Wanawake hawaa!!!

Wanawake hawaa!!!

hahahahaha.......hizi ndoto bwana sa nyingine zinakutokea kweli.

Kweli mkuu kuna mtu alishaota amebeba begi la pesa anakimbizwa ila sarafu zinaanguka. Akaziba palipotoboka na mkono kuja kuamka kajikuta kajishindilia kidole kwenye asshole a.k.a mkun.duni
 
Kweli mkuu kuna mtu alishaota amebeba begi la pesa anakimbizwa ila sarafu zinaanguka. Akaziba palipotoboka na mkono kuja kuamka kajikuta kajishindilia kidole kwenye asshole a.k.a mkun.duni
duh wengine walimwelewa kweli.......ila dada yangu alishawahi kujikojolea wakati yuko la sita aliota anacheza kombolela sasa ile ngoja nikakojoe anashtuka yuko kwa bed loh na ameshaumwaga tayari.
 
Jamaa flani alikuwa amelala na
mkewe.Mara akamuona mtu
amesimama
kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni
nani mpaka unakuja kitandani
mwangu?" Yule
mtu akajibu,"Mi ni
malaika;mtakati fu petro,na hapa sio
kitandani mwako uko
mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana
nimekufa,mbona
mi
bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi
kukurudisha kama mtu labda urudi
kama
mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa
wanavyopata
taabu ya kulinda,akaonel ea arudi
kama
kuku.
Malaika akamgeuza
kuku,akamwambia
ajifunze kutaga kabla hajapelekwa
duniani.
Akachuchumaa na kuanza
kujikamua;yai la
kwanza likatoka.akajik amua tena,yai
la pili
likatoka.Akajik amua tena mara ya
tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas
htukia amepigwa konde ikifuatwa na
sauti ya
hasira ya mkewe,"Pumbavu! Balaa
gani
hii....unakunya kitandani!!"

Hahahahahaha..dah. Ila mkuu,jamaa si ilibidi awe jogoo lakin
 
hawa wazee wanasumbua sana,

wanakero sana hao jaman mmda wao umeshapita bna hawajui saiv ni generation mpya au kero kero kan aliombwa achangie apa sasa uku ni utani na vichekesho sasa alizani ni pasiasa umu au dah. Ajipange bna kazi kuponda ponda ushuzi tu.
 
we sepa mkuu tuache na raha zetu! tena sepa na stres zako uko ujaonaga nini? aagghh!
 
wakati mwingine unasoma thread ukidhani ina kitu cha maana baada ya kuisoma unakuta umepoteza bure muda wako. kuweni wabunifu topic za darasa la pili hazifai humu

HILI JUKWAA LINAITWA JOKES NA UDAKU INCASE UMEINGIA BAHATI MBAYA:msela:
 
Jamaa flani alikuwa amelala na
mkewe.Mara akamuona mtu
amesimama
kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni
nani mpaka unakuja kitandani
mwangu?" Yule
mtu akajibu,"Mi ni
malaika;mtakati fu petro,na hapa sio
kitandani mwako uko
mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana
nimekufa,mbona
mi
bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi
kukurudisha kama mtu labda urudi
kama
mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa
wanavyopata
taabu ya kulinda,akaonel ea arudi
kama
kuku.
Malaika akamgeuza
kuku,akamwambia
ajifunze kutaga kabla hajapelekwa
duniani.
Akachuchumaa na kuanza
kujikamua;yai la
kwanza likatoka.akajik amua tena,yai
la pili
likatoka.Akajik amua tena mara ya
tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas
htukia amepigwa konde ikifuatwa na
sauti ya
hasira ya mkewe,"Pumbavu! Balaa
gani
hii....unakunya kitandani!!"

JAMANI HII NDOTO IMENIACHA HOI, SIJUI MKE WAKE ALIMWAMBIAJE:caked:
 
asante kwa kutukumbusha kwa maana tulishaisahau
Nalog off
 
Jamaa flani alikuwa amelala na
mkewe.Mara akamuona mtu
amesimama
kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni
nani mpaka unakuja kitandani
mwangu?" Yule
mtu akajibu,"Mi ni
malaika;mtakati fu petro,na hapa sio
kitandani mwako uko
mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana
nimekufa,mbona
mi
bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi
kukurudisha kama mtu labda urudi
kama
mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa
wanavyopata
taabu ya kulinda,akaonel ea arudi
kama
kuku.
Malaika akamgeuza
kuku,akamwambia
ajifunze kutaga kabla hajapelekwa
duniani.
Akachuchumaa na kuanza
kujikamua;yai la
kwanza likatoka.akajik amua tena,yai
la pili
likatoka.Akajik amua tena mara ya
tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas
htukia amepigwa konde ikifuatwa na
sauti ya
hasira ya mkewe,"Pumbavu! Balaa
gani
hii....unakunya kitandani!!"

Dah.... u've made ma day...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom