Recent content by Innobrown

  1. I

    Dhuluma kwenye udalali huleta laana

    Jamani Mwacheni kaka wa watu mbona mnamsakama hivyo kwani kaua wazee mwacheni apumzike likizo mbona hivyo hamna utu nyie hivi yale machozi ....yaaniiiii duuh haya bwana !!
  2. I

    Hamna kitu kinachokera duniani kama kuwa na shemeji ambaye masikini na hana msaada na wewe

    NDIO MAANA WATOTO WA KIUME SIKU HIZI BONGO WENGI WAMEKUWA MASHOGA !!. Badala ya kuhahangaika utafute zako Hapana..Unakaa tuu kama Ndege JOHN ..Mpaka DADA YAKO APANDWE WEWE NDIO UONEKANE MWANAUME KWA WATU..aISEEH WEWE ..halafu post nyingine bwana...looooh !! Mpaka kichefuchefu
  3. I

    Kashfa mpya ya Mradi wa Dollar Billion 60

    Hivi Unazijua USD "$" bilion 60 wewe ??? Au unaandika andika tuu hapa ??? Are you serious guy ? kwa serikali yetu TANZANIA au umekosea ukafananisha na sehemu ya Australia maana kuna kisiwa ambacho ni sehemu ya Austalia kinaitwa TASMANIA ukajua TANZANIA???.......kama huna cha kuandika huku embu...
  4. I

    Mahali gani naweza kupata GPS?

    0713425880 ninayo
  5. I

    Jinsi ya kuondoa ujumbe wa "copy of window is not genuine" kwenye microsoft windows

    Wanakuzingua hao nenda nunua genuine Windows 7 utapata licence key
  6. I

    Mahali gani naweza kupata GPS?

    Ninayo GPS map .. nitafute
  7. I

    Nahitaji SATA hard drive ya laptop GB 500

    Ipo mpya bei 85000 unaipata moshi town
  8. I

    Nahitaji Ram ya kununua Used ya Laptop

    Nilisoma vibaya nikajua ddr4 128MB..Nikashangaa
  9. I

    Nahitaji Ram ya kununua Used ya Laptop

    Hapa nina ram za aina zote za server na ukubwa wote
  10. I

    Nahitaji Ram ya kununua Used ya Laptop

    Hiyo pc2-6400..800mhz
  11. I

    Nahitaji Ram ya kununua Used ya Laptop

    Ram gani hasa unayohitaji? ya ukubwa gani? speed gani? nyoosha maneno
  12. I

    Ikiwa picha hii ni ya kweli, Nyalandu lazima ajiuzulu

    Ulitaka amnyanyue mkeo?
Back
Top Bottom