Recent content by iMind

  1. I

    JamiiForums Tanzania Ukiandika mali zako kwa jina la mama yako, hizo ni mali zake. Anaweza kuziuza, akifariki ni mali za urithi za watoto wote

    Kina fanya watu waogope kuandika majina yao kwenye mali zao ni nini. Je umezipata kwa wizi? Mimi mali zangu ziko kwa jina langu au jina la kampuni yangu basi.
  2. I

    JamiiForums Tanzania CDF na IGP kwa uelekeo huu kamwe hawatopanda mahakamani kwenye kesi ya Lissu

    Heche akimaliza kutoa ushahidi wake DPP atakosa nia ya kuendelea na kesi. Na mchezo utakuwa umeishia hapo.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Ni Halali kabisa Kuyumba Na Kupoteza Muelekeo kwa CHADEMA. Mnyika Elimu Kidato cha 6 Huku Heche Akiwa Na Elimu ya Hapa na pale. Wafuasi nao sifuri

    Mnyika alisoma chuo ila haku graduate wa sababu za kisiasa za hao CCM
  4. I

    JamiiForums Tanzania Ni Halali kabisa Kuyumba Na Kupoteza Muelekeo kwa CHADEMA. Mnyika Elimu Kidato cha 6 Huku Heche Akiwa Na Elimu ya Hapa na pale. Wafuasi nao sifuri

    Upande wa pili njaa kali. Si unakumbuka walio fungua kesi kuhusu Mali za CDM na kusabisha kufungiwa kufanya kazi ya chama walikuwa ni dini gani? Hivyo ni heri viongozi wengi kuwa wagalatia maana otherwise CDM isingekuwepo leo
  5. I

    JamiiForums Tanzania Hii miezi 18 ijayo inabeba hatma ya Tanzania!

    Hesabu hazisomi. Kwa jinsi hali ilivyo naona hakuna uwezekano wa kupata katiba mpya na kubadilisha sheria za uchaguzi kabla ya 2030. Hii ni kwa sababu CCM haina nia hiyo, Rais hana nia hiyo, vyombo vya dola havina nia hiyo. Mpango uliokuwepo ni kufanya maridhiano fake na geresha za hapa na pale...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Nafurahia sana maisha yangu mapya

    Matatizo ya afya ya akili ni makubwa sana kuliko tunavyo fikiria.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Tetesi: CCM waitisha kikao cha dharura Agosti 26, 2026

    Bahati mbaya sana hakuna yeyeto mwenye uthubutu wa kuongea au kutoa mawazo yake kwa sasa. Wajumbe wataenda pale watalipwa posho zao, watamsikiliza mwenyekiti ajenda ya kwanza, wataunga mkono, ajenda ya pili wataunga mpaka ajenda ya mwisho zote wataunga mkono. Kikao kitafungwa, picha...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Goodbye JF!!

    Unapoungama dhambi ni lazima uzitaje. Bila kutaja dhambi zako huwezi kusamehewa.
  9. I

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mariam kijumbe: Je, waliocheza upatu huu wanaweza kurudishiwa fedha zao? Sheria imekaaje kwenye michezo hii?

    Sijawahi kuwaelewa watu wanao cheza hii wanaita michezo. Yaani sijui akili zao huwa zikoje. Aisee acha wazulumiwe tu.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Afisa wa Benki Kuu: Lipa Namba ni kwa ajili ya kulipia bidhaa, kuitumia ili kutolea hela kwenye mitandao ya simu, ni kosa

    Ngoja waje wapigwe kodi ya mauzo na TRA ndo utajua kuwa wasomi na wana akili.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Pamoja na uwekezaji, Serikali ifufue kampuni zake za usafirishaji

    Unataka serikali ipoteze fedha. TRC yenyewe ambayo haina hata ushindani inawashinda.
  12. I

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Ili uwe sawa na uishi kawaida ni muhimu kuzingatia yafuatayo. 1. Kunywa dawa bila kukosa. Watu wengi wakisha jiona wamekaa sawa wanaacha kutumia dawa. Baada ya muda stoke inawapitia. 2. Badilisha utaratibu wa maisha (life style). Acha kula hivyo, zingatie lishe kadri utakavyo elekezwa na...
  13. I

    JamiiForums Tanzania Hili la Kutaka Ma Bus yote yaingie MAGUFULI BUS TERMINAL , ningekupongeza bwana Chalamila

    Dar haihitaji stand moja kubwa. Inahitaji stand nyingi ndogo ndogo ili kurahisisha usafiri. Hili agizo la Mkuu wa Mkoa halitekelezeki.
  14. I

    JamiiForums Tanzania App mpya ya JF hii sijaielewa

    Ndo maana waswahili walisema, kipya kinyemi japo. Kidonda. Ni mazoea tu. Siku zote ukisha zoea kitu kikibadilika itachukua muda kidogo kuzoea na hatimaye kukipenda
  15. I

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Jamani. Mambo madogo madogo haya mnashindwa kuyatatua kweli? Nyie Gen Z mmekuaje? Nenda duka la dawa mnunulie mouth wash. Awe anasukutua mara tatu kwa siku. Kama hali itaendelea basi aende kumuona Daktari wa meno na kinywa.
Back
Top Bottom