Kwanini Walimu mishahara yao hawapokelei Benki ya Mwalimu?

Kwanini Walimu mishahara yao hawapokelei Benki ya Mwalimu?

PERAMIHO YETU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
6,289
Reaction score
17,316
Wakuu Leo katika pitapita zangu viunga vya jiji hili la dar es salaam nimekutana na benk ya mwalimu hapo mwanzo sikujua Kama Kuna benk ya walimu kabisa.

Sasa ikanibidi nimuulize rafiki yangu ambaye ni mwalimu pia juu ya benk hii na yeye anasema anaifahamu lakn s kihivyo nikamuuliza juu ya benki ip ambayo mshahara wake unapitia akaniambiani benk ya NMB kwakwel nilishikwa na butwaa juu ya jibu hili wakuu.

Iweje walimu waanzishe benk lakn wao wenyewe wasiwe wateja wa benki hiyo.

Au hii benki ilianzishwa kwa malengo gani mahsusi wakuu? Maana walimu n wengi Sana nchi hii Kama wangetumia benk hii nadhan benk yao ingenufaika Sana kwa huduma mbalimbal za kibenk ambazo huendana na makato yake.

NDUGU ZANGU WALIMU MNAKWAMA WAPI JAMAN? yeyote mwenye uelewa juu ya hili naomba ufafanuz tadadhar akipatikana mwl itakuwa njema zaidi.
 
Nîkupe Siri tu, Mwalimu Commercial Bank unafanya vizuri sana kwasasa, kutokana na kuondoa makandokando ya unyonyaji kwa mnufaikaji/ Mwalimu hasa processing fee. Sasa hivi walimu wengi wameuza mikopo na kukopa kwenye benki yao kwa siku 2 au 3 unapata mkopo.
Na ukitaka kuhamisha mshahara riba inashuka kwa asilimia moja,pia kuna mawakala wengi nchini.
 
Nîkupe Siri tu, Mwalimu Commercial Bank unafanya vizuri sana kwasasa, kutokana na kuondoa makandokando ya unyonyaji kwa mnufaikaji/ Mwalimu hasa processing fee. Sasa hivi walimu wengi wameuza mikopo na kukopa kwenye benki yao kwa siku 2 au 3 unapata mkopo.
Na ukitaka kuhamisha mshahara riba inashuka kwa asilimia moja,pia kuna mawakala wengi nchini

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app

We utakua CWT si bure
 
Sababu zipo nyingi tu:

i) Hiyo benki ni mpya hivyo walimu walishakuwa na akaunti katika benki nyingine. Sasa ni ngumu kumshawishi mtu ahamie huko bila sababu hasa kama hamna wanachokosa huko walipo.

ii) Bado hiyo benki haina matawi mengi na ATMs za kutosha hasa huko mikoani.

iii) Hiyo benki ni ya chama cha walimu Tanzania. Sio walimu wote wapo kwenye hicho chama.
 
Kwa hakika ni kweli sio kwa kupamba huko kitu ambacho hakipo kwenye hiyo benki,kwa kifupi ukienda hapo kuchukua mkopo ushajaza kila nyaraka utaambiwa mpaka wakate mshahara wa kwanza ndipo uingiziwe pesa uliyo omba kwa maana Kama ukienda kuanzia tarehe zile ambazo payroll ishaenda benki basi ujue una miezi miwili kasoro kidogo mpaka upate huo mkopo....
 
Kwa hakika ni kweli sio kwa kupamba huko kitu ambacho hakipo kwenye hiyo benki,kwa kifupi ukienda hapo kuchukua mkopo ushajaza kila nyaraka utaambiwa mpaka wakate mshahara wa kwanza ndipo uingiziwe pesa uliyo omba kwa maana Kama ukienda kuanzia tarehe zile ambazo payroll ishaenda benki basi ujue una miezi miwili kasoro kidogo mpaka upate huo mkopo....

