- Thread starter
- #61
hilo nalo nenoPOLE,,, Sasa ukimuoa alafu ikatokea house made kaondoka gafla na awe na mtoto mdogo c ndo itakua balaa!!!!!!!!!!
But anyway,, labda anaogopa kujishughulisha kabla ya ndoa isije kutokea mkaachana akajutia mda wake buree,, pengine aliwahi kumfulia mwingine b4 na athari zake anazijua