Nyalandu kuhamia CHADEMA ameisababashia kupata mpasuko mkubwa na humo ndani ni fataki na mtifuano tu

Hii kauli ilinichekesa sana.

Ninaamini itanichukua nmuda mrefu kuisahau.

CHADEMA ya sasa haijibi hoja za wale wanakihama chama bali inatumia matusi na kejeri kujikinga kwa sababu haina mwanvuli wa hoja mbadala.
Huwezi kujibu hoja ambayo haina logic.
 
Kwa upinzani huo wa CDM sahauni habari ya Urais na kuingia Ikulu

Kitendo cha Chadema kula matapishi ya CCM ni kitendo kityakachokigharimu chama hiki na hata upinzani kwa ujumla.

Leo hii wale wote ambao wanajiondoa CCM kukimbia tuhuma za ufisadi, leo hii wanaonekana ni lulu kwa uipnzani.

Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini isiwe nai Chadema.
.

..ccm mnabebwa mno na polisi.

..ni kama mmeachwa mtambe mnavyotaka huku wapinzani wakitiwa kasheshe kila wanapofurukuta.

..swali langu ni kwamba, je 2020 mtaendelea kuwatumia Polisi kama mnavyowatumia sasa hivi?

..Je kwa kufanya hivyo mtakuwa mnajenga picha gani kwa wapiga kura?

..Je wapiga kura wataridhika kuona HAKI haitendeki nchini?

..Suala lingine ni kwamba Lowassa ana tuhuma za ufisadi. Na Magufuli naye ana tuhuma za ufisadi.

..Sasa upo uwezekano wa Lowassa kutogombea 2020 na hivyo CCM kukosa mtu wa kumshambulia kwa ufisadi.

..Katika mazingira ambapo Lowassa siyo mgombea na amebaki Magufuli na tuhuma zake za ufisadi, how is CCM going to respond?

..Ni kweli upinzani unaonekana uko very weak and disorganized, lakini kwa upande mwingine CCM wanaonekana wana uoga and not sure of themselves kuliko wakati wowote ule.

..Hakuna wakati wapinzani wamesumbuliwa na kudhalilishwa kama awamu.

..Karibu kila kiongozi wa upinzani ana kesi at least 3. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa cdm mwenye kesi ya ufisadi, yet mnawadanganya wananchi kuwa mafisadi wamekimbilia cdm.

..Kwa kumbukumbu zangu Mrema alipokuwa at his peak kama mpinzani alikuwa na kesi moja tu.

..Kwa hiyo swali langu ni hili: kwanini CCM wanatumia kila mbinu na hata kuzikanyaga sheria za nchi ilimradi kuwadhibiti na kuwadhalilisha wapinzani?

..Zaidi, mgombea wenu wa 2020 ataweza kuvumilia kukosolewa na wapinzani wake? Je hataamrisha msaada wa vyombo vya dola wakati wowote?

Cc Nzi, Pascal Mayalla, BAK
 
Nini kifanyike ili kuzuia wanachama wa chadema kukubali kuhongwa na kununuliwa kirahisi na ccm.
Mtoaji na mpokeaji wachunguzwe na Takukuru.Lakini nakumbuka katika kesi ya madiwani Takukuru waligoma kuendelea na uchunguzi.
 
Ukanda ni shida, hata wewe?

Ni vigumu sana CCM iloyo chini ya Mgufuli kurudi tena kwenye mambo kama hongo, na ufisadi.

Kiukweli, ni Chadema ndiyo walomhonga Lazaro Nyalandu au siyo?

CCM kuna utaratibu wa kufanya mkutano wa halmashauri kuu kuwajadili waombaji uanachama.

Chadema sijaona wanafanya hivyo, mara tu tumeshuhudia Lowasa, Sumaye, mzee Ngombale Mwiru na Nyalandu wakikaribishwa bila wanachama kuridhia.
 
Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na kasi kubwa ya kuhama kwa wanachama wa Chadema hasa baada ya aliekuwa waziri wa maliasili na utalii bwana Lazaro Nyalandu kuhama CCM na kwenda Chadema.

Safari ilokuwepo kwa Chadema unazidi kupotea baada ya kumkaribisha Nyalandu mtu ambae ana lundo la tuhuma za ufisadi.

