Kisemvule kule wanauza mashamba sio vi-plots 2.5m hiyo bei ya hekari nzimaNauza kiwanja chenye ukubwa wa ft 80 kwa ft 50 kinapatikana Mkuranga Kisemvule njia panda ya kibamba bei 2.5ml
Kwa mawasiliano 0712150581. Karibu sana
hii ndio tabia yao ya kiswahili huu ukanda wa kuanzia mbagala kwenda huko mpaka mkuranga... standard unit ya viwanja ni meter na sio foot! Sema nauza kiwanja chenye ukubwa 24m x 15m acha kuchota watu akili ndani ya vipimo!