Walijua bei ya dunia itapanda tena, hivyo mafuta yangepanda mara dufu. Ingeleta kelele. Wakakutana fasta na kukubaliana kuondoa baadhi ya tozo ili bei mpya isilete lawama kubwa. Wamecheza na akili za watu tu.
Kwani we unaonaje? Inakuletea madhara yoyote? Ratiba zako za kufanya mambo mengine ya msingi haivurugiki? Kama unaona inakuletea madhara download app inaitwa YourHour...hii itakutia adabu.. addiction yote itaisha..na kama haujaamua kuondokana na addiction yako lazima uta uninstall hiyo app..
Utakuwa unazungumzia wanawake wa uswahilini..tofautisha wanawake wa pwani na wanawake wa uswazi.
Mwanamke wa "Pwani" anajua sana thamani ya ndoa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.