Recent content by Interested Observer

  1. I

    Ijumaa iko occupied, Mufti aka declare Mwezi haukuonekana, Idd ikapelekwa Jumamosi!

    Hakuna sehemu moja nimeandika kuwa bongo hakuna IQ kubwa. Narudia, wewe unayo IQ kubwa, lakini mindset yako ndiyo naona questionable!
  2. I

    Ijumaa iko occupied, Mufti aka declare Mwezi haukuonekana, Idd ikapelekwa Jumamosi!

    Kuwa against na hoja yako siyo kuwa naunga mkono hoja ya Retired, ila tu comment zako ulivyoziandika. Hasa uhusiano mkuu Kati ya IQ na Mindset. Sijasema una IQ ndogo, ila jinsi unavyocomment ungekua china au Singapore ingekua tofauti kabisa. Samahani kukwazika
  3. I

    Ijumaa iko occupied, Mufti aka declare Mwezi haukuonekana, Idd ikapelekwa Jumamosi!

    Sikupenda kujibu, ila ni hivi: IQ matters. Ni ya kuzaliwa. IQ vilevile ina-develop, ndiyo inaunda tabia za watu- mindset. Mindset inaundwa na mazingira au sirroundings na customs. Ulivyoondika na reasoning yako pamoja na logic wewe Upo na mindset ya Kitanzania sana kuliko Asia, Ulaya au nje ya...
  4. I

    Makonda ni balaa, atwanga Kiingereza kilichonyooka na Mkandarasi utafikiri amezaliwa ndani ya jumba la Malkia Elizabeth Uingereza

    I am the Minister of Information but I can chnge myself to become Minister of Interior: Sasa hata maana yake nini, anatake ashushe amri mtu ashikwe, maana bongo ndiyo hapo, hakuna sheria. Mmesaini mkataba, ambao huwa mnasema wa siri, sasa si mumpeleke mahakamani? Na kwa huyo na Diplomasia hapo...
  5. I

    Leo ijumaa tuwaombee dua wairan na wanaharakati wa Tanzania

    Hukumsikia yule Shehe aliyesema: October 29 waliouawa wengi siyo waislam, akashawishi kuwa waislamu msitoke kuandamana. Hawa ni "victims" wa culture, wanajiondoa kabisa uaFrika na kujiona unique na wanweza kuwatenga ndugu zao.
  6. I

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Wale waasi wa Yemeni nani anawafandhili?
  7. I

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Hapa siyo suala la nani anafanya ugaidi. Suala hapo lazima uwe unatumia ubongo wako unaongea na nani. Wewe unaongea na Marekani na Israel. Hawa wanaeleweka kwa ukatili wao. Wewe unasimama unasema nitafutilia mbali kizazi cha kiyahudi. Ahmenadinajad amewahi kusema kuwa Unyama waliwanjiwa wayahudi...
  8. I

    Athari za kukiuka sheria zaitesa CHADEMA kwenye medani ya siasa za Tanzania

    Una maisha mengine zaidi ya haya? Wewe adui wako wakubwa = Katoliki+Kitima+Chadema+Heche+Lissu Siku ukisikia hawa hawapo duniani ni kama utakuwa umemaliza matatizo yako yoteeeeeeeeeeeee
  9. I

    Kwa mara ya kwanza natofautiana na Mange Kimambi juu ya msimamo wa Iran

    Sasa mbona kuna Waislamu wengi Ulaya kuliko walivyo wzungu wengi Mashariki ya kati, nani kaenda kwa mwezake zaidi, Ufaranza inaao wangapi, na wazungu wafaransa wako wangapi Irani? Suala hapo ni uchanganyaji wa dini na serikali. Mungu ndiyo aliwaambia wafanye sponsorship ya terrorism? Acha...
  10. I

    Polisi Pwani: BAWACHA walikuwa wanaenda kutekeleza uhalifu

    Hili jeshi kweli halina kazi ya maana ya kufanya. Hao walioshikwa walikua wanaenda kutekeleza uhalifu je walikutwa na silaha gani, au na maandika gani, watoe ushahidi. Kwa sababu tu ni CHADEMA basi walikuwa wanaenda kufanya uhalifu. Polisi ya Tanzania kwa sasa inaizidi hata ile ya Makaburu wa...
  11. I

    Samia Ndiye Rais wa Kwanza Kujenga Viwanja vingi vya Mpira Tanzania bila Msaada wa Beberu

    Crazyvariable: Ni hivi, Rais wa nchi a promote democracy, anaimarisha uongozi bora na anasimamia uchumi (macro/micro), anawezesha watu, kutumia raslimali zao, kwa ku-promote investment-hao watu wakiinvest basi wanapata hela wanalipa kodi, na hizo shule zitajengwa na serikali au na hao watu...
  12. I

    Watu wasio na hatia wanauawa kinyama na makombora ya Mmarekani Iran. Kesho unasikia mtu anabetua mdomo wake anataka uchunguzi Ufanyike Tanzania

    Ungekua una wisdom (Busara) ungeeacha hii topic, hivi huonagi? Hapa 99.99% wanasema wewe mjinga na hao 0.001% ndiyo hao chawa, hata kama wanakuona tahira wanakuvumilia tu watiki "I see". Binadamu lazima uwe na aibu
  13. I

    Tuliokwama Iran, tunahitaji ndege Ije kutuchukua

    Juzi ulisema muandamane muende UBALOZI wa Marekani Dar……, baada ya swala ya ijumaa,,,!!! Hizi porojo kweli kweli
  14. I

    Watu wasio na hatia wanauawa kinyama na makombora ya Mmarekani Iran. Kesho unasikia mtu anabetua mdomo wake anataka uchunguzi Ufanyike Tanzania

    Katika watu wenye Questionable IQ ni wewe, huna conscience wala remorse! Wewe ni kama nguruwe au Mbwa. Afadhali Malaya kuliko wewe, Malaya analipwa, you are worse than pigs and dogs
Back
Top Bottom