Kwa namna yoyote ile Tanzania ianzishe kiwanda cha chanjo

Kila mkuu wa mkoa anaendekea na kufanikisha zoezi hilo na litafanikiwa bila shaka

Nimecheka kwa nguvu huu utapeli ulioandika hapa. Dhalimu ilifikia mahali hata kutamka neno viwanda kwenye kampeni alikuwa anaona aibu.
 
Mzee wako alienda pale Muhimbili akajipeleka kwenye lile banda akajishindilia mvuke kumbe ndo anajipeleka kibra hivyo! Ila tuliwaambia mkawa wabishi sana.
Lile tanuri pale Muhimbili lilikuwa ni siasa ndio maana sikuwahi comnent
 
Kiwanda
Kwani uwezo huo upoje?ni sh ngapi kuanzisha kiwanda hiko?
Hakianzishwi tu,kwa kuwa hela ipo,kuna zaidi ya pesa. Ili kufanya kinacho tarajiwa,ikiwa no pamoja na mazingira wezeshi na rafiki,kisheria,kisayansi na kitekinologia.
 
Kwani bupiji sauna haifanyi kazi ? No retreat no surrender ndio njia pekee ya kumuenzi tukomae na kujifukizisha achana na hizo habari za chanjo🤣🤸🐒View attachment 1832640

Dhalimu ndio alihamasisha huu ushirikina kwenye hospitali ya taifa! Ilikuwa ni bonge la aibu, halafu cha kushangaza madaktari waliosoma sayansi wakawa wanaunga mkono hii imani potofu. Nadhani sasa hivi wakiona hii habari wanasikia aibu isiyo na mfano.
 
Ni muhimu kumuenzi Hayati Dr John Pombe Magufuli kwa kuharakisha mchakato na utekelezaji wa kuanzisha kiwanda cha chanjo.
Third wave ya covid 19 ipo around ni vyema wataalamu wetu waje na mpango wa haraka/dharura wa kuanzisha kiwanda cha chanjo hasa tukianza na chanjo ya covid 19.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hii biashara ya legacy cjui maninini ya mngeachana nayo. Saiz ni panga pangua mpka NCHI ikae sawa. Ni vyema mkaunga mkono juhudi 🤣🤣
 
Kabla hatuajahamia kwenye chanjo kwanza tuanze kwenye vitu vidogo, kama nguo mfano kanga ambazo zinapauka zikipigwa na upepo.., soda ukinywa kama unakunywa makemikali, battery ambazo lifespan yake zinakwisha hata hujamaliza taarifa ya habari...

In short kwa kurahisisha mambo tunaweza tukawashauri watu wajitengenezee chanjo wenyewe majumbani mwao..., yaani hatupo serious kwenye mambo muhimu....
 
Ni muhimu kumuenzi Hayati Dr John Pombe Magufuli
Huyu muuaji, mporaji na mtekaji usimtaje taje. Anaweza kufufuka akatutesa tena.

BTW, mwendazake hakuwa muumini wa modern medicine, alielekeza tupambane na korona kwa njia za kishirikina kama kujifukiza.
 
legacy lazima iwepo mkuu kama hipendi jinyonge
Ndani ya siku 100 unaambiwa mama kaupiga mwingi na kuivunja vunja legasi....mpaka bandari ya bagamoyo kairudisha ....akiongeza 100 nyingine sijui itakuaje
images (67).jpeg
 
Huyu muuaji, mporaji na mtekaji usimtaje taje. Anaweza kufufuka akatutesa tena.

BTW, mwendazake hakuwa muumini wa modern medicine, alielekeza tupambane na korona kwa njia za kishirikina kama kujifukiza.
Nitaendekea kumtaja siku zote ...he did his part and he might have had some mistakes which can be rectified.
mama atarekebisha kwa weledi...
 
Sio kwamba itapingwa tu bila sababu mkuu.

Itapingwa kwa sababu haitakuwa scientific based. Sisi tumeshazoea mambo rahisi unachanganya zako mbilimbi na kitunguu saumu unasema ni dawa ya covid 19.

Jiulize kwani ile chai ya Madagascar iliishia wapi. WHO waliipinga kwa sababu ulikuwa ni mzaha kwenye matibabu. Na ule mzaha umejifia wenyewe. Wameshajiagizia chanjo za magharibi.😀
Itapingwa sana sana sababuvItakuwa haijathibitishwa na WHO,
Nadhani umesikia Chanjo ya China Juzi ilivyopigwa Kipapai na Nchi z aMagharibi kuwa haifai ina Sijui toxic nk nk!
Ili Chanjo yetu kama ikianzishwa basi Some Ingridients zitoke Kwao Western!
Mi hapo Simo Mkuu!
Nenda Kapambane Mwenyewe hilo
Hio Vita Yake si ya Mchezo!
 
Sio kwamba itapingwa tu bila sababu mkuu.

Itapingwa kwa sababu haitakuwa scientific based. Sisi tumeshazoea mambo rahisi unachanganya zako mbilimbi na kitunguu saumu unasema ni dawa ya covid 19.

Jiulize kwani ile chai ya Madagascar iliishia wapi. WHO waliipinga kwa sababu ulikuwa ni mzaha kwenye matibabu. Na ule mzaha umejifia wenyewe. Wameshajiagizia chanjo za magharibi.😀
Kwa kutumia wataalamu wetu au ikibidi wapelekwe kujifunza lakini nia lazima iwepo
 
Back
Top Bottom