darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 2,473
- 5,159
Hiyo ndio nguvu ya papuchi.
Usikute Alex aliyemsindikiza nyumban naye alikula mzigo, jamaa akaona isiwe tabu demu si kalewa ngoja nipige fasta fasta sema jamaa ndo akawahi jumba bovu likamwangukia yy, hatariMwenye mke na mtoto anasemaje? [emoji16] ila helda katisha sana. Huyu derick nae si angewatimua tu.
Inaonekana huyu Helda muuzaji mzuri tu
Hata mi nina wasiwasi na Alex, Helda alivo na moyo mzuri asingeweza kumnyima kikojoleo shemeji yake Alex kirahisi hivoUsikute Alex aliyemsindikiza nyumban naye alikula mzigo, jamaa akaona isiwe tabu demu si kalewa ngoja nipige fasta fasta sema jamaa ndo akawahi jumba bovu likamwangukia yy ,hatari
Malimi alisema kwa sasa Derick anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Helda na mtoto wake Gradnes na upelelezi ukikamilika atafikishwa mahakani kwa ajili ya kuchukuliwa hatua za kisheria.
Ila hata kama marehemu hua hasemwi lakin Hilda kazid bana. Yaan siku hiyo hiyo unapigwa saundi na kumegwa siku hiyo hiyoUsikute Alex aliyemsindikiza nyumban naye alikula mzigo, jamaa akaona isiwe tabu demu si kalewa ngoja nipige fasta fasta sema jamaa ndo akawahi jumba bovu likamwangukia yy, hatari