Itakuwa "Interpol Red Notice" na most likely huyo jamaa atakuwa alikuwa na makosa mengine. Mambo ya mtoto wa rais huwa yanaishaga kiujanjaujanja ubalozini.
Ila ukitoa yoooote yanayoendelea na yaliyopita. Inafurahisha na Inapendeza kuona maraisi wa nchi ya kiafrika, aliyepita na aliyepo madarakani wanakaa pamoja na kutabasamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.