Mimi jamaa yangu ashakutana na kesi kama hiyo. Ukienda ofisin kwao wanakwambia tuliza boli kesi kama zako zipo nyingi sana. Weka barua yako hapo zamu yako ikifika tutaona shida iko wapi. Hapo inaweza pita hata mwaka huku wanaendelea kukata.
Sababu zipo nyingi tu:
i) Hiyo benki ni mpya hivyo walimu walishakuwa na akaunti katika benki nyingine. Sasa ni ngumu kumshawishi mtu ahamie huko bila sababu hasa kama hamna wanachokosa huko walipo.
ii) Bado hiyo benki haina matawi mengi na ATMs za kutosha hasa huko mikoani.
iii) Hiyo benki...
Sio kwamba itapingwa tu bila sababu mkuu.
Itapingwa kwa sababu haitakuwa scientific based. Sisi tumeshazoea mambo rahisi unachanganya zako mbilimbi na kitunguu saumu unasema ni dawa ya covid 19.
Jiulize kwani ile chai ya Madagascar iliishia wapi. WHO waliipinga kwa sababu ulikuwa ni mzaha...
Tena hasa ikionekana kuwa miamala wanayotoa yote ni ya kitapeli. Ikibidi wanaweza kufungia hata Tin number na namba ya nida isitumike kusajili line yoyote ya wakala.
Sasa utashangaa namba inajaribu kukutapeli leo unatoa taarifa kwenye mtandao. Kesho unakuta namba ile ile inajaribu kumtapeli...
Ila binafsi bado naona ni uzembe wa mtandao. Kwa sababu kama mtu kapiga simu huduma kwa wateja kwamba ametuma pesa kwa matapeli, mtandao unashindwaje kufuatilia hiyo hela imetolewa kwa wakala gani.
Siamini kwamba wanatoa kwa kila wakala. Itakuwa wana namba zao za uwakala au wana mawakala wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.