Kwa upinzani huo wa CDM sahauni habari ya Urais na kuingia Ikulu.

Ndani ya Chadema sasa hivi kuna mpasuko mkubwa wa kiutawala na maslahi na hakuna dalili za mwenyekiti kuachia kiti hicho ili kusiwepo na nadharia kwamba mwenyekiti Freeman Mbiwe naye ni dikteta ndani ya Chadema..

Chadema walimpoteza Dr Slaa na leo hii ameteuliwa kuwa balozi na mheshimiwa raisi John Magufuli.

Wale wote wanaotoka sasa Chadema kwenda CCM waliingia enzi za Slaa akiwa katibu mkuu makini ambae ni mtu mwenye msimamo na husimamia kile anachokiamini.

Fred Mpendazoe
Profesa Kitila Mkumbo.
Lawrence Masha
Patrobas Katambi
David Kafulila
Dr Wilbroad Slaa?

Kitendo cha Chadema kula matapishi ya CCM ni kitendo kityakachokigharimu chama hiki na hata upinzani kwa ujumla.

Leo hii wale wote ambao wanajiondoa CCM kukimbia tuhuma za ufisadi, leo hii wanaonekana ni lulu kwa uipnzani.

Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini isiwe nai Chadema.

Edward Lowasa alitajwa kuwa fisadi na Chadema na akafanywa mtaji mkubwa wa Chadema kiasi cha kumuondoa Dr Slaa.

Hakika nimeamini CCM ni mashine kubwa ya kutengeneza propaganda na zikaleta madhara makubwa sana.

Chadema amkeni kabla ya mambo hayajawa mazito zaidi na maji kufika shingoni.
Kwahiyo kwa Chadema kula matapishi ya CCM ndio nongwa, ila kwa CCM kula matapishi ya CDM aaah, haina shida si ndio? Naona umekuja na ngonjera zako ili tumbo lishibe. Kunasiku mtakuja kuchutamishwa!!
 
Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na kasi kubwa ya kuhama kwa wanachama wa Chadema hasa baada ya aliekuwa waziri wa maliasili na utalii bwana Lazaro Nyalandu kuhama CCM na kwenda Chadema.

Safari ilokuwepo kwa Chadema unazidi kupotea baada ya kumkaribisha Nyalandu mtu ambae ana lundo la tuhuma za ufisadi.

Kwa upinzani huo wa CDM sahauni habari ya Urais na kuingia Ikulu.

Ndani ya Chadema sasa hivi kuna mpasuko mkubwa wa kiutawala na maslahi na hakuna dalili za mwenyekiti kuachia kiti hicho ili kusiwepo na nadharia kwamba mwenyekiti Freeman Mbiwe naye ni dikteta ndani ya Chadema..

Chadema walimpoteza Dr Slaa na leo hii ameteuliwa kuwa balozi na mheshimiwa raisi John Magufuli.

Wale wote wanaotoka sasa Chadema kwenda CCM waliingia enzi za Slaa akiwa katibu mkuu makini ambae ni mtu mwenye msimamo na husimamia kile anachokiamini.

Fred Mpendazoe
Profesa Kitila Mkumbo.
Lawrence Masha
Patrobas Katambi
David Kafulila
Dr Wilbroad Slaa?

Kitendo cha Chadema kula matapishi ya CCM ni kitendo kityakachokigharimu chama hiki na hata upinzani kwa ujumla.

Leo hii wale wote ambao wanajiondoa CCM kukimbia tuhuma za ufisadi, leo hii wanaonekana ni lulu kwa uipnzani.

Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini isiwe nai Chadema.

Edward Lowasa alitajwa kuwa fisadi na Chadema na akafanywa mtaji mkubwa wa Chadema kiasi cha kumuondoa Dr Slaa.

Hakika nimeamini CCM ni mashine kubwa ya kutengeneza propaganda na zikaleta madhara makubwa sana.

Chadema amkeni kabla ya mambo hayajawa mazito zaidi na maji kufika shingoni.

Tumeanzisha mahakama ya mafisadi kwanini msiwapeleke mkawashughulikie kuliko kupiga mayowe????
 
