AKILI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI!!!
NA KIWANGO CHA BINADAM CHA MWISHO CHA MAARIFA AMBACHO NDICHO KINAIPA FAHARI DUNIA HII KWA MUNGU NI UJINGA!!!
UTAFUTENI UFALME WA MBINGUNI MAANA SAA YA KUREJEA KWAKE IMEKARIBIA, MCHENI NA KUMTUKUZA MAANA YEYE NI MUNGU!!!
Ikiwa kuna mmoja miongoni mwa binadam...
Iliyemuongelea katika kitabu cha kutoka pale bustanini eden ni huyu huyu nyoka uliyemsema.
Ila katika mazingira tofauti hasa ya unabii katika kitabu cha Ufunuo wa Yohana na Daniel biblia imetumia lugha ya joka ikimaanisha shetani mwenyewe! Hapa unaswa kuwa na hekima kuutambua unabii na...
Wewe na MUNGU ni nani anaefahamu vizuri kilichofanyika eden? Ni nani mwenye busara na hekima kati ya Mungu na wewe? Unamaanisha Mungu alimuonea nyoka alipomlaani?
Tuyaheshimu maandiko na tuwe na hofu kwa chochote kinachopitia mkono au tamko la Mungu.
Kasome maandiko kwa kirefu na kutafakali...
Asante sana mkuu (Ginner)
Nimeongea nao jamaa kiasi fulani wamenipa mwanga mkubwa juu ya hizi generation za hawa Kuku na pia nimejifunza mengi japo ilikuwa kwa njia ya simu.
Ni kweli ni wazuri mimi niliwapata kutoka silverlands. Ila wanashida moja inayonikera! Wanadonoana sana japokuwa nawapa Chakula muda wote na vitamins zote zinazotakiwa. Mpaka sasa wameshakufa watano kwa kutoboana matumbo, na wanawiki tano sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.