Recent content by Informer

  1. Informer

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu ya kuzama kwa MV Bukoba tarehe 21 May, 1996

    Ilikuwa upside-down tayari. Unataka sema ilikuwa sawa kutoboa tu?
  2. Informer

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI: Ugonjwa wa Ebola Walipuka DRC na Uganda, WHO Yatangaza Hali ya Hatari (PHEIC)

    Leo tarehe 17 Mei 2026, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tamko zito ambalo linatugusa sisi Watanzania moja kwa moja. WHO imetangaza rasmi kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoendelea katika nchi jirani za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Uganda sasa ni Hali ya Hatari ya Afya ya...
  3. Informer

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania yadaiwa kuwazuia Wabunge wa Ulaya (EU) Kufanya Ziara Nchini

    Wakuu, Kuna taarifa nzito sana imetolewa na Bunge la Ulaya (European Parliament) kuhusu mahusiano yetu ya kidiplomasia na hali ya haki za binadamu hapa nchini. Kwa mujibu wa chapisho rasmi kutoka kwenye tovuti ya bunge hilo, Serikali ya Tanzania imeikatalia kamati ya Wabunge wa Ulaya kufanya...
  4. Informer

    JamiiForums Tanzania Milio ya risasi yasikika ndani kwenye hafla ya chakula cha usiku, Trump aondolewa ukumbini na wanausalama

    Marekani ni tofauti sana na kwetu. Hebu otea ingekuwa Malawi, jamaa angekuwa hali gani?
  5. Informer

    JamiiForums Tanzania Milio ya risasi yasikika ndani kwenye hafla ya chakula cha usiku, Trump aondolewa ukumbini na wanausalama

    Kuna tukio la kushtua ambalo limetokea usiku wa leo (mida ya Tanzania) nchini Marekani. Rais Donald Trump, Mkewe Melania Trump, Makamu wa Rais J.D. Vance na viongozi wengine waandamizi wamelazimika kuokolewa kwa dharura na kikosi maalum cha ulinzi (Secret Service) baada ya milio ya risasi...
  6. Informer

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CHADEMA yaikataa rasmi Ripoti ya Tume ya Jaji Chande, yadai ni njama za kuficha ukweli, yataka uchunguzi wa kimataifa

    Leo tarehe 23 Aprili 2026, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa "Taarifa kwa Umma" kikieleza msimamo wake wa kuipinga na kuikataa rasmi ripoti ya Tume ya Uchunguzi iliyoongozwa na Jaji Mohamed Chande Othman, ambayo imewasilishwa leo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan. Kupitia...
  7. Informer

    JamiiForums Tanzania Chalinze: Mahakama ya Lugoba yateketea kwa moto

    Wakuu, Jengo la Mahakama ya Mwanzo ya Lugoba, iliyopo Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, limeteketea kwa moto usiku wa Aprili 6, 2026 (mida ya saa 5 za usiku) huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijafahamika. Kabla ya tukio hili, mahakama ya Lugoba ilikuwa ikishughulikia kesi za jinai...
  8. Informer

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29 yaongezewa Muda tena hadi Aprili 24, 2026

    Na pesa inayotumika ni ya wananchi. Nikumbushe mkuu, hii nayo ni TUME HURU?
  9. Informer

    JamiiForums Tanzania Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwa sasa?

    Anatamba min -me kwa sasa
  10. Informer

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Uganda's Protection of Sovereignty Bill of 2026 - When the State Silences the Watchdogs!

    The Protection of Sovereignty Bill 2026 in Uganda (a rebranded NGO Funding Bill) seeks strict government control over foreign funding for individuals and NGOs. It mandates registration for anyone "supervised, directed, controlled, financed, or subsidized by a foreigner". Penalties include up to...
  11. Informer

    JamiiForums Tanzania Msumbiji yamaliza deni lake la Dola milioni 701 ililokuwa inadaiwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF)

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka Benki ya Standard (Standard Bank), Msumbiji imefanikiwa kumaliza deni lake la Dola milioni 701 ililokuwa inadaiwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF). Hatua hii ya kulipa deni imepelekea kufutwa kwa ziara ya ujumbe wa IMF iliyokuwa imepangwa kufanyika nchini humo...
  12. Informer

    JamiiForums Tanzania Zambia yasitisha Kodi (VAT na Excise Duty) kwenye Mafuta kupunguza makali ya maisha

    Habari za wakati huu Wana-JF, Kufuatia mabadiliko ya bei za nishati duniani, Serikali ya Zambia imechukua hatua za dharura kunusuru uchumi wake. Kuanzia tarehe 1 Aprili, 2026, serikali hiyo imesitisha ushuru wa bidhaa (Excise Duty) na kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye uagizaji wa...
  13. Informer

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Hisia Mseto (Bipolar Disorder): Elimu ya Kina kwa Watanzania na Wadau wa Afya ya Akili

    Nashukuru mkuu wangu, nitakuwa nafupisha maandiko next time
  14. Informer

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Hisia Mseto (Bipolar Disorder): Elimu ya Kina kwa Watanzania na Wadau wa Afya ya Akili

    Siku ukipata ndugu au jamaa mwenye changamoto hii, utataka kuja kusoma kwa kina. Siombei ukumbane na changamoto hii wala jamaa au ndugu yako.
Back
Top Bottom