Kina fanya watu waogope kuandika majina yao kwenye mali zao ni nini. Je umezipata kwa wizi? Mimi mali zangu ziko kwa jina langu au jina la kampuni yangu basi.
Upande wa pili njaa kali. Si unakumbuka walio fungua kesi kuhusu Mali za CDM na kusabisha kufungiwa kufanya kazi ya chama walikuwa ni dini gani? Hivyo ni heri viongozi wengi kuwa wagalatia maana otherwise CDM isingekuwepo leo
Hesabu hazisomi. Kwa jinsi hali ilivyo naona hakuna uwezekano wa kupata katiba mpya na kubadilisha sheria za uchaguzi kabla ya 2030. Hii ni kwa sababu CCM haina nia hiyo, Rais hana nia hiyo, vyombo vya dola havina nia hiyo.
Mpango uliokuwepo ni kufanya maridhiano fake na geresha za hapa na pale...
Bahati mbaya sana hakuna yeyeto mwenye uthubutu wa kuongea au kutoa mawazo yake kwa sasa.
Wajumbe wataenda pale watalipwa posho zao, watamsikiliza mwenyekiti ajenda ya kwanza, wataunga mkono, ajenda ya pili wataunga mpaka ajenda ya mwisho zote wataunga mkono. Kikao kitafungwa, picha...
Ili uwe sawa na uishi kawaida ni muhimu kuzingatia yafuatayo.
1. Kunywa dawa bila kukosa. Watu wengi wakisha jiona wamekaa sawa wanaacha kutumia dawa. Baada ya muda stoke inawapitia.
2. Badilisha utaratibu wa maisha (life style). Acha kula hivyo, zingatie lishe kadri utakavyo elekezwa na...
Ndo maana waswahili walisema, kipya kinyemi japo. Kidonda. Ni mazoea tu. Siku zote ukisha zoea kitu kikibadilika itachukua muda kidogo kuzoea na hatimaye kukipenda
Jamani. Mambo madogo madogo haya mnashindwa kuyatatua kweli? Nyie Gen Z mmekuaje? Nenda duka la dawa mnunulie mouth wash. Awe anasukutua mara tatu kwa siku. Kama hali itaendelea basi aende kumuona Daktari wa meno na kinywa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.