Recent content by iMind

  1. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Seanolson Mzungu: Wanawake wa bongo ni omba omba

    heading na maelezo yako umeyakuza sana kuongeza chumvi. Jamaa alikuwa makini kuto mdharirisha na kudharirisha watanzania. Ila watangazaji ndo walikuwa ana chochea jamaa aende kwenye direction wanayoitaka wao. Ila jamaa kawajibu kwa busara sana.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Kusaga: Tunakoelekea radio nyingi zitafungwa

    Kinacho ua traditional media hapa Tanzania siyo tekinolojia wala online media. Ni kunyimwa uhuru wa habari. Traditional media zimejaa content za uchawa, zinashindwa kuweka mijadala ya nguvu yenye hoja na watu wenye ueledi kwa sababu wanaogopa kufungiwa na serikali. Hivyo wasikilizaji wanaona...
  3. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hisia za mapenzi zimepotea

    Mapenzi ni hisia tu. Ukizipotezea zinapotea.
  4. I

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

    Vina mwisho. Malipo ni hapa hapa duniani.
  5. I

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    Ni kweli, ila lengo lao siyo hilo.
  6. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii imekaaje wakuu?

    Na akifanya kazi anaona una mtumikisha, una mnyanyasa, unajidain. N.K. Binadamu walio wengi hawana jema.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Unajenga nyumba ya milion 300 ili upangishe laki 3, ni akili au matope?

    Kwenye ujenzi wa nyumba za kumbakisha vitu viwili ni muhimu sana 1. Location 2. Architecture, material na style ya ujenzi. Nyumba ya kupangisha jenga simple using simple material but durable. Kwa sababu ipigie hesabu ya miaka 10 to 15 tu. Baada ya hapo utabomoa na kufanya ukarabati mkubwa au...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Nadhani The Velvet Lounge na Sudan Hotel Temeke, ni mifano hai ya Sodoma na Gomora!

    Hivi kuna watu bado wanachukua na kufurahia changudoa?
  9. I

    JamiiForums Tanzania Mkoa wa Tabora haufai kuishi kwa mtu anayejitafuta

    Yaani kupita tu njia ndo umesha jiona unaujua mkoa vizuri hadi kufanya hitimisho kuwa hauna fursa? Nadhani umekurupuka bro.
  10. I

    JamiiForums Tanzania Ukiambiwa 'Hivi vina pesa utakuwa tajiri', jihadhari unaweza kuishi maisha yote ukisubiri mafanikio yasiyokuja

    Guitarist ukifanya content nzuri unaweza kutoboa. Tatizo la content creators wengi hawana content. Wana copy copy tu na viji story vya uongo vya hapa na pale. Kwa content creator kupata hela unahitaji kuwa na original ideas, subject inayogusa watu na kuwasaidia kutatua matatizo yao. Bila...
  11. I

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 UCHAMBUZI: Maswali 10 Muhimu Kuhusu Ripoti ya Tume ya Jaji Chande

    1. Kwa hiyo tuseme serikali ni dhaifu.? Kama watu wanaweza kupanga, kuunda vikundi na kufundisha vijana kupindua serikali kwa miezi bila vyombo vya dola kujua maana yake serikali imeshindwa kufanya kazi yake ya ulinzi wa nchi. 2. Hadi sasa hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa kwa tuhuma za...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Kanuni na Mbinu za Tume: Msingi wa Uchunguzi

    Kwa hiyo ni taarifa gani za kiuchunguzi ambazo tume imekuja nazo?
  13. I

    JamiiForums Tanzania Moja ya tukio la kijinga na la kitoto ni kufanya sherehe ya HARUSI, ujinga ujinga mtupu

    Sherehe za harusi ni Sector/Industry za watu. Kuna watu wamewekeza kwenye kumbi, wengine kwenye U-MC na vifaa vya mziki, wengine kwenye chakula etc. Hawa watu ukiwaambia wabadilike au waache hawawezi. Maana ndo kazi yao. Kila wiki wana uhakika wa ku ingiza kipato. Kinacho ni boa sana kwenye...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Moja ya tukio la kijinga na la kitoto ni kufanya sherehe ya HARUSI, ujinga ujinga mtupu

    Nakubaliana na wewe laikini njoo na mapendekezo. Alternative ways za kusheherekea harusi/ndoa
Back
Top Bottom