Mkuu kama unavyowapatia vipo ndani ya uwezo wako na havitakuathiri wapatie tu bila kinyongo wala manung'uniko..kama haviko nje ya uwezo wako waambie huna.
Mungu ana makusudi yale kukuweka hapo pamoja nao
Kuna nyimbo za Upendo Kilahilo
Kwa utukufu wako na Hakuna usiloweza.
Naomba mwenye nazo aziweke hapa.
NB:Haku NBA usioweza kuna sehemu kunw an hauna sauti Youtube.
Natangukiza shukrani
Sadaka na zaka ni siri kati yako wewe na Mungu wako.Lakii makanisa ya sasa mnatoa kwenye kadi ambayo in jina lako baadae wahudumu wanajaza kwenye kadi hiyo kiasi ulichotoa.Maana ya sadaka ni siri haipo tena kwa baadhi ya makanisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.