Recent content by ILUVUG

  1. I

    Have You Ever.......

    mhhh inauma ila its part and parcel of life
  2. I

    Ni mimi tu auu??

    pole sana mydear ila si ww tu.....mm najiskia ivo mara nyingi sana na nikiwa hivo naitoa hiyo hali kwa kulala tu hata nikiwa job ntajitahidi nitafute chamber iliyojificha nalala ila kusema kweli iyo hali inaboa sana
  3. I

    What story dont you like to hear from Men?

    Sipendi apige mastory ya x gf
  4. I

    Baba Yangu Amebaka Housegirl-Mama Anataka Kuondoka!

    Jamani mi binafsi naona binti wa miaka 18 hawezi kubakwa...alipenda mwenyewe then anataka kumbambikia kesi mzeewa watu,,,,ili wambembeleze walau kw mil kadhaa ili asiende mahakamani.....MIAKA 18 ANGEWEZA KUMSUKUMA HUYO MZEE AKAANGUKIA HUKO.....MANAKE MI DK SLAA NAMUONA MZEE IL ANA MIAKA 63 AFU...
  5. I

    Baba Yangu Amebaka Housegirl-Mama Anataka Kuondoka!

    polene sana ..ila tafuteni mtu mzima aongee na baba na mama kila mtu kwa wakati wake.......msikae nalo wenyewe kwan mnaweza kuwapoteza wote..pamoja na yote huyo bado ni baba yenu ...amri za Mungu zipo kumi kavunja moja.........so tok to him asije akafa kwa presha hamjuia yalimsibu yapi..hakuna...
  6. I

    Msaada karibu napata presha

    Pole sana kaka...Muombe Mungu akupe busara katika hili,tok to her...asiposikia mtoe dukani weka kijana then akiwa jeuri bado washirikishe wazazi....
  7. I

    Msaada karibu napata presha

    pole kaka....Muombe tu Mungu na si kila ushauri hapa una maana pembua kuhusu kumfanyia jeuri sidhani kama itakuwa ni busara sana.....tok to her....asipokusikia mtoe dukani weka kijana akiwa jueri zaidi wahusishe wazazi kumbuka mna mtoto sasa maamuzi mengine huwa ni mabaya kwan huwezi jua nae...
  8. I

    Hear what oprah winfrey had to say about men

    Never borrow someone else's man....
  9. I

    Hivi nyie kina dada mna nini?

    mi nadhani kwa dunia ya sasa kuoa ndio bahati ila kuolewa wala hata sio bahati kwan wadada wengi siku hizi ilo swala la ndoa hata hawatki kusikia...so mtu akivaa izo pete ni kujifurahisha
  10. I

    does it worth

    its better watoto wakajua bab na mama hawaishi pamoja kuliko kuwaona pamoja then hamfurahii pamoja....so jipange then mpige chini uyooooo
  11. I

    Upole!!

    mpole sana anaboa bana...inabidi smtms anakuchemsha kidogo
  12. I

    Kufuga au duka

    asante kwa ushauri...je kuku huko porini management yake haiwezi kuwa ngumu kwan mm nakaa mbali n kisarawe then ninafanya kazi niko occupied 24/7 muda ninaoupata ni jmosi mchana na jpili tu.
  13. I

    Kufuga au duka

    Salaaam wana jamii forum...nina mtaji wa sh mil 5 nina ideas kama mbili hivi je nifuge nguruwe kule shambani kisarawe au niungane na best yangu tufungue duka la nguo za watoto. Natumaini mtanipa ushirikiano na ushauri wa kutosha.
Back
Top Bottom