Ina mambo ya hovyo sana
 
NMB ipo kila sehemu lakin bado Kuna walimu wanafanya kazi vijijini ndani ndani had wakihitaji hela wanakusanya card zao za bank wanampa mwalim mmoja wanamuagiza mjin akawatolee hela Sasa wakihamia huko kwa bank yao itakuaje
 
Na pamoja na ATM zote walizonazo bado ukitoka mshahara foleni ya kutosha.
NMB ipo kila sehemu lakin bado Kuna walimu wanafanya kazi vijijini ndani ndani had wakihitaji hela wanakusanya card zao za bank wanampa mwalim mmoja wanamuagiza mjin akawatolee hela Sasa wakihamia huko kwa bank yao itakuaje
 
Nîkupe Siri tu, Mwalimu Commercial Bank unafanya vizuri sana kwasasa, kutokana na kuondoa makandokando ya unyonyaji kwa mnufaikaji/ Mwalimu hasa processing fee. Sasa hivi walimu wengi wameuza mikopo na kukopa kwenye benki yao kwa siku 2 au 3 unapata mkopo.
Na ukitaka kuhamisha mshahara riba inashuka kwa asilimia moja,pia kuna mawakala wengi nchini

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Hiyo itakuwa benki ya Chama cha walimu ,Chama cha wanyonga mishahara ya walimu.
 
Wakuu Leo katika pitapita zangu viunga vya jiji hili la dar es salaam nimekutana na benk ya mwalimu hapo mwanzo sikujua Kama Kuna benk ya walimu kabisa.

Sasa ikanibidi nimuulize rafiki yangu ambaye ni mwalimu pia juu ya benk hii na yeye anasema anaifahamu lakn s kihivyo nikamuuliza juu ya benki ip ambayo mshahara wake unapitia akaniambiani benk ya NMB kwakwel nilishikwa na butwaa juu ya jibu hili wakuu.

Iweje walimu waanzishe benk lakn wao wenyewe wasiwe wateja wa benki hiyo.

Au hii benki ilianzishwa kwa malengo gani mahsusi wakuu? Maana walimu n wengi Sana nchi hii Kama wangetumia benk hii nadhan benk yao ingenufaika Sana kwa huduma mbalimbal za kibenk ambazo huendana na makato yake.

NDUGU ZANGU WALIMU MNAKWAMA WAPI JAMAN? yeyote mwenye uelewa juu ya hili naomba ufafanuz tadadhar akipatikana mwl itakuwa njema zaidi.
Hahahaha kwann hujiulizi hao walimu wamenunua costa bus nchi nzim,za kazi gani? kwanini wasiwakopeshe hao walimu waboreshe maisha yao?hahaha kalagha bao😂🏃
 
Wakuu Leo katika pitapita zangu viunga vya jiji hili la dar es salaam nimekutana na benk ya mwalimu hapo mwanzo sikujua Kama Kuna benk ya walimu kabisa.

Sasa ikanibidi nimuulize rafiki yangu ambaye ni mwalimu pia juu ya benk hii na yeye anasema anaifahamu lakn s kihivyo nikamuuliza juu ya benki ip ambayo mshahara wake unapitia akaniambiani benk ya NMB kwakwel nilishikwa na butwaa juu ya jibu hili wakuu.

Iweje walimu waanzishe benk lakn wao wenyewe wasiwe wateja wa benki hiyo.

Au hii benki ilianzishwa kwa malengo gani mahsusi wakuu? Maana walimu n wengi Sana nchi hii Kama wangetumia benk hii nadhan benk yao ingenufaika Sana kwa huduma mbalimbal za kibenk ambazo huendana na makato yake.

NDUGU ZANGU WALIMU MNAKWAMA WAPI JAMAN? yeyote mwenye uelewa juu ya hili naomba ufafanuz tadadhar akipatikana mwl itakuwa njema zaidi.
Hiyo ni benki ya wakora tu, waalimu wanasingiziwa jina tu lakini wanatumika kuidhinisha ufisadi wa kitaasisi bila wao kujua.
Huo ni mardi wa kiraghai wa chama cha waalimu Tanzania ulioanzishwa kifisadi kwenye awamu ya nne, wapo wapo tu hadi kule kwenye soko la hisa lakini hakuna kinachoendelea nje ya kujinufisha....sawa tu na wakora wengine wa PAL.
 
Kwa hakika ni kweli sio kwa kupamba huko kitu ambacho hakipo kwenye hiyo benki,kwa kifupi ukienda hapo kuchukua mkopo ushajaza kila nyaraka utaambiwa mpaka wakate mshahara wa kwanza ndipo uingiziwe pesa uliyo omba kwa maana Kama ukienda kuanzia tarehe zile ambazo payroll ishaenda benki basi ujue una miezi miwili kasoro kidogo mpaka upate huo mkopo....
Uwongo, una potosha asee.
 
Back
Top Bottom