Wakati Wazee kama Lowassa na genge lake wanapewa nafasi ya kugombea Urais wa Tanzania, vijana wanabadilishwa na kuwa makalai ya kuchanganya zege la kuwajenga kina Lowassa!

wakati Slaa akipewa zawadi ya ubalozi, vijana wa CCM wanalia kuwa CCM inawatumia kama mpira wa tendo na kuwatupa baada ya tendo.
 
Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini isiwe nai Chadema.

What a delusional statement! Mwenyekiti wenu tu wa chama, ambaye ndiye Rais, ni mwizi na fisadi! Vipi akina: Chenge? Tibaijuka? Muhongo? Ngeleja? Simbachawene?

Yaani ni salama mno kwa mafisadi kubaki ndani ya CCM, kwani yakiwa huko yanalindwa na kutetewa na chama, kama mlivyofanya kwa kumtetea Lowassa kwa nguvu zenu zote alipokuwa CCM! Mkampigia hadi kampeni na kusema ile kashfa na kujiuzulu kwake ilikuwa ni ajali ya kisiasa! Mkasema hakuna haja ya kumshtaki kwani kujiuzulu tu ni adhabu tosha! Leo mnasemaje vile?
 
Ni kweli kabisa.
Na hii kauli ya mara kwa mara ya Lowasa ya kusema kuwa atagombea Urais inawakwaza wengi.

Ukizingatia kuwa kuna watu wengi ndani ya Chadema wenye sifa zaidi na nguvu na uwezo wa kujenga hoja.

Lowasa ashauriwe tu kuwa Urais wa mioyo ya watu ni heshima kubwa sana.
Aishie hapa hapo.

2020 mchuano aachie wengine ,akina Tundu, Nyalandu, Sumaye,Mbowe, Mdee, Heche jembe la kubota n.k

Pia ni wakati sasa wa kujipanga kiitikadi kwani CCM nayo haiko salama.
Vyuma vimekaza na wenyeji wanawekwa pembeni kwenye ulaji na vyeo.

Na ningetamani kuona Chadema yote inahamia CCM na CCM inakaa benchi waisome Namba kwa lugha za kiaramaini.

Wale chadema wanaoitwa kule kwa ajili ya kufanya manadiliko ya kweli ya nchi basi wasione nongwa kwenda kwani hii nchi sio ya urithi wa watoto wa vigogo wa CCM.

Mabadiliko mbele kwa mbele.
Huku kuionea huruma chadema na kuipa ushauri nyinyi wanaccm kuna toka wapi?? Mjue ndo mnazidi kujivua nguo!! Kaeni kimya ya chadema tuachieni wanachadema.
 
..ccm mnabebwa mno na polisi.

..ni kama mmeachwa mtambe mnavyotaka huku wapinzani wakitiwa kasheshe kila wanapofurukuta.

..swali langu ni kwamba, je 2020 mtaendelea kuwatumia Polisi kama mnavyowatumia sasa hivi?

..Je kwa kufanya hivyo mtakuwa mnajenga picha gani kwa wapiga kura?

..Je wapiga kura wataridhika kuona HAKI haitendeki nchini?

..Suala lingine ni kwamba Lowassa ana tuhuma za ufisadi. Na Magufuli naye ana tuhuma za ufisadi.

..Sasa upo uwezekano wa Lowassa kutogombea 2020 na hivyo CCM kukosa mtu wa kumshambulia kwa ufisadi.

..Katika mazingira ambapo Lowassa siyo mgombea na amebaki Magufuli na tuhuma zake za ufisadi, how is CCM going to respond?

..Ni kweli upinzani unaonekana uko very weak and disorganized, lakini kwa upande mwingine CCM wanaonekana wana uoga and not sure of themselves kuliko wakati wowote ule.

..Hakuna wakati wapinzani wamesumbuliwa na kudhalilishwa kama awamu.

..Karibu kila kiongozi wa upinzani ana kesi at least 3. Na hakuna kiongozi hata mmoja wa cdm mwenye kesi ya ufisadi, yet mnawadanganya wananchi kuwa mafisadi wamekimbilia cdm.

..Kwa kumbukumbu zangu Mrema alipokuwa at his peak kama mpinzani alikuwa na kesi moja tu.

..Kwa hiyo swali langu ni hili: kwanini CCM wanatumia kila mbinu na hata kuzikanyaga sheria za nchi ilimradi kuwadhibiti na kuwadhalilisha wapinzani?

