Mkuu sio dar pekee..ila ni asilimia kubwa sana yetu watanzania tuna roho za kimaskini..tunampenda asiyekuwa nacho akipata tunaanza majungu, fitina mda mwingine uchawi...kutafuta hatutafuti tunabaki kuilaumu serikali na kuombea machafuko na kukaa vijiweni kudanganyana na kuomba omba na kufuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.