Alistides Katunzi
Senior Member
- Oct 30, 2016
- 142
- 84
Anatafta kiki hyo mpuuz tu anadandia gar kwa mbele...wew dv one kat chet kinachosemwa dv three ...Kwa nn unalazimisha jina linalotajwa lifanane na lako?
Hakuna mahala pamesemwa nanatumia chet cha kidato cha sita ...bali wanasema ni kidato cha nne chenye division 3 (points 25)
Kwa maana hii hakuna mtu anayekuzungumzia hapa.Na wala si wewe...kunywa maji mwanangu