Duh alikuwa miss alivuma kidogo, kanumba akamshawishi kwenye maigizo akawa msanii hakuvuma kabisa akapatwa na msanii maarufu hapo akaanza kuvuma kupitia mondi na zile skendo za umalaya zikimsaidia ikapita akasteak kuwa msanii kupitia msaada wa kanumba mara kaingia kwenye siasa na sasa anavuma...
Amini tunaolumbana humu ni sisi wananchi ushawahi kuona post ya mbunge wako humu au ya waziri au ya raisi au ya polisi amini wanatekeleza majukumu kaka.
Atimaye na lowassa wanae wao na walikuwa wakiiponda ccm kupitia lowassa na kumwita fisadi kama ccm chama cha mafisadi kinawataja sasa cha kushangaza chadema ndo kimbilio lao wale wote wenyemaovu na chadema kimekuwa mtetezi wa watu hao sasa nauliza kipi chama fisadi na kinachowakumbatia na...
Hata ukicheza ngoma kwenye maji bado watasema unawatimulia vumbi, ila naamini inchi yetu itatukia na maisha yatakuwa very cheap kisha watafumba midomo yao na kutafuta mengine ili kutia kasolo tu.
Mungu watokomeze maadui wa nchi hii na uwaongoze vema viongozi bora pamoja na mkuu JPM.
Thamani ya chadema haipo tena maana chadema imekua ikiwatetea waalifu ambao ccm wanawafukuza wakati lowassa alipokuwa ccm chadema ilimsema vibaya sana, leo hii yupo chadema tena ngazi za juu. Sielewi imekuaje!
Leo hii watu wa madawa ya kulevya wanatajwa na kuwekwa ndani chadema hiyo hiyo...
Hata angekamatwa yoyote katika kundi la watu kama hao bado angetokea mtu kama wewe angesema kaonewa kila mtu atashughulikiwa kwa wakati wake at least sasaivi wanakamatwa na tunawasikia wanapata ukumu kulingana na makosa yao. Vipi miaka ya nyuma ? Hili si jambo la mtu mmoja hakuna tena kuwafumbia...
Hana jipya ivi aoni kama anachechea mvurugiko wa amani kwa kujiona yeye anaakili sana inamaana yeye ndo mwanasheria peke yake anayeijua sheria tanzania kuna siku hato pata wa kumsaidia shauli yake.
Report kama hii ilitakiwa itolewe pale pale bungeni na muheshimiwa mmoja wapo au speaker wa bunge nazani wabunge wote wangepiga meza zao kwa aibu kubwa kuunga mkono hii report kwa aibu maana ndo kilichowapeleka bungeni kugonga gonga meza tu na uchu wa pesa na kukumbatia maovu.
Naona mambo magumu sasa maji ya shingo wanataka makonda aondolewe ili biashara ya madawa iendelee hawaoni hata aibu wamepata pa kujifichia kunusuru biashara yao ya madawa ni aibu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.