Recent content by Interested Observer

  1. I

    JamiiForums Tanzania Anguko la CCM ni dhahiri sasa

    Upinzani no dhaifu, je CCM inewahije kuwa imara kutawala na nchi ikawa haina matatizo? Utawala wote tangu vyama vingi umekuwa wa kulazimisha. Ukiona Upinzani dhaifu ujue basi Chama kinachotawala ndiyo dhaifu kabisa.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Haaaa, mbona hii reaction haina uwiano na hilo lililoandikwa? Hayo maneno unamwambia mtu ambaye unamchukia. Anyway, labda kwa sababu ya hii ya Detroit!! Kumbuka, umwewahi kutoa hadithi ya ya kifo--- miaka ile, Detroit, au kumbukumbu umepoteza?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Kwa ulivyoandika hapa, na ulivyowabeza hao jamaa, wala sishangai, "typical" Tanzanian, hii ni sifa ya almost mie naowajua. Sijakushangaa. na ndiyo malezi yetu.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Waliofany hao jamaa siyo jepesi kama unavyofikiria, hizo ni fikra potofu, wapongezwe.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Ukiwagusa hao unataka Huyo rais fake wenu awe kama Maduro, watakuja na wataondoka salama.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Ile kufungiwa kanisa ilikua makosa, wangemfungia Gwajima sawa. Walifunga makanisa yote 2000. Uoni kuwa hiyo serikali ilikurupuka? Na kile cha kutaka kumuua Fr Kitima ilikuwa nini, baadaye na kumbeza, hadi leo muuaji hajulikani alikua nani, wewe huoni hapo?
  7. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Yaani ni kama vile unabeza hiyo hatua walichukua hao jamaa? Hawa jamaa wapongezwe sana Ted sasa anappewa nguvu zaidi kwa kuwa kuna watu wa jimbo lake ambao wanatoka Tanzania na wanajua mambo haya. Jiulize wewe umefanya nini?
  8. I

    JamiiForums Tanzania Niliomba Diaspora kukutana na Trump, nikasema kama haiwezekani kwa Trump, basi kutana na Ted Cruz. Leo Likokola na Liberatus wamekutana na Ted Cruz

    Umeona hao jamaa, iga mfano, na wewe sasa tafuta Mwakilishi wa jimbo lako, itatia uzito
  9. I

    JamiiForums Tanzania Picha: Abdul (mtoto wa Samia) yupo Moscow. Kaenda kwa shughuli gani? Kama nani?

    Umeenda shule gani?
  10. I

    JamiiForums Tanzania ACT: JKT si chombo cha Muungano, si sawa kulazimisha Vijana wa Zanzibar wajiunge JKT, hiyo ni kupora mamlaka ya Zanizbar

    Makubwa haya, hii Nchi mambo kiholela sana. Hivi Kumbe JKT na JKU na Waziri wake ni yupi? Wizara gani?
  11. I

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Afadhali wewe umefafanua. Ila akina Paskali hilo jambo wameweka maana nyingine kabisa kuwa activists ni trouble makers. Hawakubali kuwa hata politicians ni political activists, wako active na ploitics. Upotoshaji mkubwa wa lugha
  12. I

    JamiiForums Tanzania Live on TBC: Ridhiwani Kikwete yuko live, anaongea kama Jakaya Kikwete. Like father like son, atatufaa sana in future baada ya zamu yetu!

    Kule Kenya kulikua na kitabu kimoja, nimekisahau, lakini nakumbuka "character" mmoja alikuwa common man, unakumbuka, au bado ulikua mdogo?, maana zamani sana.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Ukistaajabu ya Mussa, utaona ya Firauni

    Kuna watu mko wengi sana manatumia neno uanaharakati. Hili neno linakua kama "charater assassination" kwa wale ambao wanataka kuisadia Chadema. Hili neno kwa Tanzania limekuwa kama "waharibifu". Mimi navyojua kuwa mwanaharakati ni kuwa "activist" kwa lugha ya wenzetu, unaweza kuwa "political...
Back
Top Bottom