Recent content by imam hamzah

  1. I

    Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

    Kumbe shida yako ni dini ya rais aliye madarakani. Unuruka ruka viwanda, umeme nk kumbe udini tu ndiyo unaokutesa. Waislam wapo, wataendelea kuwepo na watatawala kama kawaida. Wewe utaorodhesha yote, lakini watatawala. Kama Nyerere alimuachia nchi Muislam, wewe ni nani?
  2. I

    Biteko: 65% ya umeme tunatumia gesi, lakini kuna mashine miaka 2 haijatengenezwa. Nakuja TANESCO

    Wakati Nyerere anaondoka mwaka 1985 ulikuwa wapi na ulikuwa na umri gani? Kwa tàarifa yako Nyerere aliondoka kwa kuwa nchi ilifirisika. Ilifirisika mikononi mwake kutokana na sera zake. Viwanda vilikuwa magofu, havikuwa na uwezo wa kuzalisha Mali, maana ni kama vilikufa. Havikuwa na uwezo wa...
  3. I

    Kadogosa: Safari za SGR kutoka Dar - Moro zimechelewa kwasababu ya hatuna Vichwa vya Treni

    Kilometa 160 kwa saa, Aboud zitafute pa kwenda.
  4. I

    Kosa kubwa atakalolifanya Makonda ni kutolipiza kisasi

    Alipe kisasi kwa cheo gani alichonacho? Msemaji wa chama ni mtu mdogo sana kwenye chama. Hata hivyo kwenye chama hicho ni yeye ndiye mwenye tuhuma nyingi kuliko hawo unaotaka awalipizie. Ajaribu tuone vita ya Dunia
  5. I

    Serikali futeni utaratibu wa kudai maiti Hospitali za Serikali

    Shida iko wapi ikiwa vyote hivyo vitatolewa bure? Nchi imeejaliwa kila aina ya raslimali, wezesha huduma za kijamii ili jamii ifurahie uwepo wa raslimali kwenye nchi yao. Kama hamuliwezi hilo ondokeni madarakani wenzenu walifanyie kazi
  6. I

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wamekosa bus la kuwafikisha Brazil au wanaonyesha ufahali?😂😂😂
  7. I

    Mpira wa Afrika ni mgumu na wa ajabu sana, usiposhinda nyumbani kwa mabao mengi imekula kwako

    Mechi mbili za fainali ni kituko. Caf waachane na fainali mbili tufurahie mchezo wa soka
  8. I

    Washkaji wenye Afro mnafanyaje nywele zinakuwa nyingi kiasi hicho

    Kutana na watalam bingwa wa nywele wakushauri aina ya mafuta na dawa zinazofaa kulinda nywele zako. Pia Baadhi ya maji tunayotumia kuoga (kuosha nywele) siyo salama kwa afya ya nywele
  9. I

    Jemedari: Mpira wa Tanzania umejaa watu wajinga

    Jemedari amenena vema. Mashabiki hawataki kujifunza kanuni za mchezo wa soka. Wanataka ushindi tu. Wapuuzi wakubwa
  10. I

    Kariakoo, Upanga na Posta wana nchi yao nyingine kabisa

    Hili siyo jambo geni, maana hata huko vijijini kuna bàdhi ya wananchi hawajawahi kufika makao makuu ya wilya na mikoa waliyozaliwa.
  11. I

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hii siyo poa mkuu. Daaa
Back
Top Bottom