Ni kweli, ila watu kama hawa ndio wanaokaa na kupaza sauti za uongo wao huku na kule hadi wakasababisha nchi matatizo kwa upuuzi wao...
Kama juzi kati alivyochemka yule mungu mtu wao mwengine kule BBC alipotaka kuongea siasa zake za takataka zilizokosa evidences!!!
Zama zinabadilika.... mambo...
Na kwa kuwa muislamu mimi kigalatia baki nacho wewe mgalatia brother.
However, if the nonsense you sprouted was meant to say i do not understand nor speak English... let me assure you that i can teach you, your sisters, your mother and even your father's mistress how to speak the English...
Errr...because she was not invited? Kualikwa ni maamuzi ya mualikaji, kama hataki kukualika kwake ukienda mjinga.
Kulia lia kwamba sijaalikwa haisaidii lolote.
Huyu dada mkijitia hashuo la kumfagilia sana mwisho atakufanyeni nyote mashoga...
Umeipata wapi hii story? Fabricated?
Maana mara atakuja mtu atuambie Dr. Shika ni time traveller... mwengie aseme Dr. Shika kwao Asgard...
Kwa mashiko yepi tukuamini?
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Kwa mfano Marekani right?
Hebu jaribu kwenda uone shida utakayoipata... simply koz you black.. wala haijalishi umemtilia kura nani!!!
Acheni kudanganya umati... kila haki inaendana na wajibu!!!
Ana haki ya kujieleza tusisahau kuwa ana wajibu wa kuchunga kauli zake!
Sent from my SM-G935F...
Na viongozi wengine watambue kwamba hawajachaguliwa wakaropokwe na kutoka povu la matusi hovyo hovyo... iwe bungeni... iwe mkutanoni hadharani.
Ikiwa wanavuta bangi wazivutie kimya kimya...
Ikiwa midomo yao hawaiwezi basi wanyamae tu.
Ulimi huponza kichwa jamaa.... na mwisho wa siku ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.