..Zaidi, mgombea wenu wa 2020 ataweza kuvumilia kukosolewa na wapinzani wake? Je hataamrisha msaada wa vyombo vya dola wakati wowote?

Cc Nzi, Pascal Mayalla, BAK

Mkuu, tayari kuna mapendekezo kutoka kwa wadau na washauri wengi tu akiwemo mkuu Pasco, kwamba hakuna haja ya uchaguzi na hasa ukizingatia kwamba hakuna mpinzani wa kweli katika siasa za Tanzania.

Edward Lowasa hawezi kuishinda CCM ilomruhusu kwenda Chadema/Ukawa kulikuwa ni sehemu ya mikakati ya CCM kuhakikisha raisi Magufuli hasumbuliwi kama ilivyokuwa kwa JK.

Hivyo mwaka 2020 Chadema inaweza kabisa kuwa msindikizaji na baadae wakalalaka kwamba wameonewa.

Sheria ya uchaguzi bado itakuwa ni ileile ya kutoruhusu watu ndani ya mita 200 ili kuruhusu utulivu kwa wapiga kura pale wanapohudhuria vituao vya kupiga kura.

Unazungumzia kesi lakini ni nani mwenye kununua hizo kesi?

Ukichukulia mfano wa Halima Mdee je anaweza kusema anaonewa kwa kukashifu raisi wa nchi hadharani?

Mbona watu kama John Mnyika huwa anachunga maneno ya kuongea?

Tujifunze kufanya siasa kistaarabu kiasi kwamba hata kama unamtukana, kukashifu au kumkejeli kiongozi mwingine basi unakuwa unafahamu namna ya kuchuja maneno na kufahamu ni maneno gani utumie.

Bunge letu likiwa na watu wanazungumza maneno ya kisiasa na ya kuleta maana zaidi utaona lenyewe linaachiwa kuwa Live, lakini kwasasa haiwezekani kwani huwezi kutamka maneno ya kashfa dhidi ya kiongozi ukiwa "Live" kutoka Bungeni Dodoma.

Hivyo namalizia kwa kusema tu kwamba wapinzani au wanaojiita wapinzani bado wana safari ndefu ya kujitathmini kwa kuangalia namna wanavyojibu hoja ambapo mpaka sasa bad hawajaelewa "how to to do it".

Piili, wapinzani bado wana muda mrefu wa kujitathmini ni jinsi gani wataanza kutengeneza sera mbadala na zile ambazo CCM ndiyo inazifanyia kazi sasa.
 
Katika siku za hivi karibuni kumekuwepo na kasi kubwa ya kuhama kwa wanachama wa Chadema hasa baada ya aliekuwa waziri wa maliasili na utalii bwana Lazaro Nyalandu kuhama CCM na kwenda Chadema.

Safari ilokuwepo kwa Chadema unazidi kupotea baada ya kumkaribisha Nyalandu mtu ambae ana lundo la tuhuma za ufisadi.

Kwa upinzani huo wa CDM sahauni habari ya Urais na kuingia Ikulu.

Ndani ya Chadema sasa hivi kuna mpasuko mkubwa wa kiutawala na maslahi na hakuna dalili za mwenyekiti kuachia kiti hicho ili kusiwepo na nadharia kwamba mwenyekiti Freeman Mbiwe naye ni dikteta ndani ya Chadema..

Chadema walimpoteza Dr Slaa na leo hii ameteuliwa kuwa balozi na mheshimiwa raisi John Magufuli.

Wale wote wanaotoka sasa Chadema kwenda CCM waliingia enzi za Slaa akiwa katibu mkuu makini ambae ni mtu mwenye msimamo na husimamia kile anachokiamini.

Fred Mpendazoe
Profesa Kitila Mkumbo.
Lawrence Masha
Patrobas Katambi
David Kafulila
Dr Wilbroad Slaa?

Kitendo cha Chadema kula matapishi ya CCM ni kitendo kityakachokigharimu chama hiki na hata upinzani kwa ujumla.

Leo hii wale wote ambao wanajiondoa CCM kukimbia tuhuma za ufisadi, leo hii wanaonekana ni lulu kwa upinzani.

