Kiwanja kinauzwa Kisemvule

liter

Member
Oct 17, 2018
35
32
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa ft 80 kwa ft 50 kinapatikana Mkuranga Kisemvule njia panda ya kibamba bei 2.5ml
Kwa mawasiliano 0712150581. Karibu sana
 
Nauza kiwanja chenye ukubwa wa ft 80 kwa ft 50 kinapatikana Mkuranga Kisemvule njia panda ya kibamba bei 2.5ml
Kwa mawasiliano 0712150581. Karibu sana
Kisemvule kule wanauza mashamba sio vi-plots 2.5m hiyo bei ya hekari nzima
 
... standard unit ya viwanja ni meter na sio foot! Sema nauza kiwanja chenye ukubwa 24m x 15m acha kuchota watu akili ndani ya vipimo!
 
... standard unit ya viwanja ni meter na sio foot! Sema nauza kiwanja chenye ukubwa 24m x 15m acha kuchota watu akili ndani ya vipimo!
hii ndio tabia yao ya kiswahili huu ukanda wa kuanzia mbagala kwenda huko mpaka mkuranga

Hata makampuni ya real Estate pia wanaweka vipimo kwa FT sio SQ

Nafkir na mind trick ya kuwakamata waswahili coz wamejazana sana huko

Huo ukanda kwa mtu anayejielewa ananunua kiwanja cha Biashara na sio makazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom