Ili uwe sawa na uishi kawaida ni muhimu kuzingatia yafuatayo.
1. Kunywa dawa bila kukosa. Watu wengi wakisha jiona wamekaa sawa wanaacha kutumia dawa. Baada ya muda stoke inawapitia.
2. Badilisha utaratibu wa maisha (life style). Acha kula hivyo, zingatie lishe kadri utakavyo elekezwa na...
Ndo maana waswahili walisema, kipya kinyemi japo. Kidonda. Ni mazoea tu. Siku zote ukisha zoea kitu kikibadilika itachukua muda kidogo kuzoea na hatimaye kukipenda
Jamani. Mambo madogo madogo haya mnashindwa kuyatatua kweli? Nyie Gen Z mmekuaje? Nenda duka la dawa mnunulie mouth wash. Awe anasukutua mara tatu kwa siku. Kama hali itaendelea basi aende kumuona Daktari wa meno na kinywa.
Kinacho sikitisha zaidi ni namna ambavyo mna mkwamisha mwenyekiti wenu. Huku ana hubiri maridhiano at the same time mnaendelea na utekaji. Sasa hayo maridhiano atayafikia vipi wakati mnazidi kuongeza chuki?
Pia watu ambao wana mwelekeo wa maridhiano, ambao wanakosoa na kushawishi kama Kazungu...
Kama anajua kusoma, kuandika na kuhesabu mnunulie vitabu, ajifunze mwenyewe. Atakuwa anaenda shule kufanya consultation ya vitu asivyojua then anarudi.
VP nj msaidizi wa Rais, so mara nyingi anatumwa sehemu ambazo Rais alitakiwa kwenda lakini akawa amebanwa na shughuli nyingine. Kwa hiyo basi mara nyingi Rais na VP hawawezi kuwa sehemu moja.
Kila chenye mwanzo kina mwisho. Ingawa CCM ilisha fika mwisho siku nyingi. Kinacho tawala Tanzania si CCM, ni genge la watu wachache ambao wameteka nchi. Hawafuati katiba wala sheria, wanafanya kama wanavyotaka.
Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba. Hii katiba iliyopo, pamoja na ubovu wake hawa...
Kukiwa na msuhuishi huru bila shaka watafikia makubaliano.
1. Ikitokea maeidhiano hayajafanyika Samia ataebdelea kupeta hadi 2030 kwa kusaidiwa na nguvu ya dola.
2. Itategenea uchaguzi unafanyika kwenye mazingira yapi.
Lakini ijulikane wazi kuwa bila naridhiano hatuwezi kutoka katika huu...
Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano
1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.