Jamani Mwacheni kaka wa watu mbona mnamsakama hivyo kwani kaua wazee mwacheni apumzike likizo mbona hivyo hamna utu nyie hivi yale machozi ....yaaniiiii duuh haya bwana !!
NDIO MAANA WATOTO WA KIUME SIKU HIZI BONGO WENGI WAMEKUWA MASHOGA !!. Badala ya kuhahangaika utafute zako Hapana..Unakaa tuu kama Ndege JOHN ..Mpaka DADA YAKO APANDWE WEWE NDIO UONEKANE MWANAUME KWA WATU..aISEEH WEWE ..halafu post nyingine bwana...looooh !! Mpaka kichefuchefu
Hivi Unazijua USD "$" bilion 60 wewe ??? Au unaandika andika tuu hapa ??? Are you serious guy ? kwa serikali yetu TANZANIA au umekosea ukafananisha na sehemu ya Australia maana kuna kisiwa ambacho ni sehemu ya Austalia kinaitwa TASMANIA ukajua TANZANIA???.......kama huna cha kuandika huku embu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.