Upinzani no dhaifu, je CCM inewahije kuwa imara kutawala na nchi ikawa haina matatizo? Utawala wote tangu vyama vingi umekuwa wa kulazimisha. Ukiona Upinzani dhaifu ujue basi Chama kinachotawala ndiyo dhaifu kabisa.
Haaaa, mbona hii reaction haina uwiano na hilo lililoandikwa? Hayo maneno unamwambia mtu ambaye unamchukia. Anyway, labda kwa sababu ya hii ya Detroit!!
Kumbuka, umwewahi kutoa hadithi ya ya kifo--- miaka ile, Detroit, au kumbukumbu umepoteza?
Kwa ulivyoandika hapa, na ulivyowabeza hao jamaa, wala sishangai, "typical" Tanzanian, hii ni sifa ya almost mie naowajua. Sijakushangaa. na ndiyo malezi yetu.
Ile kufungiwa kanisa ilikua makosa, wangemfungia Gwajima sawa. Walifunga makanisa yote 2000. Uoni kuwa hiyo serikali ilikurupuka? Na kile cha kutaka kumuua Fr Kitima ilikuwa nini, baadaye na kumbeza, hadi leo muuaji hajulikani alikua nani, wewe huoni hapo?
Yaani ni kama vile unabeza hiyo hatua walichukua hao jamaa? Hawa jamaa wapongezwe sana Ted sasa anappewa nguvu zaidi kwa kuwa kuna watu wa jimbo lake ambao wanatoka Tanzania na wanajua mambo haya. Jiulize wewe umefanya nini?
Afadhali wewe umefafanua. Ila akina Paskali hilo jambo wameweka maana nyingine kabisa kuwa activists ni trouble makers. Hawakubali kuwa hata politicians ni political activists, wako active na ploitics. Upotoshaji mkubwa wa lugha
Kule Kenya kulikua na kitabu kimoja, nimekisahau, lakini nakumbuka "character" mmoja alikuwa common man, unakumbuka, au bado ulikua mdogo?, maana zamani sana.
Kuna watu mko wengi sana manatumia neno uanaharakati. Hili neno linakua kama "charater assassination" kwa wale ambao wanataka kuisadia Chadema. Hili neno kwa Tanzania limekuwa kama "waharibifu". Mimi navyojua kuwa mwanaharakati ni kuwa "activist" kwa lugha ya wenzetu, unaweza kuwa "political...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.