Kwa age hiyo dada, we kubali tuu show upate mtoto kwanza, then uangalie mengine km ni mume wa mtu au la. Kazi si unayo?? Kutunza unaweza, we tafuta mtoto kwanza
Leo nimemuomba mama yangu aende akaombe/ ku process Birth Certificate ya mdogo wangu kwa ajili ya kujiunga chuo. Kaenda asbh na kadi ya kliniki, akaambiwa alete cheti cha form 4, akanitahidi akaenda kijijini akarudi nacho ofisini. Kumpa akasema anataka Leaving Certificate, nikamwambia amuombe...
Naomba kuuliza kama kuna MTU aliyepata mkopo halafu ukaenda UDSM aliupata baada ya muda gani? Maanake na mm umepitia huko wakati nimehamishiwa chuo kingine.
Kama kuna mhanga wa kudaiwa birth certificate humu tupeane updates. Naona siku zinasogea wakuu na huenda kuna mtu kapata FEEDBACK kupitia simu au email etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.