Umeteleza katika utafutaji, lakini hujaanguka. Ulifocus kwenye big risk high return. Sasa angali upande wa low risk low returns.
1. Tafuta kazi nje ya kazi yako ya ajira. Angalia mazingira yako, ujuzi wako na interest zako halafu uone ni kitu gani unaweza kufanya mtu akakulipa hela. Inaweza...
Ungekuwa na nia ya kuelewa ungejifunza kwanza kabla uya kuja kuandika hapa. Hata hivyo nitakupa dondoo chache.
1. Kwanza maintenance ya nyumba inafanyika baada ya miaka 15 au zaidi. Siyo kila baada ya miaka 5. Nyumba iliyojengwa vyema miaka. 10 bado mpya kabisa. Kwenye hotel unaweza badilisha...
Watak
Watakuwa wame ziprotect kwa namna fulani kwa mfano, wamehamisha mali kwa kampuni zilizobaki kabla ya kufilisika. Hii mambo huwa inafanywa makusudi ili kujifaidisha kwa namna moja au nyingine.
Offcourse kama hujachora inakuwa ngumu. Lakini unaweza kukadiria kama ifuatavyo. Una reactangle (pembe nne) moja na triangle (pembe tatu) moja hii ninkwa kukadiria. Tafuta eneno la kila moja halafu jumlisha. Angalia picha niliyo ambatanisha.
Umetongoza wake za watu 8 ukatembea nao wa 5. Halafu uka conclude kuwa ambayo hawajaolewa hawachepuki kama walio olewa. Wakati hujatongoza asiyeolewa hata mmoja.
Tunashukuru kwa kukusanua. Watu wengi wanakuponda, lakini ukweli ni kwamba umeokoa watu wengi ambao wangeenda kuibiwa kama wewe.
Ingawa hujaeleza vizuri lakini kama nimeelewa mchezo uko hivi.
1. Unakutana na dada mkali ambaye anajidai ni taxi driver.
2. Mkiwa njiani kuelekea sehemu ambayo...
Ukipata pesa si lazima kumshirikisha mke wako kwamba kimepatikana kiasi fulani.
Kama mwanaume lazima uwe na akiba ambayo mkeo haijui.
1. Tunza fedha zako za dharula angalau mil 3 kwenye account ambayo mke wako haijui. Hii ni hela ya dharula tu. Binadamu tumeumbiwa majanga huwezi jua. Hii hela...
Wewe ndo unaishi naye. Halafu unatuuliza sisi tatizo. Ungeanza kwanza kuongea naye usikie anakwambia tatizo kwa upande wake ni nini? Halafu ndo uje utushirikishe tukupe ushauri.
Ila kwa uzoefu wangu, ukiona mwenzako anakunyima unyumba basi ujue kuna sehemu anapata hiyo huduma. Hivyo anakuona...
1. Mbunge wa kuteuliwa hawezi kuwa waziri mkuu.
2. Lisu na CHADEMA kwa ujumla hawawezi kushirikiana na hii serikali.
Waza vizuri uje na maoni mapya.
Maoni yangu ni.
1. Piga chini uongozi wote wa Jeshi, polisi, na usalama wa taifa. (Watose).
2. Fungua mashtaka kwa wote walio husika na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.