Mna muda gani tangu muoane? Je hali hiyo ya kukupimia unyumba imeanza lini? Je ni tangu muoane?
Mimi ninavyojua wanawake ndo wanapenda unyumba kuliko wanaume. Mara nyingi wao ndo wanaanza kuomba au kutengeneza mazingira ya kuliwa.
Ongea naye vizuri kuna kitu hakiko sawa na inawezekana...
Wanavuta vuta muda kama kawaida, hadi 2029 hakuna katika mpya wala maridhiano halafu wanasema muda hautoshi. Wanasingizia CHADEMA ndo walikwamisha dhamira ya Mh. Rais Dr. Samia. Mzunguko unaanza upya.
1. Kuna utaratibu wa kuchangia chama, ambao unajulikana na michango yote huingizwa kwenye account ya chama.
2. Pamoja na kuchangia chama mtu binafsi anaweza kumpa hela kiongozi au mwanachama yoyote kwa matumizi ambayo wamekubaliana wao wawili. Ikitokea fedha hizo hazijatumika ipasavyo anaye...
Kuingia ubia na serikali ya Tanzania ni kujitafutia matatizo. Usipo filisika utaishia kufa kwa presha. Watu wakisha piga 10% zao wanakosa morali ya kuendelea na miradi lwa sababu lengo lao ni kupiga hela na siyo kufanikisha mradi.
Wakiondoka wanakuja wengine ambao hawakupiga hela nao wanataka...
Ni ajabu kwamba Serikali inatumia vitisho badala ya kuonyesha kwa vitendo na kwa dhati kuwa "Never Again". Never again ni kushughulikia chanzo. Report ya Chande ilitaja vyanzo vya maandamo ya Oct 29. Je kuna lolote linaendelea kushughulikia hivyo vyanzo? Je wanaandamanaji na Serikali wataendelea...
Iko kawaida, ula kuna vitu vitatu ambavyo vinafanya uone hayajachamka.
1. Uhamasishaji wa ndani namaanisha vyombi vya habari vya ndani ni hafifu.
2. Watu hawana furaha. Kiwango cha furaha kwa watanzania kimezidi kushoka chini. Watu wamekata tamaa, wanaendelea na mambo yao madogo madogi badala...
heading na maelezo yako umeyakuza sana kuongeza chumvi. Jamaa alikuwa makini kuto mdharirisha na kudharirisha watanzania. Ila watangazaji ndo walikuwa ana chochea jamaa aende kwenye direction wanayoitaka wao. Ila jamaa kawajibu kwa busara sana.
Kinacho ua traditional media hapa Tanzania siyo tekinolojia wala online media. Ni kunyimwa uhuru wa habari. Traditional media zimejaa content za uchawa, zinashindwa kuweka mijadala ya nguvu yenye hoja na watu wenye ueledi kwa sababu wanaogopa kufungiwa na serikali.
Hivyo wasikilizaji wanaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.