Recent content by Interested Observer

  1. I

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kuimarishwa maradufu siku ya hukumu ya kesi ya uhaini.

    Nyie fanyeni dhihaka na maisha ya watu, siku hiyo itakua ndiyo "Referundum" kwa hukumu yoyote ikitolewa, aachiwe au ahukumiwe kunyongwa!!! Kila nyumba watu watatoka na sijui mtauua wangapi. Hiyo itakua kwa ihari siyo kulazimishwa, watu watajisikia tu wako barabarani; uoga wote huwa unakwisha.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Nani kakwambia? Namba zilianza kutumika tangu miaka ya Sabini huko, wewe ulisoma lini? Uliza uambiwe au soma majarida
  3. I

    JamiiForums Tanzania Wasira: Kuna watu wanadhani Zanzibar inapendelewa kwenye Muungano

    Kwa nini mtu akiwa upinzani anaongea sense, akienda CCM anabadirika, anaongea upuuzi, na akili zote zinapotea. Huyu aliingia NCR karudi CCM mwone anvyojipinga mwenyewe, sawa kabisa na Kabudi na Kitilya Mkumbo. CCM kuna nini?
  4. I

    JamiiForums Tanzania Wasira: Katiba Mpya isiwe sababu ya kuanzisha nchi mpya!

    Historia gani ya Taifa wakati hakuna HAKI? Uchumi mbovu, wajinga ndiyo wanatawala kwa nguvu ya polisi na Jeshi na kuua watu wanavyotaka wenyewe kama October 29, Hiyo historia nani anahitaji?
  5. I

    JamiiForums Tanzania Rais ni nembo Ya nchi, Tumpende na kumpa ushirikiano wa kutosha

    Kachaguliwa na nani? Ni Rais wa Jeshi la Polisi na Jeshi la Mkunda na CCM
  6. I

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Tusi gani nimetukana hapo, zumna na kujambisha si desturi yenu huko pwani? Acha kujifanya msafi, hizo chuki zako na kuchochonganisha madhehebu achana nazo.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Halafu huyo Malima naye si alikua rafiki wa Rais aliyeko madarakani. Mohamed Said mtu wa porojo huyu, hawa wazee waongo waongo hawana la kufanya zaidi ya zumna na kujambisha. Upuuzi huu. Mwinyi alikua swahiba mkuu wa Malima alfanya nini kumfanya abadirishe system ya Nyerere ya uonevu? Waziri wa...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Kuhusu Elimu sina utaalamu ila kusema wakristu walipendelewa? Kumbuka kwenye mitihani yote tulikua hatufanyi kwa majina yetu. Sote tunapewa namba. Hata kwenye marking scheme kuna namba. Sasa hao wasahihishaji gani walijua hii namba ni ya nani? Na jina lipi? Dini? Loophole inaweza kuwepo baada...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Halafu wewe mzee kiukweli unamkosea sana Nyerere nimekumbuka. Ilala, Magomeni, Kinondoni, Temeke- zote hizi. City Proper ya wakati wa Nyerere, alianzisha NHousing, zile nyumba zilijengwa kwa mipango miji owners walikuwa wale wenye viwanja vyao na wenye nyumba walikua 99% waislam hata huo mtaa wa...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

    Mambo kama haya ungeandika kabla ya Nyerere au wengine kufa ungenishawishi sana. Mnachagua muda wa kuandika. Unasema hali za waislamu waliogombania uhuru zilikua taabani, je wakristu hali zao zilikua nzuri? Sijaona sehemu inayoishi waislamu masikini na wakristu wenye afadhali, wote taabani, si...
  11. I

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Uongozi wa Wanawake kwenye taasisi huleta faida zaidi | London Stock Exchange

    Uongozi uwe kwa Merit siyo huyu mwanamke au huyu mwanaume, hii yote ni uchawa ili kutunza cheo, shida sana.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Hii si reflection nzuri kwa nchi yetu

    "The Rule of the jungle"; Nchi isiyo na KATIBA inayoeleweka, hata ile iliyopo haifuatwi. Kila ajaye anataka kufanya yake. Kuna mmoja ndiyo alianzisha akapiashe madawa ya kulevya, kaja mwingine kaanzisha kupiga risasi watu wanaombishia, kaja huyu anateka na kuua. Nchi haieleweki inaenda wapi
  13. I

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe: Kamati ya Bunge ilitaja Benki ya Mkombozi, iliyo chini ya Kanisa, kuwa ni taasisi ya utakatishaji fedha, ilikanushwa?

    Na yule aliyeidhinisha huo WIZI ni yuleyule BWANA YULE, JK Kingwendu Mrisho; ati ESCRO account
  14. I

    JamiiForums Tanzania Napenda Kumjibu Mzee Warioba Ya Kuwa CCM Itaongoza Taifa hili Hadi Mwisho wa Dunia Na Ataicha ikiwa Madarakani. Aache Chuki Binafsi Kwa Rais wetu

    Na ni kweli kama mtaishi hadi mwisho wa Dunia afadhali hivyo, mngekubali kubadirishana madaraka mapema yote haya yanayotokea hayangetokea. Na visirani vya watu na ndugu zao mliowaua vimeongezeka maradufu. Sioni ni vipi itawezekana muachie nchi; lazima itakuwa balaa ije serikali mpya halafu iache...
  15. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ishengoma: Maandamano ya Oktoba 29 "Sisi tulichokifanya yalikuwa ni mapinduzi. Ushahidi ninao

    Kwa sababu Police ni wa CCM, Mahakama ni za CCM, TISS ya CCM, mambo kama haya ya utani kwa maisha ya watu yataendelea kujitokeza. Hivyo vyombo vyote vingekua huru michezo kama hii haingetokea. Nchini hii imeshakua Jamuhuri ya Ndizi.
Back
Top Bottom