Leo tarehe 17 Mei 2026, Shirika la Afya Duniani (WHO) limetoa tamko zito ambalo linatugusa sisi Watanzania moja kwa moja. WHO imetangaza rasmi kuwa mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoendelea katika nchi jirani za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Uganda sasa ni Hali ya Hatari ya Afya ya...
Wakuu,
Kuna taarifa nzito sana imetolewa na Bunge la Ulaya (European Parliament) kuhusu mahusiano yetu ya kidiplomasia na hali ya haki za binadamu hapa nchini.
Kwa mujibu wa chapisho rasmi kutoka kwenye tovuti ya bunge hilo, Serikali ya Tanzania imeikatalia kamati ya Wabunge wa Ulaya kufanya...
Kuna tukio la kushtua ambalo limetokea usiku wa leo (mida ya Tanzania) nchini Marekani. Rais Donald Trump, Mkewe Melania Trump, Makamu wa Rais J.D. Vance na viongozi wengine waandamizi wamelazimika kuokolewa kwa dharura na kikosi maalum cha ulinzi (Secret Service) baada ya milio ya risasi...
Leo tarehe 23 Aprili 2026, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetoa "Taarifa kwa Umma" kikieleza msimamo wake wa kuipinga na kuikataa rasmi ripoti ya Tume ya Uchunguzi iliyoongozwa na Jaji Mohamed Chande Othman, ambayo imewasilishwa leo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Kupitia...
Wakuu,
Jengo la Mahakama ya Mwanzo ya Lugoba, iliyopo Halmashauri ya Chalinze mkoani Pwani, limeteketea kwa moto usiku wa Aprili 6, 2026 (mida ya saa 5 za usiku) huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakijafahamika.
Kabla ya tukio hili, mahakama ya Lugoba ilikuwa ikishughulikia kesi za jinai...
The Protection of Sovereignty Bill 2026 in Uganda (a rebranded NGO Funding Bill) seeks strict government control over foreign funding for individuals and NGOs. It mandates registration for anyone "supervised, directed, controlled, financed, or subsidized by a foreigner". Penalties include up to...
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Benki ya Standard (Standard Bank), Msumbiji imefanikiwa kumaliza deni lake la Dola milioni 701 ililokuwa inadaiwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF).
Hatua hii ya kulipa deni imepelekea kufutwa kwa ziara ya ujumbe wa IMF iliyokuwa imepangwa kufanyika nchini humo...
Habari za wakati huu Wana-JF,
Kufuatia mabadiliko ya bei za nishati duniani, Serikali ya Zambia imechukua hatua za dharura kunusuru uchumi wake. Kuanzia tarehe 1 Aprili, 2026, serikali hiyo imesitisha ushuru wa bidhaa (Excise Duty) na kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwenye uagizaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.