"Sheria ni sheria hata kama ni sheria mbaya“
Yani ulivyoanza kwa kauli hii, moja kwa moja nimeona kuna mapungufu kwenye uwasilishaji wako wa hoja; Yawezekana pia ni kwasababu huna maarifa/taarifa za kutosha.
Bro..!
"Unjust law is not a law at all"
Sheria hazijawahi kutosha kukidhi mahitaji...
Maisha yangu nimeweka "auto-pilot mode" yatakavyoenda ni sawa tu.
In fact Mungu ndo muamuzi, atakayotaka kuyafunua kwangu basi atayafunua. Alikuwa na maana ya kutuficha baadhi ya mambo tusijue.
But natamani kujua vyote ambavyo akili yangu itastahimili kuvibeba.😂
Kimsingi hili swala halipaswi kutekelezwa na chama tawala, aidha kama serikali haitoamua kulifanyia kazi basi kuna umuhimu wa kulazimishwa kufanya hivyo.
Na Emmanuel Magira.
BHRM-Mzumbe University.
UTANGULIZI.
Katika karne hii ya 21, mapinduzi na mageuzi ya teknolojia yamechangia maendeleo makubwa katika sekta mbalimbali. Miongoni mwa maendeleo hayo ni pamoja na kuwepo kwa mifumo wezeshi inayorahisisha ununuzi, utoaji huduma kwa wananchi na...
Na. Emmanuel Magira Werema
Ifahamike na ieleweke kuwa maamuzi yoyote yanayotakiwa kufanywa na serikali ya nchi yoyote ile duniani, ni lazima yawe yamefanyiwa uchambuzi wa kina kwasababu serikali inaendeshwa kwa kuzingatia uhalisia (facts) na sio nadharia.
Mfano serikali ikiamua kufikia maamuzi...
Umeongelea kwa undani na mm binafsi nimekuelewa kabsa. Hivyo kama tumeyafaham haya matatizo yanayozikumba nchi zote za Africa, hivyo kipi kifanyike??? Ukijua solutions utagundua mambo si rahisi kama yalivyo[emoji1]
Ni sahihi kabsa, na Nyerere aliyakubali hayo mabadiliko kupitia Mwinyi na sio kupitia yeye mwenyew, pengine hakuaka kuwa mnafiki kama viongoz wa leo...
Na Emmanuel Magira BHRM‐Mzumbe,
Kwa miaka kadhaa sasa, tumeshuhudia kampeni nyingi sana, za kuwapongeza viongoz wa nchi katika kutimiza majukumu yao. Mfano kama CCM wanavyofanya kumpongeza mwenyekiti wao wa chama. Zaidi ya hvyo tunaona mabango yaliyobandikwa kwenye taa za barabarani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.