Recent content by iMind

  1. I

    KERO Makato ya Mkopo kwenye Mshahara wangu yananitesa sana. Nilikopa Milioni 10 ili nifanye biashara ya madini ila haijafanikiwa

    Umeteleza katika utafutaji, lakini hujaanguka. Ulifocus kwenye big risk high return. Sasa angali upande wa low risk low returns. 1. Tafuta kazi nje ya kazi yako ya ajira. Angalia mazingira yako, ujuzi wako na interest zako halafu uone ni kitu gani unaweza kufanya mtu akakulipa hela. Inaweza...
  2. I

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Ungekuwa na nia ya kuelewa ungejifunza kwanza kabla uya kuja kuandika hapa. Hata hivyo nitakupa dondoo chache. 1. Kwanza maintenance ya nyumba inafanyika baada ya miaka 15 au zaidi. Siyo kila baada ya miaka 5. Nyumba iliyojengwa vyema miaka. 10 bado mpya kabisa. Kwenye hotel unaweza badilisha...
  3. I

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Haujui chochote kuhusu uwekezaji wa majengo. Acha kupotosha watu. Kajifunze
  4. I

    Watu wengi wanamuabudu Mungu wa uongo hapa duniani

    Soma namba 3 vizuri. Chochote ambacho kitamkwaza mtu mwingine usifanye. Maana ukifanya utakuwa umekosa na ni dhambi.
  5. I

    Habari Njema Kutoka SMG: Iliyofilisika ni SMG, Ambayo ni Baba wa Star TV, Radio Free Africa na Kiss FM, Watoto ni Wakubwa, Wanajitegemea!

    Watak Watakuwa wame ziprotect kwa namna fulani kwa mfano, wamehamisha mali kwa kampuni zilizobaki kabla ya kufilisika. Hii mambo huwa inafanywa makusudi ili kujifaidisha kwa namna moja au nyingine.
  6. I

    Nawezaje pata/calculate square meter kwa eneo lenye pembe 4 lenye urefu tofauti?

    Offcourse kama hujachora inakuwa ngumu. Lakini unaweza kukadiria kama ifuatavyo. Una reactangle (pembe nne) moja na triangle (pembe tatu) moja hii ninkwa kukadiria. Tafuta eneno la kila moja halafu jumlisha. Angalia picha niliyo ambatanisha.
  7. I

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Umetongoza wake za watu 8 ukatembea nao wa 5. Halafu uka conclude kuwa ambayo hawajaolewa hawachepuki kama walio olewa. Wakati hujatongoza asiyeolewa hata mmoja.
  8. I

    Makahaba/Matapeli wa mapenzi SGR station Dodoma

    Tunashukuru kwa kukusanua. Watu wengi wanakuponda, lakini ukweli ni kwamba umeokoa watu wengi ambao wangeenda kuibiwa kama wewe. Ingawa hujaeleza vizuri lakini kama nimeelewa mchezo uko hivi. 1. Unakutana na dada mkali ambaye anajidai ni taxi driver. 2. Mkiwa njiani kuelekea sehemu ambayo...
  9. I

    Mke wangu hana bajeti na hajali, anataka tukipata pesa tutumie hadi ziishe

    Ukipata pesa si lazima kumshirikisha mke wako kwamba kimepatikana kiasi fulani. Kama mwanaume lazima uwe na akiba ambayo mkeo haijui. 1. Tunza fedha zako za dharula angalau mil 3 kwenye account ambayo mke wako haijui. Hii ni hela ya dharula tu. Binadamu tumeumbiwa majanga huwezi jua. Hii hela...
  10. I

    HII FORMULA YA KUSHARE FEDHA MBONA INAGO.MA KWA MWANAMKE

    Wewe ndo unaishi naye. Halafu unatuuliza sisi tatizo. Ungeanza kwanza kuongea naye usikie anakwambia tatizo kwa upande wake ni nini? Halafu ndo uje utushirikishe tukupe ushauri. Ila kwa uzoefu wangu, ukiona mwenzako anakunyima unyumba basi ujue kuna sehemu anapata hiyo huduma. Hivyo anakuona...
  11. I

    Kuna aliyewahi kukutana na kitu kama hiki kwenye Maumbile ya namna hii kwa mwanamke?

    Je wote mnakua mmenyoa mavuzi vizuri. Maana mavuzi ndo hasa husababisha michubuko especially yakiwa kama yanaanza kuota.
  12. I

    Kwa hali ilivyo mpaka sasa, ingekuwa ni mimi ningecheza karata moja tu na ndo iliyobaki

    1. Mbunge wa kuteuliwa hawezi kuwa waziri mkuu. 2. Lisu na CHADEMA kwa ujumla hawawezi kushirikiana na hii serikali. Waza vizuri uje na maoni mapya. Maoni yangu ni. 1. Piga chini uongozi wote wa Jeshi, polisi, na usalama wa taifa. (Watose). 2. Fungua mashtaka kwa wote walio husika na...
Back
Top Bottom