Recent content by Innobwoy

  1. Innobwoy

    Watanzania mapacha wenye miaka 25 wanachukua PhD Harvard

    Hakuna muujiza wa kuvushwa masters, Hongera kwao
  2. Innobwoy

    Bunge lilikuwa wapi miaka yote hii hadi Rais Magufuli anakuja kubaini madudu mengi hivi?

    Alafu kuna mwingine alikuwa waziri kwa mda wote Leo anajifanya kushangaaa haya mambo yametokeaje..... hah hah hah Hah
  3. Innobwoy

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Long time sana, umekuja huku na team ya uchambaji,,,wasalimie huko na hao ndo Barca bana,,zawadi ya Sikukuu murua....
  4. Innobwoy

    FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

    Match ya Barca na Madrid huwa sisumbui kufuatilia maana najua Madrid lazima alie....
  5. Innobwoy

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Unakatwa PAYEE now then unakuja katwa 30% bado unaona jamaa yupo wrong??
  6. Innobwoy

    Askofu Niwemugizi wa Kanisa Katoliki aitwa Uhamiaji kuhojiwa juu ya uraia wake

    Mpaka kuwa Askofu juwa kuwa umepita darasani zaidi ya miaka 30, sasa mda wote huo hawakuwahi kumuuliza kuhusu uraia wake mpaka sasa???
  7. Innobwoy

    Magufuli shujaa, ataka 68 wa madawa wanyongwe! Kikwete alikuwa dhaifu mno, aliomba wasinyongwe!

    So wabakaji ruksa kuendelea na maisha uraiani????
  8. Innobwoy

    LEMA: Kuna mpango unasukwa wa kuwanunua Madiwani na Wabunge

    Mwaka umepita utabiri umetimia, jifunzeni kusoma details
  9. Innobwoy

    Tundu Lissu: Polisi wa Tanzania hawana mamlaka ya kunihoji nikiwa Kenya au kwingineko nje ya mipaka ya Tanzania

    Umesoma umeelewa au umelewa?????Muulize Zero kawatuma hapo polio ccm kwa utaratibu upi....
  10. Innobwoy

    Tanga: Bwana Misitu auawa kwa kupigwa mawe na watu wasiojulikana

    Kuna Mmoja aliuliwa akachomwa moto wakamla mishikaki, dah kijiji kimoja Mbozi
  11. Innobwoy

    Nyalandu kuhamia CHADEMA ameisababashia kupata mpasuko mkubwa na humo ndani ni fataki na mtifuano tu

    Tumeanzisha mahakama ya mafisadi kwanini msiwapeleke mkawashughulikie kuliko kupiga mayowe????
  12. Innobwoy

    Kwa haya yatetewayo na hivi vyama pinzani ni wakati muafaka kabisa kwa serikali kufutilia mbali mfumo wa vyama vingi

    Ni kweli wale waliosainia mkataba hotelini na wale walioshirikiana na wazungu kuwafukia watanzania wenzetu pale Geita ili kumpisha mwekezaji
  13. Innobwoy

    Baada ya kushindwa kushindana na Rais Magufuli kwa hoja, upinzani waja na mbinu za kuhujumu uchumi

    Dr Mpango kasema eti deni la taifa limepaaaaa huyu naye anadata za kutunga.......
  14. Innobwoy

    Mkurugenzi Mtendaji na Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya fedha wa Acacia wajiuzulu

    Lissu alisaini mkataba na Accasia, btw Hawaii so ndio wezi mbona now mnawasujudu hawa •wanaume•???
Back
Top Bottom