Recent content by injured

  1. I

    Mwaka 2015 hautasahaulika katika siasa za tanzania

    Huu ni Mwaka Ambao hata Kesho Wananchi wakiruhusiwa Kupiga Kura wanaweza, bila hata Campaign kufanyika. Naona Mwamko ni mkubwa na hari ni kubwa. Naona karibu kila Mwananchi ameshakua na maamuzi yake tayari kichwani. Kila kona ukatizayo ni POLITICS TUU!! Asbh Wananchi wengi wamejazana sehemu...
  2. I

    Prof. Ibrahim Lipumba atangaza kujiuzulu nafasi ya Uenyekiti wa CUF Taifa

    Ni dhahiri kwamba Viongozi wengi wa Vyama vya Upinzani wapo zaidi kimaslahi Binafsi kuliko Maslahi ya Wananchi. Tayari Prof naye ameshahadaika, haya ndiyo Yale baadhi ya Mapandikizi ya Ccm vyama vya upinzani. Baada ya kuona Ukawa imekua ghafla na ni tishio kwa Ccm , wameamua tumia pandikizi lao...
  3. I

    Kumbe Serikali inavyong'ang'ania kima cha chini laki 2 ilifanya research huku!!

    Hahahhah! Ndo kwangu huko mkuu. Kima cha chini mkuu ntakwenda wapi??
  4. I

    Kumbe Serikali inavyong'ang'ania kima cha chini laki 2 ilifanya research huku!!

    Umenikosea sana ndg yng. Tai mi naionaga kwa wengine tu. Sijawahi vaa hiyo kitu. Mimi ni Mtanganyika kama ww vinginevyo ningekwenda kwa 17,000 kama mdau mmoja hapo juuu.
  5. I

    Naweza kuhifadhi Bank vyeti vyangu?

    Nowdays kuna safe ambazo ni fire proof. Hakuna haja ya kuhangaika na Bank, cjui kwa Bi Mkubwa. Hizo ni pre colonial ideas. Dunia imeendelea sasa jamani!!!
  6. I

    Kumbe Serikali inavyong'ang'ania kima cha chini laki 2 ilifanya research huku!!

    Babu wewe uko vizuri! 17000 * 20 working days = 340000/=. Wewe utakua kima cha juu sana. Hiyo Lunch tu. Bado Dinner na Breakfast
  7. I

    Kumbe Serikali inavyong'ang'ania kima cha chini laki 2 ilifanya research huku!!

    Nikiwa mida ya lunch leo na mwenzangu tuliamua tukale kwa Mama Ntilie karibu kidogo na ofisi. Tulipofika tuliagiza wali na mboga zote. Kila mmoja wetu akaletewa wali, mboga za majani, dagaa, maharage na nyama. Tukaupiga saaafi kabisa, na ni mtamu sana. Kifupi tuliridhika. Baada ya hapo tuliomba...
  8. I

    Siku ya kwanza niliponunua gari

    Siku yng ya kwanza mimi nililipark dirishani, kila muda nanyanyuka kitandani nalichungulia lipo? nililiweka alarm na multilock system, kila nilipokwenda nahakikisha ntapolipark naliona. Muda mwingine nilitamani kuliamkia 'shkamoo gari'.
  9. I

    Deni la Taifa lapaa!

    Migodi tu na rasilimali kama mbuga za taifa na hifadhi vilikua vyanzo tosha sana kuendesha nchi hii. Ila tu kama pangekua na usimamizi madhubuti. Matokeo yake, hela yetu ileile tunayoibiwa hapa inarudishwa kama mkopo/msaada. Tunatawaliwa bila kujua, matokeo yake, anayekupa mkopo anaweza...
  10. I

    Ukikutana na JAMBAZI Uwe na NIDHAMU

    Mimi kwanza nikimuona tu, naanza msalimia 'shkamoo Kaka Jambazi'. Nampa mpaka coins, na kumsindikiza namsindikiza. Namwambia karibu tena Kaka Jambazi, next tym unaweza zikuta nyingi. Ama namuachia na number yangu akitaka kuja anipigie tu. Hela kitu gani??? hasara roho
  11. I

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Nimekubali wewe ni hazina kubwa sana ya Nchi yetu.
  12. I

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumamosi, Tarehe 12 Aprili 2014 - Uwasilishaji wa Taarifa za Kamati

    Asanteni sana TBC kwa kutukatishia matangazo wakati mh. TUNDU LISSU akielezea kuhusu swala la Muungano, uhalali na hati zake. Haitasaidia kitu, ukweli utabaki kuwa ukweli tuuu!! No matter what!!!!!
  13. I

    Wanaume wengi ni majanga........

    Sasa tusipowaomba ninyi number tumuombe nani? Kwani ukiombwa number lazima utongozwe? Labda anataka kuhubiria neno je? Akuokoe... Kwahiyo tuwaombe number tukikutana mara ya ngapi?
Back
Top Bottom