Mwizi na fisadi yoyote hawezi kukaa ndani ya CCM atatafuta pa kukimbilia, lakini ni kwanini isiwe mahali pengine bali Chadema?

Edward Lowasa alitajwa kuwa fisadi na Chadema na akafanywa mtaji mkubwa wa Chadema kiasi cha kumuondoa Dr Slaa.

Hakika nimeamini CCM ni mashine kubwa ya kutengeneza propaganda na zikaleta madhara makubwa sana.

Chadema amkeni kabla ya mambo hayajawa mazito zaidi na maji kufika shingoni.
Mission accomplished!
 
Chadema hawana tena cha kufanya, safari ya kufa kisiasa imeiva (n.b kufa hakuna breki)
 
Mkuu, tayari kuna mapendekezo kutoka kwa wadau na washauri wengi tu akiwemo mkuu Pasco, kwamba hakuna haja ya uchaguzi na hasa ukizingatia kwamba hakuna mpinzani wa kweli katika siasa za Tanzania.

Edward Lowasa hawezi kuishinda CCM ilomruhusu kwenda Chadema/Ukawa kulikuwa ni sehemu ya mikakati ya CCM kuhakikisha raisi Magufuli hasumbuliwi kama ilivyokuwa kwa JK.

Hivyo mwaka 2020 Chadema inaweza kabisa kuwa msindikizaji na baadae wakalalaka kwamba wameonewa.

Sheria ya uchaguzi bado itakuwa ni ileile ya kutoruhusu watu ndani ya mita 200 ili kuruhusu utulivu kwa wapiga kura pale wanapohudhuria vituao vya kupiga kura.

Unazungumzia kesi lakini ni nani mwenye kununua hizo kesi?

Ukichukulia mfano wa Halima Mdee je anaweza kusema anaonewa kwa kukashifu raisi wa nchi hadharani?

Mbona watu kama John Mnyika huwa anachunga maneno ya kuongea?

Tujifunze kufanya siasa kistaarabu kiasi kwamba hata kama unamtukana, kukashifu au kumkejeli kiongozi mwingine basi unakuwa unafahamu namna ya kuchuja maneno na kufahamu ni maneno gani utumie.

Bunge letu likiwa na watu wanazungumza maneno ya kisiasa na ya kuleta maana zaidi utaona lenyewe linaachiwa kuwa Live, lakini kwasasa haiwezekani kwani huwezi kutamka maneno ya kashfa dhidi ya kiongozi ukiwa "Live" kutoka Bungeni Dodoma.

Hivyo namalizia kwa kusema tu kwamba wapinzani au wanaojiita wapinzani bado wana safari ndefu ya kujitathmini kwa kuangalia namna wanavyojibu hoja ambapo mpaka sasa bad hawajaelewa "how to to do it".

Piili, wapinzani bado wana muda mrefu wa kujitathmini ni jinsi gani wataanza kutengeneza sera mbadala na zile ambazo CCM ndiyo inazifanyia kazi sasa.

..the problem ni kuwa mmejipa mpaka madaraka ya kuwaamulia wapinzani nini cha kusema, namna ya kusema, na wakati gani wanapaswa kusema.

..ccm mnatakiwa muondokane na mentality hiyo.

..ili mfumo wetu wa demokrasia ufanye kazi kulingana na malengo yake ni lazima vyama vyote viwe na HAKI SAWA chini ya sheria.

..Sikubaliani na hoja yako kwamba hakuna upinzani wa kweli. Upinzani upo isipokuwa CCM imejitwalia sheria mikononi na kuamua kuwasumbua, kuwatesa, na kuwadhalilisha, viongozi na wafuasi wa vyama vya upinzani.

..kuhusu BUNGE nafurahi kwamba umemtaja Mh.John Mnyika. Na umemtaja kama mbunge mtulivu mwenye kupima kauli zake.

..Ulichosahau ni kwamba hata yeye aliwahi kuwa abused na askari wa bunge kutokana na kiburi tu cha Spika Ndugai. Mnyika alitukanwa na mbunge wa CCM wakati akichangia lakini kitu cha ajabu kabisa Spika hakuchukua hatua za kinidhamu kwa mbunge aliyemtukana Mnyika.

