Recent content by iMind

  1. I

    JamiiForums Tanzania Hivi na nyie wake zenu wanawapa unyumba kwa kunung'unika kama huyu wangu?

    Mna muda gani tangu muoane? Je hali hiyo ya kukupimia unyumba imeanza lini? Je ni tangu muoane? Mimi ninavyojua wanawake ndo wanapenda unyumba kuliko wanaume. Mara nyingi wao ndo wanaanza kuomba au kutengeneza mazingira ya kuliwa. Ongea naye vizuri kuna kitu hakiko sawa na inawezekana...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Hakuna maridhiano(USANII) hapa; acheni tu nchi izikwe rasmi tuanze upya.

    Wanavuta vuta muda kama kawaida, hadi 2029 hakuna katika mpya wala maridhiano halafu wanasema muda hautoshi. Wanasingizia CHADEMA ndo walikwamisha dhamira ya Mh. Rais Dr. Samia. Mzunguko unaanza upya.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Familia ziwe macho na vijana wao, ndugu kutafunana imezidi

    Kwa hiyo kisa kimoja tu ndo una generalise? Familia ziko shwari. Hali ya usalama ndani ya familia umeimarishwa.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Mtaka anabishana na mtoto pendwa atapona kweli?

    Wewe umesikia wapi kuwa Mtaka ana bishana naye? Mtaka kajinyamazia kimya, ila anapambaniwa na ngazi za juu kimataifa.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Mchome akanusha kauli ya Mnyika kuwa wanalipwa milioni 2 ili kumchafua John Heche

    1. Kuna utaratibu wa kuchangia chama, ambao unajulikana na michango yote huingizwa kwenye account ya chama. 2. Pamoja na kuchangia chama mtu binafsi anaweza kumpa hela kiongozi au mwanachama yoyote kwa matumizi ambayo wamekubaliana wao wawili. Ikitokea fedha hizo hazijatumika ipasavyo anaye...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Shocking: Inadaiwa Wanawake wengi wanaoenda gym wanaliwa na trainers!

    Huyo trainer atakula wanawake wangapi?
  7. I

    JamiiForums Tanzania PPPTZ: TBA Yatangaza Fursa za Uwekezaji wa Ubia (PPP) katika Viwanja vya Serikali Nchini, Mnaotaka kujenga nyumba za biashara changamkeni

    Kuingia ubia na serikali ya Tanzania ni kujitafutia matatizo. Usipo filisika utaishia kufa kwa presha. Watu wakisha piga 10% zao wanakosa morali ya kuendelea na miradi lwa sababu lengo lao ni kupiga hela na siyo kufanikisha mradi. Wakiondoka wanakuja wengine ambao hawakupiga hela nao wanataka...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Biashara 4 zenye Faida kubwa zaidi nchini Tanzania kwa sasa. Matajiri hawataki uzijue

    1 na 2 siyo rahisi kama unavyodhani. Na ni ngumu sana kutoboa kibongo bongo
  9. I

    JamiiForums Tanzania Huu ni Ushuhuda wangu wa Kweli kuhusu pesa

    Hiyo ni makusudi. Hapo anataka watu waingine DM awalize.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Tunazuia maandamano kwa kuyahamasisha

    Ni ajabu kwamba Serikali inatumia vitisho badala ya kuonyesha kwa vitendo na kwa dhati kuwa "Never Again". Never again ni kushughulikia chanzo. Report ya Chande ilitaja vyanzo vya maandamo ya Oct 29. Je kuna lolote linaendelea kushughulikia hivyo vyanzo? Je wanaandamanaji na Serikali wataendelea...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kombe la dunia mwaka huu halina mvuto ni vile tu napenda mpira, ila US sio bora kwenye uandaaji

    Iko kawaida, ula kuna vitu vitatu ambavyo vinafanya uone hayajachamka. 1. Uhamasishaji wa ndani namaanisha vyombi vya habari vya ndani ni hafifu. 2. Watu hawana furaha. Kiwango cha furaha kwa watanzania kimezidi kushoka chini. Watu wamekata tamaa, wanaendelea na mambo yao madogo madogi badala...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Where is the Presidential tax reforms commission’s report?

    Hakuna mapendekezo ya tume yeyote ambayo yamefanyiwa kazi.
  13. I

    JamiiForums Tanzania Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

    heading na maelezo yako umeyakuza sana kuongeza chumvi. Jamaa alikuwa makini kuto mdharirisha na kudharirisha watanzania. Ila watangazaji ndo walikuwa ana chochea jamaa aende kwenye direction wanayoitaka wao. Ila jamaa kawajibu kwa busara sana.
  14. I

    JamiiForums Tanzania Kusaga: Tunakoelekea radio nyingi zitafungwa

    Kinacho ua traditional media hapa Tanzania siyo tekinolojia wala online media. Ni kunyimwa uhuru wa habari. Traditional media zimejaa content za uchawa, zinashindwa kuweka mijadala ya nguvu yenye hoja na watu wenye ueledi kwa sababu wanaogopa kufungiwa na serikali. Hivyo wasikilizaji wanaona...
Back
Top Bottom