Kuwa against na hoja yako siyo kuwa naunga mkono hoja ya Retired, ila tu comment zako ulivyoziandika. Hasa uhusiano mkuu Kati ya IQ na Mindset.
Sijasema una IQ ndogo, ila jinsi unavyocomment ungekua china au Singapore ingekua tofauti kabisa.
Samahani kukwazika
Sikupenda kujibu, ila ni hivi:
IQ matters. Ni ya kuzaliwa. IQ vilevile ina-develop, ndiyo inaunda tabia za watu- mindset. Mindset inaundwa na mazingira au sirroundings na customs.
Ulivyoondika na reasoning yako pamoja na logic wewe Upo na mindset ya Kitanzania sana kuliko Asia, Ulaya au nje ya...
I am the Minister of Information but I can chnge myself to become Minister of Interior:
Sasa hata maana yake nini, anatake ashushe amri mtu ashikwe, maana bongo ndiyo hapo, hakuna sheria. Mmesaini mkataba, ambao huwa mnasema wa siri, sasa si mumpeleke mahakamani? Na kwa huyo na Diplomasia hapo...
Hukumsikia yule Shehe aliyesema: October 29 waliouawa wengi siyo waislam, akashawishi kuwa waislamu msitoke kuandamana. Hawa ni "victims" wa culture, wanajiondoa kabisa uaFrika na kujiona unique na wanweza kuwatenga ndugu zao.
Hapa siyo suala la nani anafanya ugaidi. Suala hapo lazima uwe unatumia ubongo wako unaongea na nani. Wewe unaongea na Marekani na Israel. Hawa wanaeleweka kwa ukatili wao. Wewe unasimama unasema nitafutilia mbali kizazi cha kiyahudi. Ahmenadinajad amewahi kusema kuwa Unyama waliwanjiwa wayahudi...
Una maisha mengine zaidi ya haya?
Wewe adui wako wakubwa = Katoliki+Kitima+Chadema+Heche+Lissu
Siku ukisikia hawa hawapo duniani ni kama utakuwa umemaliza matatizo yako yoteeeeeeeeeeeee
Sasa mbona kuna Waislamu wengi Ulaya kuliko walivyo wzungu wengi Mashariki ya kati, nani kaenda kwa mwezake zaidi, Ufaranza inaao wangapi, na wazungu wafaransa wako wangapi Irani?
Suala hapo ni uchanganyaji wa dini na serikali.
Mungu ndiyo aliwaambia wafanye sponsorship ya terrorism? Acha...
Hili jeshi kweli halina kazi ya maana ya kufanya. Hao walioshikwa walikua wanaenda kutekeleza uhalifu je walikutwa na silaha gani, au na maandika gani, watoe ushahidi. Kwa sababu tu ni CHADEMA basi walikuwa wanaenda kufanya uhalifu. Polisi ya Tanzania kwa sasa inaizidi hata ile ya Makaburu wa...
Crazyvariable: Ni hivi,
Rais wa nchi a promote democracy, anaimarisha uongozi bora na anasimamia uchumi (macro/micro), anawezesha watu, kutumia raslimali zao, kwa ku-promote investment-hao watu wakiinvest basi wanapata hela wanalipa kodi, na hizo shule zitajengwa na serikali au na hao watu...
Ungekua una wisdom (Busara) ungeeacha hii topic, hivi huonagi? Hapa 99.99% wanasema wewe mjinga na hao 0.001% ndiyo hao chawa, hata kama wanakuona tahira wanakuvumilia tu watiki "I see".
Binadamu lazima uwe na aibu
Katika watu wenye Questionable IQ ni wewe, huna conscience wala remorse! Wewe ni kama nguruwe au Mbwa.
Afadhali Malaya kuliko wewe, Malaya analipwa, you are worse than pigs and dogs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.