Recent content by Interested Observer

  1. I

    JamiiForums Tanzania Heche Anakiwasha Sana leo Clouds TV/FM - MSIKILIZENI

    You are a donkey brain
  2. I

    JamiiForums Tanzania CCM kidigitali zaidi iko mbele ya wengine

    Duniani kila mtu ana-akili zake, sielewi kuna watu wenye akili za kawaida wanaweza kulipa pesa kusaidia CCM? Laana
  3. I

    JamiiForums Tanzania Kauli hii ya Heche inamaanisha nini?

    Kwanza ungejiuliza kwa nini umeuliza hili swali, labda huna nia nzuri na Heche na unataka kuanzisha hoja sisizo na mshiko
  4. I

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wanaichafua nchi yetu kuwa siyo sehemu salama kuishi ilihali mama zao wanaishi nchini kwa amani na utulivu bila bughudha na vitisho

    Wanaharakati gani hao zaidi ya wewe? Wewe ni mwanaharakati “activist” mchumia tumbo wa Lumumba. Halafu umebobea
  5. I

    JamiiForums Tanzania Tanzania ni nchi pekee inayokimbiza mwenge kila mwaka duniani. Ndio maana kamwe haitofanikiwa licha ya utajiri wa rasilimali iliyonao

    Na wengi ndiyo walikozaliwa huko, kwenye mbio za Mwenge, una faida zake. Kuna majna makubwa, Wabunge -------- Haaaa
  6. I

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Ya nini yote hayo? Kuwa St Peters au St Maurus kuna tofauti gani mimi na wewe au mtu wa Kihesa? Huyu anaongea yake, na kuna watu wako hivyo anaongea ya moyoni mwake anapata raha, sasa wewe unataka kuanza kumsihi mtu ana miaka 70 asiseme anyosema, hata hayo aliyoyasema wala sioni ni aibu ni ya...
  7. I

    JamiiForums Tanzania Maneno ya Nchimbi hayana maana yoyote ile!

    Egoistic
  8. I

    JamiiForums Tanzania Nataka kutoka familia ya Nyerere

    Then who cares? Mtu anajisemea yake wewe inakuuma? Mswahili
  9. I

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Katika vita kama hii lazima ujue kuna mtu anaitwa Nchimbi na Makamu wa Rais. Akijiuzulu awe huru kama Emanuel Nchimbi raia atakuwa kachuja yaani diluted. Kuwa makamu wa Rais ni turufu kubwa kuwa ni jabali ambalo haliwezi kuangushwa kirahisi. Akiachia hicho cheo atakuwa kama Sumaye au Lowasa...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Hallelujah! Nchimbi Ameokoka, Bwana Asifiwe!!!?

    Katika vita kama hii lazima ujue kuna mtu anaitwa Nchimbi na Makamu wa Rais. Akijiuzulu awe huru kama Emanuel Nchimbi raia atakuwa kachuja yaani diluted. Kuwa makamu wa Rais ni turufu kubwa kuwa ni jabali ambalo haliwezi kuangushwa kirahisi. Akiachia hicho cheo atakuwa kama Sumaye au Lowasa...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini CHADEMA wameshindwa kumchunguza Heche?

    Sasa bila ya ushahidi itakuwa tuhuma hiyo? Ushahidi ni muhimu. Ile ya Mbowe ni kweli wakina Lisu walitoa ushahidi hadi ushahidi wa Abdul kuwanunua wanachama. Sandal ya Msigwa na Mbowe, kwa Mbowe kuwanunua wanachama Nyasa. Au ndiyo kujito ufahamu? Unajua huu ukombozi unadamzwa sana na wana JF...
  12. I

    JamiiForums Tanzania SI KWELI IMF Withdraws Statement on $443.9 Million Disbursement to Tanzania

    Alifungaje nchi wakati Mimi nilikua natoka na kurudi navyotaka? Kama ulikua unatumia pesa ya kodi za wananchi labda uliathiriwa. Hebu fafanua kila wakati eti kuna mtu alifunga nchi na ushungi kafungua, kiki gani hizo?
  13. I

    JamiiForums Tanzania Hapa Askofu Bagonza ameniacha njia panda pale Ubungo mataa

    Sarcasm Husikii wengi wamecheka!
  14. I

    JamiiForums Tanzania Propaganda zote za CCM kwa CHADEMA zimefeli, tuwashauri mbinu mpya na za kisasa

    Kama mwanaharakati Mkuu, Jakaya Kingwendu Mrisho Kikwete na Abdul wanavyoamua nani awe nani na CCM ifanye nini, hata kuua ili iwepo kilingeni. They are all political activists in a dubious way. Satanic
Back
Top Bottom