..Kwa kumbukumbu zangu tukio hilo la Mh.Mnyika ndiyo lilopelekea mlolongo wa majibizano kati ya Halima Mdee na Spika na mwisho wake Mh.Mdee amefungiwa mwaka mzima.

..Na kukutanabahisha tu, Kamati iliyompa adhabu Mh.Mdee ina mjumbe mmoja tu toka CDM.

..Kinachotokea bungeni ni Spika na Naibu Spika kuonea, kuwatupia vijembe, na kudhalilisha wabunge wa upinzani, wakati wa mijadala halafu waki react wanaadhibiwa na kamati iliyosheheni wabunge wa CCM.

..Kwa kuongezea, sidhani kama ktk siasa zetu yuko aliyemzidi bwana mkubwa kwa kukejeli na kudhalilisha wanasiasa wenzake. Huyo ndiyo chanzo cha UHASAMA wa kisiasa tunaoushuhudia sasa hivi. Na mbaya zaidi anapenda kukejeli wenzake lakini hana uvumilivu pale wanapomjibu.

..Mwisho, CCM kuviua vyama vingine vya siasa siyo jambo jema kwa future ya taifa letu. Kwangu mimi vyama mbadala ni sawa na BIMA itakayotusaidia wakati wananchi watakapotaka kufanya mabadiliko.

..Tutapata matatizo makubwa sana ikiwa wananchi watatafuta mabadiliko ya serikali na uongozi nje ya mfumo wa demokrasia ya vyama vya siasa. Tutakuwa tumekaribisha machafuko nchini.
 
Hii kauli ilinichekesa sana.

Ninaamini itanichukua nmuda mrefu kuisahau.

CHADEMA ya sasa haijibi hoja za wale wanakihama chama bali inatumia matusi na kejeri kujikinga kwa sababu haina mwanvuli wa hoja mbadala.

Tujibu hoja ili itufyatulie RISASI.......?
 
Ni vigumu sana CCM iliyo chini ya Mgufuli kurudi tena kwenye mambo kama hongo, na ufisadi.

Kiukweli, ni Chadema ndiyo walomhonga Lazaro Nyalandu au siyo?

CCM kuna utaratibu wa kufanya mkutano wa halmashauri kuu kuwajadili waombaji uanachama.

Chadema sijaona wanafanya hivyo, mara tu tumeshuhudia Lowasa, Sumaye, mzee Ngombale Mwiru na Nyalandu wakikaribishwa bila wanachama kuridhia.
Aliyekuwa Campaign Manager wa Katambi umemsikia? Kuna 50m za kuwapa atakaohama nao. Kula uliwe!!
 
Richard,

..Kafulila alitimuliwa cdm na Dr.Slaa huku akiitwa ni sisimizi.

..Nccr nako walitaka kumtimua ikabidi ampigie magoti Mbatia maana angepoteza ubunge.

..baada ya Nccr akaenda ACT ambako ameshindwa ubunge.

..hisia zangu ni kwamba Kafulila amekata tamaa a siasa za uwakilishi,.ameamua kutafuta nafasi za
kuteuliwa.

..Laurance Masha kwa maoni yangu hafanani na siasa za mikiki-mikiki za cdm.

..Hata lugha anayozungumza Masha, historia yake haifanani na wana cdm waliowengi.

..Suala lingine ni kwamba CDM isingeweza kuwa nz mafahali wawili Wenje na Masha ktk eneo moja. Mbele ya safari kungeweza kutokea matatizo baina yao wawili.

..Kuondoka kwa Petrobas Katambi ni pigo na baraka kwa cdm. Ni pigo kwasababu aliaminiwa na kupewa nafasi kubwa na nyeti ndani ya chama.

..Kuondoka kwa Petrobas ni baraka kwasababu alipwaya ktk nafasi yake ya mwenyekiti wa uv-cdm. Wengi walitegemea Petrobas atakuwa jasiri na effective kama mtangulizi wake John Heche, au Joshua Nassari.

..Prof.Mkumbo ni majeruhi wa timua-timua ya Dr.Slaa.

..Mwisho, CDM ilishapona majeraha ya kuondoka kwa Dr.Slaa.

..Kwangu mimi tukio hili siyo kubwa sana. Kilichotokea ni kwamba CCM wameweza kuli publicize vizuri.

Fact.
 
Back
Top Bottom