Kumbe shida yako ni dini ya rais aliye madarakani.
Unuruka ruka viwanda, umeme nk kumbe udini tu ndiyo unaokutesa.
Waislam wapo, wataendelea kuwepo na watatawala kama kawaida.
Wewe utaorodhesha yote, lakini watatawala.
Kama Nyerere alimuachia nchi Muislam, wewe ni nani?
Wakati Nyerere anaondoka mwaka 1985 ulikuwa wapi na ulikuwa na umri gani?
Kwa tàarifa yako Nyerere aliondoka kwa kuwa nchi ilifirisika.
Ilifirisika mikononi mwake kutokana na sera zake.
Viwanda vilikuwa magofu, havikuwa na uwezo wa kuzalisha Mali, maana ni kama vilikufa.
Havikuwa na uwezo wa...
Alipe kisasi kwa cheo gani alichonacho?
Msemaji wa chama ni mtu mdogo sana kwenye chama.
Hata hivyo kwenye chama hicho ni yeye ndiye mwenye tuhuma nyingi kuliko hawo unaotaka awalipizie.
Ajaribu tuone vita ya Dunia
Shida iko wapi ikiwa vyote hivyo vitatolewa bure? Nchi imeejaliwa kila aina ya raslimali, wezesha huduma za kijamii ili jamii ifurahie uwepo wa raslimali kwenye nchi yao.
Kama hamuliwezi hilo ondokeni madarakani wenzenu walifanyie kazi
Kutana na watalam bingwa wa nywele wakushauri aina ya mafuta na dawa zinazofaa kulinda nywele zako.
Pia Baadhi ya maji tunayotumia kuoga (kuosha nywele) siyo salama kwa afya ya nywele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.