Du!pole dada inawezekana hayo maamuz yako yakawa sahihi,bt siku ukifumwa kusamehewa ni ngumu.hawa wenzet hawajui kusamehe na ndo utakuwa mwanzo wa kutengana,nawe ndo utakuwa chanzo yake yote yatafunikwa
Nkikumbuka kuna kaka yetu alichezea stick baada ya kukutwa anakojoa kwa kuchuchumaa kama me na sister tunavyokojoa,bac uncle alitukuta wote nyuma ya nyumba tumepanga mstar tunakojoa,DUH!Chapwa yake ilikuawa juu
Nkikumbuka kuna kaka yetu alichezea stick baada ya kukutwa anakojoa kwa kuchuchumaa kama me na sister tunavyokojoa,bac uncle alitukuta wote nyuma ya nyumba tumepanga mstar tunakojoa,DUH!Chapwa yake ilikuawa juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.