Recent content by iMind

  1. I

    JamiiForums Tanzania Afisa wa Benki Kuu: Lipa Namba ni kwa ajili ya kulipia bidhaa, kuitumia ili kutolea hela kwenye mitandao ya simu, ni kosa

    Ngoja waje wapigwe kodi ya mauzo na TRA ndo utajua kuwa wasomi na wana akili.
  2. I

    JamiiForums Tanzania Pamoja na uwekezaji, Serikali ifufue kampuni zake za usafirishaji

    Unataka serikali ipoteze fedha. TRC yenyewe ambayo haina hata ushindani inawashinda.
  3. I

    JamiiForums Tanzania Naomba kueleweshwa jambo hili kuhusu matumizi ya dawa za Presha

    Ili uwe sawa na uishi kawaida ni muhimu kuzingatia yafuatayo. 1. Kunywa dawa bila kukosa. Watu wengi wakisha jiona wamekaa sawa wanaacha kutumia dawa. Baada ya muda stoke inawapitia. 2. Badilisha utaratibu wa maisha (life style). Acha kula hivyo, zingatie lishe kadri utakavyo elekezwa na...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Hili la Kutaka Ma Bus yote yaingie MAGUFULI BUS TERMINAL , ningekupongeza bwana Chalamila

    Dar haihitaji stand moja kubwa. Inahitaji stand nyingi ndogo ndogo ili kurahisisha usafiri. Hili agizo la Mkuu wa Mkoa halitekelezeki.
  5. I

    JamiiForums Tanzania App mpya ya JF hii sijaielewa

    Ndo maana waswahili walisema, kipya kinyemi japo. Kidonda. Ni mazoea tu. Siku zote ukisha zoea kitu kikibadilika itachukua muda kidogo kuzoea na hatimaye kukipenda
  6. I

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Jamani. Mambo madogo madogo haya mnashindwa kuyatatua kweli? Nyie Gen Z mmekuaje? Nenda duka la dawa mnunulie mouth wash. Awe anasukutua mara tatu kwa siku. Kama hali itaendelea basi aende kumuona Daktari wa meno na kinywa.
  7. I

    JamiiForums Tanzania SGR Ina shida mahali, unapofanya booking unakuta karibia siti zote zimejaa ila unapokuja kuingia ndani ya behewa unakuta nusu ya siti hakuna watu?

    Hizi tuhuma umezithibitisha au unaongea tu kwa hisia? Siyo ustaarabu kutoa shutuma ambazo hazijathibitishwa
  8. I

    JamiiForums Tanzania Kutekwa kwa Kazungu ni unyama unaoichafua nchi- Ado Shaibu

    Kinacho sikitisha zaidi ni namna ambavyo mna mkwamisha mwenyekiti wenu. Huku ana hubiri maridhiano at the same time mnaendelea na utekaji. Sasa hayo maridhiano atayafikia vipi wakati mnazidi kuongeza chuki? Pia watu ambao wana mwelekeo wa maridhiano, ambao wanakosoa na kushawishi kama Kazungu...
  9. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Labda amefariki!
  10. I

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Kama anajua kusoma, kuandika na kuhesabu mnunulie vitabu, ajifunze mwenyewe. Atakuwa anaenda shule kufanya consultation ya vitu asivyojua then anarudi.
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kwanini Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi hakuwepo kwenye mkutano wa Rais Samia na wafanyabiashara?

    VP nj msaidizi wa Rais, so mara nyingi anatumwa sehemu ambazo Rais alitakiwa kwenda lakini akawa amebanwa na shughuli nyingine. Kwa hiyo basi mara nyingi Rais na VP hawawezi kuwa sehemu moja.
  12. I

    JamiiForums Tanzania JLW:Gharama za Dates

    Aliye organise/propose hiyo meeting
  13. I

    JamiiForums Tanzania CCM imefika mwisho, ndani ya miaka minne itaondoka,ikiondoka hairudi Tena

    Kila chenye mwanzo kina mwisho. Ingawa CCM ilisha fika mwisho siku nyingi. Kinacho tawala Tanzania si CCM, ni genge la watu wachache ambao wameteka nchi. Hawafuati katiba wala sheria, wanafanya kama wanavyotaka. Swali kubwa la kujiuliza ni kwamba. Hii katiba iliyopo, pamoja na ubovu wake hawa...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Huu ndo uwe Msingi mkuu wa Maridhiano

    Kukiwa na msuhuishi huru bila shaka watafikia makubaliano. 1. Ikitokea maeidhiano hayajafanyika Samia ataebdelea kupeta hadi 2030 kwa kusaidiwa na nguvu ya dola. 2. Itategenea uchaguzi unafanyika kwenye mazingira yapi. Lakini ijulikane wazi kuwa bila naridhiano hatuwezi kutoka katika huu...
  15. I

    JamiiForums Tanzania Huu ndo uwe Msingi mkuu wa Maridhiano

    Wadau, nimeona maoni ya wadau mbalimbali kuhusu kile kinachoitwa Maridhiano, wengine wakipinga, wengine wakiyaunga mkono na kila kundi likitoa sababu zake. Nimeona CHADEMA wametoa Masharti ya awali (pre conditions) kama 3 za Maridhiano 1. Mwenyekiti Lissu Aachiwe huru pamoja na wafungwa wote...
Back
Top Bottom