Nilichogundua wanazingua wote wawili hakuna msaada hapa,ni kutafuta utaratibu mwingine na kutawakal basi lakini kwa hawa viumbe utaishia kujidhalilisha na hakuna suluhisho.
Arsis tafadhali kwa mara nyingine nakuomba utuelekeze tiba ya kuondoa sheitwan wa kukufanyisha zinaa(jini mahaba) kwa sababu hii changamoto itapelekea kuvunja ndoa za watu wengi kwa sababu watu wenye uwezo wa kutatua jambo hilo ni wachache na kuwajua ni mtihani!, Ulieleza kikubwa ni taqwa,adhkar...
Mkuu,pole kwa yote uliyopitia lakini kumbuka hakuna replacement ya wazazi hata wazingue vipi na ndio maana baadhi ya wazazi wasio na hekima huchukulia kama fimbo ya kunyanyasa watoto wao.
Ushauri!!
Nenda kawaombe radhi ukiwa na viongozi(kiongozi wa dini wanaemuheshimu sana).
Usijaribu kudate...
Simba/Arsis samahan kwa swali hili lililo nje ya mada mnayoendelea kuiwasilisha jukwaan lakini naomba niulize kwa sababu limenipa utata sana,swali lenyewe ni juu ya tafsiri ya ndoto niliyoiota usiku wa kuamkia leo ni kwamba,
Nimeota tunaongea na marehemu kaka yangu aliyefariki miezi 3 iliyopita...
Nilimaanisha ukiona watu wanakuomba uwape connection ya matibabu ujuwe wapo desperate na tiba,pia ni wewe ambaye umesema mahusiano yako na hao viumbe sio ya Kishirikina sasa unasita nini kutoa connection watu tustafidi kupitia wewe??
Pia baadhi ya maswali haujibu kwa mfano nilikuuliza kuna...
Sema Arsis anakwama sana ukiona watu wanaj
Tuna share issue moja hivyo hivyo namie ila ibada nafanya sana tu ila akiamua balaa lake hata iwe mwezi wa ramadhan na mchana umepata kailula anakuzingua tu.
Mbaya zaidi anaweza amua kwa mkeo ukashindwa kupiga show af kwake usiku huo huo ukaota mara2...
Mkuu Samahan I! Nina changamoto kubwa kulingana na namna ulivyoeleza na majibu ya arsis nimekua interested sana huenda nkapata nusra kupitia kwenu na sheikh bakora
Nina changamoto ya jini ambaye hunifanyisha zinaa ndotoni tangu nikiwa secondary mpaka hivi sasa ingawa nmebahatika kuoa na nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.