Ya nini yote hayo? Kuwa St Peters au St Maurus kuna tofauti gani mimi na wewe au mtu wa Kihesa?
Huyu anaongea yake, na kuna watu wako hivyo anaongea ya moyoni mwake anapata raha, sasa wewe unataka kuanza kumsihi mtu ana miaka 70 asiseme anyosema, hata hayo aliyoyasema wala sioni ni aibu ni ya...
Katika vita kama hii lazima ujue kuna mtu anaitwa Nchimbi na Makamu wa Rais. Akijiuzulu awe huru kama Emanuel Nchimbi raia atakuwa kachuja yaani diluted. Kuwa makamu wa Rais ni turufu kubwa kuwa ni jabali ambalo haliwezi kuangushwa kirahisi. Akiachia hicho cheo atakuwa kama Sumaye au Lowasa...
Katika vita kama hii lazima ujue kuna mtu anaitwa Nchimbi na Makamu wa Rais. Akijiuzulu awe huru kama Emanuel Nchimbi raia atakuwa kachuja yaani diluted. Kuwa makamu wa Rais ni turufu kubwa kuwa ni jabali ambalo haliwezi kuangushwa kirahisi. Akiachia hicho cheo atakuwa kama Sumaye au Lowasa...
Sasa bila ya ushahidi itakuwa tuhuma hiyo? Ushahidi ni muhimu. Ile ya Mbowe ni kweli wakina Lisu walitoa ushahidi hadi ushahidi wa Abdul kuwanunua wanachama. Sandal ya Msigwa na Mbowe, kwa Mbowe kuwanunua wanachama Nyasa. Au ndiyo kujito ufahamu?
Unajua huu ukombozi unadamzwa sana na wana JF...
Alifungaje nchi wakati Mimi nilikua natoka na kurudi navyotaka? Kama ulikua unatumia pesa ya kodi za wananchi labda uliathiriwa. Hebu fafanua kila wakati eti kuna mtu alifunga nchi na ushungi kafungua, kiki gani hizo?
Kama mwanaharakati Mkuu, Jakaya Kingwendu Mrisho Kikwete na Abdul wanavyoamua nani awe nani na CCM ifanye nini, hata kuua ili iwepo kilingeni.
They are all political activists in a dubious way. Satanic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.