Kisemvule kule wanauza mashamba sio vi-plots 2.5m hiyo bei ya hekari nzimaNauza kiwanja chenye ukubwa wa ft 80 kwa ft 50 kinapatikana Mkuranga Kisemvule njia panda ya kibamba bei 2.5ml
Kwa mawasiliano 0712150581. Karibu sana
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hii ndio tabia yao ya kiswahili huu ukanda wa kuanzia mbagala kwenda huko mpaka mkuranga... standard unit ya viwanja ni meter na sio foot! Sema nauza kiwanja chenye ukubwa 24m x 15m acha kuchota watu akili ndani ya vipimo!