BP za kipuuzi. Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  12. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa single akinikumbatia anapigwa shoti

    Kwa akili hizi serikali ya Tz iendelee tu kukataza uvutaji wa bangi. Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
  13. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Hatari sana mkuu, vitu vingine vinashangaza sana kama tulivyovuvikuta baada ya kuzaliwa duniani. Mkuu hebu post uzi kupitia hili swali huenda Atheists kama wewe wakatupatia majibu mazuri.
  14. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kumshauri rafiki angu ana penda wanawake Sana

    Ulipotelea wapi we mrembo wa Tz? Ubinadamu ni kazi the - humanity is work.
  15. Interlacustrine R

    JamiiForums Tanzania Kuna mkatoliki amewahi kujiuliza kwanini mapadre wanawafungisha ndoa ila wao mapadiri hawafungi ndoa?

    Nini chanzo cha watu kuishi na wanyama wa kufuga nyumbani bila kudhuriwa na wanyama pori kuishi pekeyao porini? Yani kipi kilichoumba na kuweka mipaka ya mazingira ya viumbe hivi kuelewana na kutoelewana kwa pamoja? Ubinadamu ni kazi - the humanity is work.
Back
Top Bottom