heading na maelezo yako umeyakuza sana kuongeza chumvi. Jamaa alikuwa makini kuto mdharirisha na kudharirisha watanzania. Ila watangazaji ndo walikuwa ana chochea jamaa aende kwenye direction wanayoitaka wao. Ila jamaa kawajibu kwa busara sana.
Kinacho ua traditional media hapa Tanzania siyo tekinolojia wala online media. Ni kunyimwa uhuru wa habari. Traditional media zimejaa content za uchawa, zinashindwa kuweka mijadala ya nguvu yenye hoja na watu wenye ueledi kwa sababu wanaogopa kufungiwa na serikali.
Hivyo wasikilizaji wanaona...
Kwenye ujenzi wa nyumba za kumbakisha vitu viwili ni muhimu sana
1. Location
2. Architecture, material na style ya ujenzi.
Nyumba ya kupangisha jenga simple using simple material but durable. Kwa sababu ipigie hesabu ya miaka 10 to 15 tu. Baada ya hapo utabomoa na kufanya ukarabati mkubwa au...
Guitarist ukifanya content nzuri unaweza kutoboa. Tatizo la content creators wengi hawana content. Wana copy copy tu na viji story vya uongo vya hapa na pale.
Kwa content creator kupata hela unahitaji kuwa na original ideas, subject inayogusa watu na kuwasaidia kutatua matatizo yao.
Bila...
1. Kwa hiyo tuseme serikali ni dhaifu.? Kama watu wanaweza kupanga, kuunda vikundi na kufundisha vijana kupindua serikali kwa miezi bila vyombo vya dola kujua maana yake serikali imeshindwa kufanya kazi yake ya ulinzi wa nchi.
2. Hadi sasa hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa kwa tuhuma za...
Sherehe za harusi ni Sector/Industry za watu. Kuna watu wamewekeza kwenye kumbi, wengine kwenye U-MC na vifaa vya mziki, wengine kwenye chakula etc. Hawa watu ukiwaambia wabadilike au waache hawawezi. Maana ndo kazi yao. Kila wiki wana uhakika wa ku ingiza kipato.
Kinacho ni boa sana kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.